DOTTO BITEKO AITAKA TLS KUENDELEZA MSHIKAMANO NA KUISHAURI SERIKALI – MWANAHARAKATI MZALENDO

Naibu Waziri Mkuu wa Tanzania, Dotto Biteko, ametoa wito kwa Chama cha Wanasheria wa Tanganyika (TLS) kuchagua viongozi watakaolinda mshikamano wa chama hicho. Aliwasihi wanasheria hao kuchagua viongozi wenye kiu ya kuishauri na kuikosoa serikali, jambo ambalo TLS imekuwa ikilifanya. “TLS mnalo jukumu kama chama kuchagua viongozi watakaoendeleza mshikamano wa chama chenu, watakaokuwa na kiu…

Read More

Mastaa Yanga wafunika AFCON | Mwanaspoti

KATI ya nyota 25 kutoka Ligi Kuu Bara wanaoshiriki Fainali za Kombe la Mataifa Afrika (AFCON) 2025 zinazoendelea nchini Morocco, wale wa Yanga wameonekana kuanza na namba nzuri wakiongozwa na mshambuliaji Prince Dube. AFCON 2025 iliyoanza Desemba 21 huko Morocco na Ligi Kuu Bara inawakilishwa na nyota hao 25 kutoka klabu tano tu zikiwamo Simba…

Read More

Kampeni chafu zinavyoweza kupunguza mwamko wa wapiga kura

Dar es Salaam. Katika kila uchaguzi, sauti ya mwananchi ni msingi wa maamuzi ya kitaifa na mustakabali wa kizazi kijacho. Hata hivyo, kampeni chafu zimezidi kuwa kikwazo cha wananchi kushiriki kikamilifu katika mchakato huo wa kidemokrasia. Kampeni chafu, zenye mwelekeo wa kushusha hadhi za wagombea, kueneza taarifa za uongo, na kuchochea hisia za chuki, zimegeuka…

Read More

Andambwile aamua liwalo na liwe, atangulia TFF

KIUNGO wa Singida Black Stars, Aziz Andambwile anayeitumika Yanga kwa mkopo ameshtukia jambo na fasta akaamua kufanya kitu ili kutaka kujiweka pazuri kabla mambo hayajamchachia zaidi. Andambwile mwenye mkataba wa miaka mitatu na Singida iliyopo nafasi ya nne katika msimamo wa Ligi Kuu Bara ikiwa na pointi 38 kutokana na mechi 21, bado hajaonyesha makeke…

Read More

Mwanafunzi chuo cha  KICHAS adaiwa kujiua  kisa madeni

Moshi. Mwanafunzi wa Chuo cha Afya na Sayansi Shirikishi Kilimanjaro (KICHAS), Erick Sawe(21) anadaiwa kujiua kwa kujinyonga chooni katika nyumba aliyokuwa amepanga eneo la Kiriwa chini, Kata ya Rau Manispaa ya Moshi, huku chanzo cha kifo hicho kikidaiwa ni wingi wa madeni. Mwanafunzi huyo wa mwaka wa pili katika idara ya fiziotherapia (mazoezi kwa tiba)…

Read More

Jeuri ya Simba CAFCC ipo hapa

WACHEZAJI wa Simba wanafahamu hesabu zilizopo kwao hivi sasa ni kuanza vizuri ugenini dhidi ya Al Ahli Tripoli ya Libya kisha kumaliza kazi nyumbani na kutinga makundi. Jeuri kubwa waliyonayo Simba ni maboresho ya kikosi chao ambacho msimu huu kimeanza ligi kwa ushindi wa asilimia 100 kutokana na kukusanya pointi sita katika mechi mbili walizocheza…

Read More

INATIA HURUMA: Kada CCM aliyemwagiwa tindikali afanyiwa upasuaji wa macho

Moshi. Kada wa Chama cha Mapinduzi (CCM), mkoa wa Kilimanjaro, Idrisa Moses maarufu ‘Makishe’ aliyemwagiwa kimiminika kinachodaiwa ni tindikali, amefanyiwa upasuaji wa macho yote mawili na moja limeonyesha dalili ya kuona vizuri. Akizungumza kwa simu na Mwananchi leo Alahamisi Aprili 24, 2025 kutoka hospitali alikolazwa na kufanyiwa upasuaji huo, kada huyo amesema madaktari bingwa wa…

Read More