Mastraika wamuachia msala Morocco | Mwanaspoti

WAKATI Taifa Stars ikitarajiwa kucheza mechi mbili mwezi ujao za kufuzu michuano ya Afcon 2025 dhidi ya DR Congo, washambuliaji wazawa wamezidi kuuwasha moto katika Ligi Kuu Bara, huku kocha wa kikosi, Hemed Morocco akifunguka ya moyoni. Stars ambayo ilishinda mchezo wa mwisho dhidi ya Guinea kwa mabao 2-1 ikiwa ugenini, ilishuhudiwa mabao yakifungwa na…

Read More

WANA-DGSS WAADHIMISHA SIKU YA KIMATAIFA YA KIDEMOKRASIA IKIHIMIZA USHIRIKI WA WANAWAKE KATIKA MAAMUZI

Septemba 15 ya kila mwaka, wananchi kote duniani huadhimisha Siku ya Kimataifa ya Demokrasia, siku ambayo inelanga kukumbusha na kuhimiza majukumu na wajibu wa kukuza na kudumisha kanuni za demokrasia duniani kote. Leo Jumatano Septemba 18, 2024 wadau wa Semina za Jinsia na Maendeleo (GDSS) wameitumia siku hiyo kama sehemu ya maadhimisho ambapo kwa pamoja…

Read More

Maonyesho ya viwanda vidogo kufanyika Dodoma

  SERIKALI imewaalika wananchi na wadau mbalimbali kuhudhuria mkutano wa kukusanya maoni kuhusu Sera mpya ya biashara ndogo ndogo (SMEs) utakaofanyika mkoani Dodoma. Anaripoti Mwandishi Wetu, Dodoma … (endelea). Hayo yalisemwa mwishoni mwa wiki na Naibu Katibu Mkuu wa Wizara ya Viwanda na Biashara, Dk. John  Simbachawene, wakati akizungumza kwenye uzinduzi wa siku ya viwanda…

Read More

Nyakua kitita leo kwa kucheza European Roulette sloti

Mchezo ni mmoja tu kwasasa ambao unakuhakikishia kushinda mkwanja wa kutosha nao si mwingine ni European Roulette ambao umekuja kwa kasi na washindi wa vitita wanapatikana kila siku cheza leo ushinde. European Roulette ni moja wa michezo ya kasino ya mtandaoni rahisi na inayopendwa na wachezaji wengi, mchezo huu umetengenezwa na Habanero. Ambapo Meridianbet kasino…

Read More

Mtandao wa kuomba ajira Polisi walalamikiwa haufunguki

Dodoma. Wakati siku ya mwisho ya maombi ya kazi kwenye Jeshi la Polisi ni Jumanne ya Mei 21, 2024, waombaji wengi wamelalamikia mtandao wa jeshi hilo kutofunguka. Malalamiko hayo yametolewa na watu mbalimbali huku wengine wakishauri jeshi hilo liruhusu barua za maombi zipelekwe kwa mkono kwa makamanda wa polisi wa mikoa na wilaya. Malalamiko ya…

Read More