Roho ya ustahimilivu inakabili upepo wa kuenea kwa jangwa nchini Saudi Arabia – Masuala ya Ulimwenguni

Majangwa ya Saudi Arabia ni miongoni mwa majangwa makubwa zaidi duniani na kudhibiti uhamaji wa asili wa mchanga daima imekuwa changamoto sio tu kwa wakulima, ambao wanataka kuongeza tija ya kilimo, lakini pia kwa jamii zinazotaka kuhakikisha mustakabali mzuri zaidi au kutafuta. uwekezaji kwa ukuaji. Oasis ya Al Ahsa katika mkoa wa mashariki wa jimbo…

Read More

Ligi ya Taifa Kikapu itakuwa ni vita

TIMU 16 za wanaume na 12 za wanawake zitashiriki Ligi ya Taifa ya Mpira wa Kikapu (NBL) itakayoanza Novemba 17, mwaka huu huku ikitarajiwa kuwa na ushindani mkubwa. Ligi hiyo ambayo itapigwa kwenye Uwanja wa Chinangali, Dododma ndiyo inayotoa mwakilishi wa Tanzania kwenye michuano ya kimataifa na yamekuwa na ushindani mkubwa kila mwaka. Kamishina wa…

Read More

Vijana wasipoandaliwa kidijitali, taifa litaachwa nyuma

Dar es Salaam. Wataalamu wa elimu nchini wamesisitiza kuwa kuna umuhimu wa kuchukua hatua za haraka na kufikiria upya dhana ya maarifa ya kusoma na kuandika, ili kuendana na mahitaji halisi ya ulimwengu wa kidijitali. Wanasema iwapo taifa linataka kuwaandaa vijana kwa ufanisi kukabiliana na changamoto na fursa za karne ya sasa, basi maarifa hayo…

Read More

Mwalimu: Nitasimamisha mchakato kusafirisha gesi nje ya Lindi

Lindi. Mgombea urais wa Chama cha Ukombozi wa Umma (Chaumma), Salum Mwalimu ameahidi endapo atapewa ridhaa ya kuiongoza Tanzania, mojawapo ya mambo ya kwanza atakayoyafanya ni kufuta mpango wa kuisafirisha gesi ghafi kutoka Lindi, na badala yake atahakikisha inachakatwa mkoani humo kabla ya kusafirishwa nje. Mwalimu ametoa ahadi hiyo leo Jumatano Oktoba 15, 2025, katika…

Read More

Sowah: Msimu huu navunja rekodi yangu

MSHAMBULIAJI machachari wa Singida Black Stars, Jonathan Sowah mwenye mabao saba kwenye michezo saba ya ligi, anaamini kuwa msimu huu anaweza kuvunja rekodi yake ya mabao aliyoiweka miaka miwili iliyopita. Msimu wa 2022/2023, Sowah alifanya makubwa nchini Ghana alipokuwa akiichezea Medeama, ambapo aliibuka mfungaji bora wa timu yake. Ilikuwa ni msimu wake wa mafanikio zaidi kwa…

Read More

Kuondoka kwa makocha Simba… Tatizo lipo hapa

LICHA ya Simba kutajwa timu yenye mafanikio kwenye miaka ya hivi karibuni kutokana na rekodi nzuri kimataifa ikiwa namba tano kwa ubora Afrika ndio timu pekee ambayo imefundishwa na makocha tisa ndani ya misimu sita. Simba imeandika rekodi hiyo ya kuachana na makocha hao baada ya juzi kuachana na Abdelhak Benchikha ambaye amedumu kwenye kikosi…

Read More

Mume adaiwa kumuua mkewe kwa kumchinja shingoni

Babati. Shabani Rajabu (60), mkazi wa Kijiji cha Maweni, Kata ya Magara, Wilaya ya Babati, mkoani Manyara, anadaiwa kumuua mkewe, Zulfa Rajabu (40), kwa kumchinja shingoni na kumkata mkono. Kamanda wa Polisi wa Mkoa wa Manyara, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Ahmed Makarani, amethibitisha kutokea kwa tukio hilo na kusema polisi wanamshikilia mtuhumiwa huyo na wanaendelea…

Read More