Mlinda Mlango wa Nigeria, Stanley Nwabali Afiwa na Mama
Mlinda Mlango wa Nigeria, Stanley Nwabali Afiwa na Mama – Global Publishers Home Michezo Mlinda Mlango wa Nigeria, Stanley Nwabali Afiwa na Mama
Mlinda Mlango wa Nigeria, Stanley Nwabali Afiwa na Mama – Global Publishers Home Michezo Mlinda Mlango wa Nigeria, Stanley Nwabali Afiwa na Mama
Mama na mwanawe wakiwa wamevalia barakoa walikuwa wamepanda pikipiki katika barabara ya Bangkok. Mji mkuu wa Thailand ulikuwa na kiwango cha juu cha uchafuzi wa chembe za PM2.5. Credit: Pexels/Maksim Romashkin Maoni na Keran Wang, Sheryl Rose Reyes na Taisei Ukita (bangkok, Thailand) Jumatano, Januari 14, 2026 Inter Press Service BANGKOK, Thailand, Januari 14 (IPS)…
WAZIRI Mkuu Kassim Majaliwa ameiagiza Wizara ya Maliasili na Utalii kuhakikisha inaweka vigezo vya wazi na vinavyojulikana vya uteuzi na upokeaji wa tuzo za uhifadhi na Utalii. Vigezo hivyo, pamoja na mambo mengine viwe vinavyozingatia ubora katika uhifadhi wa mazingira, huduma za utalii, usimamizi wa hifadhi za Wanyama na uendelezaji wa maeneo ya utalii. Maagizo…
NA VICTOR MASANGU,KIBAHA HALMASHAURI ya Manispaa ya Kibaha mkoani Pwani imetiliana saini ya mikataba na kampuni ya M/S Dimetoclasa Real Hope Limited kwa ajili ujenzi wa mradi wa soko la Mnarani na ujenzi wa miundombinu ya barabara wenye thamani ya zaidi ya Sh.bilioni 19.8. Hafla hiyo imefanyika Septemba 25,2025 katika viwanja vya stendi ya Loliondo…
Voltaire Batundi, kiongozi wa mashirika ya kiraia mtaani Masisi, jimboni Kivu Kaskazini, amesema waasi wa M23 wamehusika na uchimbaji madini ya Coltan huko Rubaya. Mji wa Rubaya una mabaki ya tantalum, ambayo hutolewa kutoka kwenye madini ya coltan, ambayo ni muhimu katika utengenezaji wa simu za kisasa. Batundi amesema bei ya kilogramu moja ya madini…
WAKATI kikosi cha Singida Black Stars kikijiandaa na mchezo wa Novemba 24 mwaka huu ugenini dhidi ya Tabora United kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mshambuliaji wa timu hiyo, Elvis Rupia amesema wanahitaji kuonyesha bado wako katika mbio zao za ubingwa. Kauli ya nyota huyo raia wa Kenya imejiri baada ya kikosi hicho kushindwa kupata…
Dar es Salaam. Jamii imekuwa na mtazamo tofauti kuhusu matumizi ya bamia, baadhi wakiamini kwa kutumia maji yake wanaweza kuongeza uteute kwenye magoti. Mbali ya hao, wapo wanaoamini kwa kutumia maji ya bamia wanaweza kuongeza uteute ukeni. Hata hivyo, ukweli ni kuwa kutokana na utajiri wa vitamini na viambata vilivyomo ndani ya bamia, huchangia kuimarisha…
Unguja. Wakati takwimu zikionyesha kiwango cha umasikini kuongezeka Zanzibar, Serikali imeainisha hatua inazochukua kukabiliana na changamoto hiyo. Kwa mujibu wa Ofisi ya Mtakwimu Mkuu wa Zanzibar, kwa mwaka 2019/20 tathmini ya hali ya umasikini iliainisha wa mahitaji ya msingi ni asilimia 25.7 na umasikini wa chakula ni asilimia 9.3, huku wilaya nne za mikoa ya…
Na Pamela Mollel,Arusha Waziri wa Mawasiliano na Teknolojia ya habari,Jerry Silaa amewataka wananchi wanaotapelewa kwa njia ya mitandao ya simu kutoa taarifaa katika mamlaka husika ili hatua kali zaidi zichukuliwe ili kukomesha utapeli huo Alitoa rai hiyo jijini Arusha Februari 21,2025 katika mkutano maalumu na waandishi wa habari kuhusu kampeni kabambe ya “SITAPELIKI “inayolenga kutoa…
Dar es Salaam. Januari 26-28, 2025 baadhi ya maeneo ya Jiji la Dar es Salaam yalikuwa kwenye mwonekano tofauti na ule uliozoeleka kwa muda mrefu. Barabara takribani tisa za kuingia katikati ya jiji zilifungwa kwa muda ndani ya siku sita huku ulinzi ukiimarishwa kila kona. Mabadiliko hayo yalilenga kuhakikisha usalama na utulivu kwa wageni waliohudhuria…