UCHAMBUZI WA MJEMA: Bila utashi wa kisiasa, tutatwanga maji kwenye kinu juu ya Katiba, sheria
Tangu miaka ya 1990 hadi 2026, Mahakama za Tanzania na ya Afrika ya Haki za Binadamu na Watu (AfCHPR) zimekuwa zikituonyesha wapi kunavuja katika Katiba na sheria zetu, lakini kukosekana kwa utashi wa kisiasa kumefanya tufumbe macho tusione. Ukweli una sifa moja tu, kwamba hata ukiukataa haugeuki kuwa uongo, nami nasema kwa uzoefu nilionao wa…