Ajali yaua watu tisa Dodoma, mtoto mchanga anusurika

Dodoma. Watu tisa akiwamo dereva wa basi la abiria la Kampuni ya Abuu Trans, wamefariki dunia huku wengine 16 wakijeruhiwa baada ya basi linalofanya safari zake kati ya Dodoma na Kondoa, kupata ajali likitokea Kondoa kwenda Dodoma Mjini. Chanzo cha ajali hiyo kinaelezwa ni dereva wa Fuso kutaka kulipita basi bila kuchukua tahadhari na kusababisha…

Read More

SERIKALI YA AUSTRIA KUFADHILI MIRADI YA UMEME TANZANIA

  …………………. 📌 Ni inayozalisha umeme kutokana na Jua; Takataka 📌 Ufadhili huo ni kupitia Benki ya UniCredit ya Austria 📌 Serikali ya Tanzania yaahidi ushirikiano Serikali ya Austria kupitia Benki ya UniCredit  imeahidi kuipatia fedha Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania kiasi cha Euro Milioni 20 sawa na takribani Shilingi bilioni 60 kwa…

Read More

Mgombea urais Ada Tadea aahidi kujenga viwanda kila wilaya Pemba

Pemba. Mgombea wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia Chama cha ADA Tadea, George Bussungu amesema endapo atapata ridhaa ya kuchaguliwa na wananchi kuiongoza Tanzania katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29,2025   kipaumbele chake kitakuwa ni  ujenzi wa viwanda katika kila wilaya Kisiwani Pemba. Akizungumza katika mkutano wa hadhara uliofanyika  katika Uwanja wa Kangagani…

Read More

Odds Zimeshiba Meridianbet! – Global Publishers

Last updated Sep 18, 2025 Usiku wa Ligi ya Mabingwa Ulaya unaendelea kwa mechi kali kabisa za kukupatia maokoto mengi. Nafasi ya wewe kuondoka na pesa ni kubwa kwani ODDS za leo zimeshiba vibaya mno. Unachotakiwa kufanya ni kubashiri na Meridianbet sasa. Napoli wao wataanza safari ya Ligi ya Mabingwa ugenini leo dhidi ya…

Read More

Othman aahidi kukipa kipaumbele kilimo cha karafuu

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman ameahidi kulivalia njuga zao la karafuu ili liwanufaishe wakulima na kuiingiza kipato Zanzibar. Othman ambaye ni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, ameeleza hayo Alhamisi Septemba 18, 2025 katika mwendelezo wa kampeni zake Pemba ambapo alipata fursa ya kuzungumza na wanakijiji pamoja na…

Read More

Taji la Kagame lampa mzuka Gamondi

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema taji la Kagame walilolitwaa litakuwa chachu ya kuiweka timu kwenye morali nzuri kuikabili Rayon Sports Jumamosi, Septemba 12, mwaka huu. Gamondi alifunguka hayo saa chache baada ya timu yake ikiwa na nyota 26 kuanza safari ya kwenda Rwanda kuwafuata wapinzani wao kwenye michuano ya Kombe la…

Read More

Nyota Twiga Stars apata dili Uturuki

MCHEZAJI wa timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, Noela Luhala amejiunga naAntalyaSpor 1207 inayoshiriki Ligi Kuu ya Uturuki. Noela ambaye msimu uliopita alikuwa akicheza Asa Tel Aviv ya Israel, alisafiri kwenda Uturuki jana tayari kuanza kuitumikia timu hiyo aliyosaini nayo mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kumruhusu kuondoka ifikapo Januari…

Read More

Kaizer Chiefs, Nabi shughuli imeisha

Taarifa kutoka Afrika Kusini zinabainisha kuwa, Kaizer Chiefs imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na kocha wake, Nasreddine Nabi. Ripoti mbalimbali zilizochapishwa na vyombo vya habari nchini humo zinabainisha sababu ya Kaizer Chiefs kufikia uamuzi huo ni baada ya kubainika Nabi leseni yake ya ukocha ya CAF imekwisha muda wa matumizi, hivyo kumfanya asikubalike kuongoza timu…

Read More