Meneja wa Mbowe aeleza mitihani ya Lissu Chadema

Dar es Salaam. Siku chache baada ya kumalizika kwa uchaguzi wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), uongozi mpya chini ya Tundu Lissu unakabiliwa na mambo matatu, ikiwemo kuvunja makundi na kukipeleka chama hicho kwenye uchaguzi mkuu wa Oktoba 2025. Mambo hayo yamebainishwa na Daniel Naftari, aliyekuwa Mratibu wa Kampeni za Freeman Mbowe, aliyekiongoza chama…

Read More

Unayofanya kila siku huamua afya ya moyo wako

Nairobi. Watu wengi hugundua kuwa wana kiwango cha juu cha lehemu (cholesterol) wakiwa wameshachelewa sana. Awali hawakubaini tatizo lolote. Unajua kwa nini? Ni kwa sababu hakuna maumivu, hakuna ishara za kutisha, wala dalili za ghafla zinazokuonya kuwa kuna jambo hatari linaendelea kujengwa ndani ya mwili wako. Unajisikia sawa. Unaonekana mzima. Unaendelea na shughuli zako za…

Read More

Sh5.5 bilioni kuyaongezea ujuzi makundi ya vijana sekta hizi

Unguja. Vijana 711,880 kutoka makundi tofauti wanatarajiwa kuongezewa ujuzi kulingana na fani zao nchini kupitia mradi wa vijana Plus. Mradi huo unaoanza mwaka huu hadi 2026, utawapa fursa vijana katika sekta tofauti wakiwemo wajasiriamali, wasanii na waandishi wa habari ili kuwaongezea ujuzi katika maeneo wanayofanyia kazi kwa kipindi cha miaka mitatu utagharimu Euro 2.2 milioni…

Read More

Zama baharini kusaka utajiri kwenye Kasino ya Lucky Dolphin

  Unambiwa bahari imebeba viumbe vingi vya ajabu, samaki, majini na madini, lakini pia rasilimali zenye utajiri mkubwa kama mafuta na gesi kwa kiasi kikubwa vinapatikana baharini waulize wavuvi watakwambia juu ya maajabu ya baharini. Meridianbet kasino mtandaoni inakurudisha baharini kuusaka utajiri kupitia mchezo wa kasino unaitwa Lucky Dolphin. Lucky Dolphin ni sloti ya kasino…

Read More

Maduka Kariakoo hayajafunguliwa | Mwananchi

Dar es Salaam. Baada ya vipeperushi kusambaa kwenye mitandao ya kijamii kuhusu kuwepo kwa mgomo wa wafanyabiashara Soko la Kariakoo, Mwananchi Digital imefika katika soko hilo  na mpaka saa 3 asubuhi maduka mengi bado hayajafunguliwa. Leo Jumatatu, Juni 24, 2024 Mwananchi imeshuhusdia wafanyabiashara katika eneo hilo wakiwa wamekaa nje, huku maduka yao yakiwa yamefungwa. Baadhi…

Read More

Umuhimu wa ushauri nasaha wenye kisukari

Watu wanaoishi na kisukari hukutana na changamoto za kudhibiti kiwango cha sukari, jambo linaloweza kusababisha matatizo makubwa ya kiafya, kama vile magonjwa ya moyo, kiharusi, matatizo ya figo, upofu na vidonda visivyopona. Hata hivyo, athari za kisukari siyo tu za kimwili, bali pia huweza kusababisha matatizo ya kisaikolojia. Kwa watu wengi wenye kisukari hupitia hali…

Read More