Yanga yapewa nondo za CAF

KWA sasa Yanga iko katika hatua muhimu kuelekea mchezo wao wa kwanza wa hatua ya makundi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya mabingwa wa Sudan, Al-Hilal Omdurman. Katika kujiandaa kwa mchezo huo, wamevujishiwa mbinu na rafiki wa karibu wa kocha wa Al-Hilal, Florent Ibenge.  Mwinyi Zahera, aliyewahi kufanya kazi kwa karibu na Ibenge wakati…

Read More

Makada Chadema kumkabili Lema Kaskazini

Mbeya. Wakati vigogo wa Chadema Kanda za Victoria, Serengeti, Nyasa na Magharibi wakipigana vikumbo kuchukua na kurejesha fomu za kuwania uongozi, baadhi ya makada wa Kanda ya Kaskazini nao wanajipanga kuingia kwenye kinyang’anyiro hicho.  Kwa mujibu wa ratiba iliyotolewa na Chadema, uchaguzi wa kanda nne utafanyika Mei mwaka huu na nafasi zinazogombewa katika uchaguzi huo…

Read More

Sura mbili waume kuwazuia wake kufanya kazi

Dodoma. Juzi nilikutana na mjadala mkali nisioutarajia maeneo ya Posta jijini Dar. Nilikuwa nikisafisha viatu katika kijiwe kimoja kinachowakutanisha watu wengi wanaopenda kujadili masuala kadhaa wakisubiri huduma hiyo. Mjadala wenyewe ulianzishwa na mzee mmoja, mtumishi wa umma, anayeonekana kukaribia kustaafu. Mzee alimlalamikia mkwe wake kwa kumnyanyasa mwanawe. …

Read More

NAIBU WAZIRI KIHENZILE ATEMBELEA BANDA LA TCAA MKUTANO WA 18 WA PAMOJA WA MAPITIO YA SEKTA YA USAFIRISHAJI

Naibu Waziri wa Uchukuzi, Mhe. David Kihenzile, Disemba 15, 2025 ametembelea banda la Mamlaka ya Usafiri wa Anga Tanzania (TCAA) katika Mkutano wa 18 wa Pamoja wa Mapitio ya Sekta ya Usafirishaji unaofanyika katika Ukumbi wa Kituo cha Kimataifa cha Mikutano cha Arusha (AICC), jijini Arusha. Akiwa katika banda hilo, ameitaka TCAA kuendelea kuimarisha utoaji…

Read More

Kipa Alliance ajivunia ubora, akiiwaza Simba

KIPA wa zamani wa Yanga Princess, Husna Mtunda ameanza vyema ndani ya kikosi cha Alliance Girls ya Mwanza akitoa mchango mkubwa kwa kuzuia nyavu za lango lake kuguswa na wapinzani. Mtunda alijiunga na timu hiyo msimu huu akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba na Yanga Princess, akichukua nafasi ya Nusra Jafari aliyetimkia Fountain Gate…

Read More

VIDEO: Kesi ya Lissu mubashara, mahakama kupokea ushahidi

Dar es Salaam. Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu leo Jumatatu Juni 2, 2025 inaanza kupokea ushahidi wa Serikali katika kesi ya kuchapisha taarifa za uongo mtandaoni, inayomkabili Mwenyekiti wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu. Katika kesi hiyo inayosikilizwa na Hakimu Mkazi Mwandamizi, Geoffrey Mhini, Lissu anakabiliwa na mashtaka matatu ya kuchapisha mitandaoni…

Read More