TPDC YAHAMASISHA ULINZI NA USALAMA WA MIUNDOMBINU YA GESI ASILIA
Wananchi waliohudhuria mkutano wa hadhara, Mtaa wa Ulongoni A Juni 8, 2024 Shirika la Maendeleo ya Petroli Tanzania (TPDC) kwa kushirikiana na Kampuni Tanzu ya GASCO limeendea kuelimisha Umma juu ya ulinzi na usalama wa miundombinu ya bomba la gesi kwa njia mbalimbali ikiwemo mikutano ya hadhara. Elimu ya mara kwa mara imekuwa na matokeo…