Usiposafisha kinywa asubuhi, usiku haya yatakupata

Dar es Salaam. Wakati kesho Ijumaa, Machi 20, 2026 dunia ikiungana kuadhimisha Siku ya Afya ya Kinywa, imeelezwa kuwa,  baadhi ya watu bado hawalichukulii kwa uzito unaostahili suala la kutunza meno, fizi na ulimi. Siku hii ilianzishwa mwaka 2013 ikiwa na malengo mbalimbali ikiwamo kuongeza uelewa, kuwa watu wengi duniani walikuwa hawatilii mkazo afya ya…

Read More

Namna bora ya kufikiri ili kufanikiwa kifedha

Watu wengi hutamani kufanikiwa kifedha na kufikia maisha yenye ustawi. Hata hivyo, mara nyingi watu hujiuliza kwa nini baadhi ya watu wanafanikiwa sana katika maisha ya kifedha wakati wengine wanabaki katika hali ileile kwa muda mrefu. Ukweli ni kwamba mafanikio ya kifedha hayategemei tu kiasi cha fedha mtu anachopata, bali pia namna mtu anavyofikiri kuhusu…

Read More

Umuhimu wa sikukuu kwa biashara ndogo

Ingawa wengi huona kipindi cha sikukuu kama muda wa mapumziko na ibada, nyuma ya pazia kuna gurudumu kubwa la kiuchumi linalozunguka kwa kasi ya ajabu. Katika muktadha wa Tanzania, msimu huu si tu wakati wa kula pilau na kutembelea ndugu, bali ni “mzunguko wa dhahabu” kwa biashara ndogo na za kati (SMEs), hasa zile zilizoko…

Read More

Tujifunze kwa Finland utoaji elimu ya fedha

Fikiria mtoto wa miaka 13 tayari anaelewa kuweka akiba, kupanga bajeti, au kujaribu biashara ndogondogo. Katika makuzi ni umri mzuri wa kujenga na kuzoesha kwa urahisi zaidi kuwa sehemu ya maisha ya mtu. Nchi ya Finland utoaji wa elimu ya umezingatia msingi huo, programu maalum kujifunza masuala ya fedha binafsi na kipato kwa vitendo maarufu…

Read More

Nyuma ya pazia mauzo ya ngozi nchini yazidi kupaa nje ya nchi

Thamani ya ngozi mbichi zilizouzwa sokoni imeongezeka kwa asilimia 35.3 na kufikia Sh3.823 bilioni katika robo mwaka ulioishia Septemba 2025, Ripoti ya uchumi wa kikanda ya Benki Kuu (BoT) inaeleza. Ripoti hiyo inayoangazia ufanisi katika robo mwaka ulioishia Septemba 2025 inaeleza kuwa utendaji huo ulichangiwa kwa kiasi kikubwa na jitihada zinazoendelea za serikali kutoa mafunzo…

Read More

Wanawake watakiwa kurasimisha biashara zao

Dar es Salaam. Katika jitihada za kuinua uchumi wa mwanamke na kufungua milango ya masoko mapya, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Ashura Katunzi, amewataka wanawake wajasiriamali nchini kuzingatia viwango na kurasimisha biashara zao ili kujenga uaminifu na kuongeza ushindani sokoni. Amesema biashara nyingi ndogondogo zinakwamishwa na ukosefu wa kuzingatia viwango na kutofanya…

Read More