Ramovic abuni mbinu za kuimaliza MC Alger Kwa Mkapa

YANGA imekamilisha kazi ya kwanza ugenini kwa kuichapa Al Hila bao 1-0 juzi Jumapili, kazi ya pili iliyobaki ni kuichapa MC Alger Jumamosi ya wiki hii pale Benjamin Mkapa, kisha kufuzu robo fainali ya Ligi ya Mabingwa Afrika. Kocha wa Yanga, Sead Ramovic ameuona ugumu uliopo mbele yake kuikabili MC Alger, hivyo ametaja mambo ambayo…

Read More

Nickson Kibabage kumfuata Kijili Singida Black Stars

BEKI wa zamani wa Yanga, Nickson Kibabage ambaye amemaliza mkataba na timu hiyo aliyoitumikia kwa miaka miwili anatajwa kurejea kwa waajiri wake wa zamani Singida Black Stars iliyomnyakua beki wa kulia wa Simba, Kelvin Kijili. Kibabage alijiunga na Yanga kwa mkopo wa miezi sita na baadae kumnunua mazima kwa mkataba wa miaka miwili ambayo imetamatika…

Read More

AGIZO LA SERIKALI LATEKELEZWA NA  JKT

Mkuu wa Tawi la Utawala JKT na Mwenyekiti wa Kamati ya Kimkakati ya Kilimo, Mifugo na Uvuvi, Brigedia Jenerali Hassan Mabena,akiondoa kitambaa tayari kuzindua  jiko la gesi katika Kikosi 825 KJ Mtabila, wilayani Kasulu, Mkoa wa Kigoma. Na Alex Sonna-KASULU VIJIJINI JESHI la Kujenga Taifa (JKT) limeanza kutekeleza agizo la Serikali la matumizi ya nishati…

Read More

Kennedy aongezwa mtu Singida | Mwanaspoti

UONGOZI wa Singida Black Stars, umemwongezea nguvu nahodha wa klabu hiyo, Kennedy Juma baada ya kuwa kwenye hatua ya mwisho kukamilisha usajili wa Vedastus Msinde. Msinde alikuwa beki wa kati wa TMA inayoshiriki Championship na sasa ameitwa kikosi cha timu ya taifa ya Tanzania (Taifa Stars) kinachojiandaa na michuano ya CHAN mwaka huu. Chanzo cha…

Read More

Bakita, wadau wakitangaza Kiswahili mtaa kwa mtaa Dar

Dar es Salaam. Kuelekea maadhimisho ya lugha ya Kiswahili Duniani Julai 7, Wanafunzi wa shule mbalimbali za msingi na sekondari, walimu, wananchi pamoja na wadau wa lugha ya Kiswahili wamefanya matembezi ya mtaa kwa mtaa kunadi lugha ya Kiswahili. Matembezi hayo ambayo yameandaliwa na Baraza la Kiswahili Taifa (Bakita) kwa kushirikiana na wadau mbalimbali ikiwemo…

Read More

Nape aomba radhi kwa kauli ya ‘ushindi nje ya boksi’

Dar es Salaam. Waziri wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaomba radhi wananchi na wapenda demokrasia nchini kutokana na kauli aliyoitoa kuwa si lazima CCM ishinde kura kwenye boksi, bali kuna njia nyingine zikiwemo alizosema za haramu. Akizungumza kupitia video aliyorekodi, leo Jumatano Julai 17, 2024 Nape ameomba radhi wote walikerwa na…

Read More

Takukuru Geita yabaini kasoro kwenye miradi 1,800

Geita. Miradi 1,800 yenye thamani ya Sh7 bilioni iliyofuatiliwa na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru) mkoani Geita mwaka 2022/23 imebainika kuwa na kasoro zikiwamo za usanifu, ununuzi na baadhi ya fedha za miradi kuhamishiwa kwenye matumizi yasiyohusiana na mradi husika. Hayo yamebainishwa leo Aprili 18, 2024 kwenye kongamano maalumu linaloendelea mjini Geita…

Read More