Bado Watatu – 37

Alinipeleka katika chumba kimoja ambako nilimkuta mume wangu Sufiani akiwa pamoja na askari niliyemfahamu kwa jina la Sajin Meja Robert. Polisi hao walikuwa wamepata ushahidi kuwa siku ile lilipotokea tukio…

Read More

Yusuph Mhilu aongeza mmoja Geita Gold

GEITA Gold ya Championship imemwongezea mkataba wa mwaka mmoja mshambuliaji Yusuph Mhilu kuitumikia timu hiyo msimu ujao wa 2025/2026. Msimu uliopita Mhilu aliifungia timu hiyo mabao 10 na asisti moja, jambo ambalo uongozi wa timu hiyo umeona umuhimu wa kuendelea naye, kutokana na mikakati yao ya kupanda Ligi Kuu. Alipotafutwa Mhilu kuthibitisha hilo alisema baada…

Read More

Kiu na kufa na njaa, Wagazans wanakabiliwa na uhamishaji wa ‘kibinadamu’; UNICEF – Maswala ya Ulimwenguni

Maendeleo hayo yalifuatia ripoti kwamba jeshi la Israeli limepanda ardhi yake kukera katika Jiji la Gaza, na kuwaamuru wakaazi waondoke katika eneo hilo. Akizungumza kutoka kusini mwa enclave, UNICEFTess Ingram alielezea uhamishaji wa nguvu wa familia kama “tishio mbaya kwa walio hatarini zaidi”. “Ni ubinadamu kutarajia karibu nusu ya watoto milioni walioshambuliwa na kuhuzunika kwa…

Read More

MAAFISA MIPANGOMIJI WAFUNDWA KUTEKELEZA MAJUKUMU KWA WELEDI

Na Munir Shemweta, WANMM ARUSHA Katika kuboresha utendaji kazi na usimamizi wa masuala ya mipangomiji nchini Wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kupitia idara ya Maendeleo ya Makazi inaendesha kikao kazi kwa Maafisa Mipangomiji wa mikoa ili kujipanga kutekeleza majukumu yao kwa weledi. Kikao hicho cha siku tatu kinachofanyika mkoani Arusha kuanzia Sept…

Read More

Kesi ya ‘Dk Manguruwe’ Shahidi aeleza alivyotapeliwa milioni 1.5 kilimo cha soya

Dar es Salaam. Shahidi wa 20 wa upande wa Jamhuri katika kesi ya kuendesha biashara ya upatu inayomkabili Mkurugenzi wa Vanilla International Ltd, Simon Mkondya, maarufu Dk Manguruwe, ameieleza Mahakama jinsi alivyotapeliwa Sh1.5 milioni kupitia kilimo cha soya. Shahidi huyo, David Mabwira, alidai alipoteza fedha hizo baada ya kuwekeza katika zao la soya lakini hakuwahi…

Read More

Askofu Massawe aonya upofu wa roho

Dar es Salaam. Askofu Mkuu wa Jimbo Kuu Katoliki Arusha, Isaac Massawe amesema upofu wa roho umewafanya binadamu kujiona wapo juu ya Mungu hivyo kutojali haki za watu wengine. Amesema mwanadamu hupofushwa na tamaa za mwili, mali na madaraka, hivyo kunahitajika mwanga wa kumsaidia kuona kwa usahihi na kutenda yaliyo sahihi. Askofu huyo alitoa kauli…

Read More

Dogo Paten aibua shangwe kwa Mkapa

Msanii wa Singeli maarufu kama Dogo Paten ameibua shangwe kwa mashabiki baada ya kupata nafasi ya kutumbuiza saa chache baada ya mchezo wa kwanza wa ufunguzi ambapo Yanga Orincess imecheza na Mashujaa Queens. Wimbo Paten wa Afande umeibua hisia kubwa na kupokewa kwa swangwe na mashabiki waliojitokeza kwa wingi kwa Mkwapa katika tamasha la Wiki…

Read More