CCM: Jukumu la kuleta maendeleo, kulinda amani Zanzibar tunalimudu
Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Dk Hussein Mwinyi amesema wananchi wa Zanzibar wanapenda amani, maendeleo na sio porojo. Ametoa kauli hiyo leo Septemba 16, 2025 wakati akizungumza na wakulima, wafanyabiashara na wajasiriamali wa Uzini katika Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja ikiwa ni sehemu ya kampeni za chama hicho,…