Hizi hapa mbinu za biashara mazao ya uvuvi

Dar es Salaam. Wajasiriamali 30 wa mazao ya uvuvi wakiwemo wachakataji na wauzaji wanapewa mbinu za kuboresha mazao ya uvuvi ili kupata masoko ya uhakika, ikiwa pamoja na udhibiti wa hatari za biashara, usafi na usalama wa chakula. Mbinu nyingine ni pamoja na haki miliki na usajili wa jina la biashara, uundaji na usimamizi wa…

Read More

WASICHANA WAMETAKIWA KUSOMA SAYANSI KUKOMBOA JAMII

Farida Mangube Katika kuadhimisho ya siku ya kimataifa ya wanawake na wasichana Katika sayansi, wasichana wametakiwa kutokuogopa kusoma masomo ya sayansi Kwa kuhofia kufanya vibaya na kushindwa kufikia malengo yao Wito huo umetokewa na Wanafunzi wasichana kutoka Chuo Kikuu cha Sokoine cha Kilimo (SUA) wanaosoma fani mbalimbali, wamesema Masoma ya sayansi ni masomo kama yalivyo…

Read More

Beki Mtanzania anukia Kenya | Mwanaspoti

Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20, ameondoka ndani ya kikosi hicho baada ya mkataba wake kuisha, huku ikidaiwa aliomba kutoongeza mwingine kwa lengo la kutafuta changamoto sehemu nyingine mpya. Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20,…

Read More

ORYX, Equity waunga mkono serikali matumizi nishati safi

BENKI ya Equity na Kampuni ya Gesi ya Oryx zimekubaliana kuiunga mkono Serikali kuhusu matumizi ya nishati safi, ili kupunguza uchafuzi wa mazingira. Rais Samia Suluhu Hassan jana Mei 8, 2024 alizindua mkakati wa taifa wa matumizi ya nishati safi ya kupikia kwa lengo la kuhakikisha kuwa asilimia 80 ya Watanzania wanatumia nishati hiyo ifikapo…

Read More

WAZIRI MKUU KUFANYA ZIARA YA SIKU MBILI KILIMANJARO..

    NA WILLIUM PAUL, MOSHI. WAZIRI Mkuu wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania, Kasimu Majaliwa Majaliwa anatarajiwa kuwasili kesho mkoani Kilimanjaro kwa ziara ya siku mbili ambapo atatembelea wilaya za Mwanga, Rombo na Moshi kukagua miradi mbalimbali pamoja na kuifungua huku mingine akiweka mawe ya msingi. Akitoa taarifa za ujio huo ofisini kwake kwa…

Read More

MSD yataja hatua za mageuzi katika uzalishaji wa ndani

Arusha. Bohari ya Dawa (MSD) imesema uwekezaji katika uzalishaji wa bidhaa za afya ndani ya nchi unahitaji kuimarishwa ili viwanda vizalishe zaidi kukidhi mahitaji ya nchi na kuliingizia Taifa fedha za kigeni. Imesema utegemezi wa uagizaji wa bidhaa za afya, unatokana na uwezo hafifu wa viwanda vya ndani, uwekezaji katika sekta ya viwanda vya uzalishaji…

Read More

𝗣𝗥𝗢𝗙. 𝗡𝗢𝗠𝗕𝗢 𝗔𝗦𝗜𝗦𝗜𝗧𝗜𝗭𝗔 𝗨𝗧𝗨𝗡𝗭𝗔𝗝𝗜 𝗪𝗔 𝗩𝗜𝗙𝗔𝗔 𝗩𝗬𝗔 𝗠𝗔𝗙𝗨𝗡𝗭𝗢 𝗩𝗘𝗧𝗔 𝗞𝗔𝗦𝗨𝗟𝗨

Katibu Mkuu Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia Prof. Carolyne Nombo Septemba 10, 2024 ametembelea Chuo cha Ufundi Stadi VETA Kasulu Mkoani Kigoma kuona utekelezaji wa mafunzo ambapo ameridhishwa na maendeleo ya Chuo hicho ambacho mpaka sasa kimepokea wanafunzi zaidi ya 180 wa fani mbalimbali za muda mrefu na mfupi. Prof. Nombo amepata nafasi ya…

Read More

Bibi asimulia mjukuu alivyokosa matibabu kisa Sh20,000

Mwanza. Mwamvua Said (75), mkazi wa Kayenze Wilaya ya Ilemela mkoani Mwanza amewezeshwa bure kadi ya bima ya afya kwa ajili yake na wajukuu zake watano. Amesema alishawahi kurudishwa nyumbani na mjukuu wake aliyekuwa anaumwa kwa kukosa Sh20,000 ya matibabu. Furaha ya bibi huyo ilianza kuonekana alipoitwa  jina lake kwa ajili ya kukabidhiwa kadi ya…

Read More