Dakika 15 Nyongeza zilivyoamua mbabe BDL

Wakati BDL ikishika kasi mchezo kati ya KIUT na Chui ulilazimika kurudiwa mara tatu baada ya awali kufungana pointi 57-57 katika robo zote nne za mchezo. Hali ya sare iliendelea pia hata zilipoongezwa dakika tano za nyongeza kwani timu hizo zilifungana 11-11, na kuongezwa dakika tano zingine na kushuhudia sare ya 10-10. Kutokana na hali…

Read More

Wezi waiba kengele kanisani, Askofu Bagonza atoa neno

Mwanza. Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheri (KKKT) Dayosisi ya Karagwe, Dk Benson Bagonza amelihusisha tukio la wizi wa kengele ya Kanisa la Ihembe mkoani Kagera na kukithiri kwa momonyoko wa maadili katika jamii. Amesema kwa tukio hilo na mengine, Taifa linahitaji toba na kumrejea Mwenyezi Mungu. Taarifa ya tukio la wizi huo, ilisambaa…

Read More

Miaka 63 ya Uhuru bila katiba ya wananchi

WAFUASI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) na wanaharakati hivi karibuni wamekuwa wakifanya maandamano wakishinikiza kupatikana Katiba Mpya iliyotokana na wananchi wenyewe. Anaandika Elvan Stambuli… (endelea). Chama Cha Mapinduzi (CCM) hawataki na wameendeleza ubabe kwani kuanzia ya Uhuru Katiba ya mwaka 1961 (Tanganyika) hadi ya mwaka 1977, zimetokana na ubabe wa watawala na chama…

Read More

Baada ya miaka 20, Kalito atamani kuwa Mtanzania

Dar es Salaam. Safari ya Miaka 20 ya mburudishaji Carlos Bastos Mella ambaye yupo nyuma ya maeneo mengi ya burudani jijini Dar es Salaam, ameshauri kuanzishwa shule za upishi na usimamizi wa hoteli nchini ili kuongeza ufanisi katika tasnia hiyo. Carlos Bastos Mella, anayejulikana kama “Kalito,” ni raia wa Hispania kwake ilikuwa kama bahati ya…

Read More

DKT. BITEKO AWAPA HEKO WACHIMBAJI WADOGO WA MADINI

Teknolojia za kisasa za uchenjuaji madini zatajwa kuwa na tija kuliko matumizi ya zebaki Serikali kuendelea kuweka mazingira wezeshi kwa ajili ya maendeleo ya sekta ya madini Mwaka 2020/2021 hadi 2024/2025 Serikali yakusanya zaidi ya shilingi tirioni 3.8 kutoka sekta ya madini Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati SERIKALI imeongeza ushirikishwaji…

Read More