
Mastraika wamuachia msala Morocco | Mwanaspoti
WAKATI Taifa Stars ikitarajiwa kucheza mechi mbili mwezi ujao za kufuzu michuano ya Afcon 2025 dhidi ya DR Congo, washambuliaji wazawa wamezidi kuuwasha moto katika Ligi Kuu Bara, huku kocha wa kikosi, Hemed Morocco akifunguka ya moyoni. Stars ambayo ilishinda mchezo wa mwisho dhidi ya Guinea kwa mabao 2-1 ikiwa ugenini, ilishuhudiwa mabao yakifungwa na…