WIKIENDI YA MOTO: KenGold, Kagera Sugar patachimbika!

RAUNDI ya 13 ya Ligi ya Championship inaendelea tena wikiendi hii kwa mechi kali na za kuvutia, ambapo macho na masikio ya wapenzi wa soka nchini yataelekezwa katika mechi ya kesho Jumapili kati ya wenyeji, KenGold na Kagera Sugar. Mechi hiyo inasubiriwa kwa hamu kutokana na timu zote mbili kushuka daraja msimu wa 2024-2025, zikitokea…

Read More

Viongozi wa Afrika wataka ufadhili zaidi wa mataifa tajiri – DW – 29.04.2024

Kwenye Kongamano la Maendeleo ya Kimataifa IDA linaloendelea jijini Nairobi nchini Kenya viongozi hao wamesema ili kufanikisha malengo hayo pana haja ya kufanywa mageuzi kwenye asasi za kimataifa ambazo hufadhili mataifa yanayostawi. Rais William Ruto wa Kenya aliyefungua rasmi Kongamano hilo la siku mbili, alitangulia kwa kupaza sauti kwa  mashirika wafadhili kuitikia mchango wa Chama…

Read More

Ninja kutimkia Lupopo | Mwanaspoti

BEKI Mtanzania Abdallah Shaibu ‘Ninja’ amemalizana na FC Lupopo ya DR Congo ambapo amesaini mkataba wa mwaka mmoja kuitumikia klabu hiyo msimu ujao. Ninja ameiambia Mwanaspoti kuwa sababu kubwa ya kusaini FC Lupopo ni kuona fursa katika timu hiyo kucheza michuano ya kimataifa ambayo itamfanya aendelee kuonekana katika mataifa mbalimbali. Timu itashiriki Ligi ya Mabingwa…

Read More

CHAN 2024: CAF yazuia wapigaji Uganda

WAKATI timu ya taifa ya Uganda Cranes ikijiandaa kwa mechi ya nusu fainali ya CHAN 2024 dhidi ya Senegal, Shirikisho la Soka Afrika (CAF) limechukua hatua ya kupunguza idadi ya tiketi ambazo shabiki anaweza kununua mtandaoni. Hadi sasa, kila shabiki ataruhusiwa kununua tiketi tatu tu, kutoka tano zilizokuwa zikiruhusiwa awali. Taarifa hiyo imetolewa na Dennis…

Read More

UJENZI WA DHARURA WA MADARAJA HAUTAATHIRI MIPANGO YA KUDUMU

…………………… Serikali imefafanua kwamba kazi ya ujenzi wa madaraja matano kwenye barabara kuu ya Dar es Salaam – Lindi zilikuwa zinaendelea na haitaathiriwa na juhudi za sasa za kukarabati maeneo yaliyoharibiwa na mafuriko ya mvua katika siku za karibuni.  Kauli hiyo ya Serikali imetolewa leo na Waziri wa Ujenzi, Abdallah Ulega, katika eneo la Somanga…

Read More