Ujenzi Daraja la Jangwani wanukia

Dodoma. Serikali imesema katika mwaka wa fedha wa 2024/25 itaanza utekelezaji wa mradi wa kimkakati wa ujenzi wa Daraja la Jangwani. Ujenzi huo ni sehemu ya utekelezaji wa mradi mkubwa wa maendelezo ya Bonde la Mto Msimbazi. Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa amesema hayo bungeni leo Jumatano Mei 29 2024  alipowasilisha makadirio ya mapato na…

Read More

WANAOSAFIRISHA MAZAO KINYUME CHA SHERIA KUWAJIBISHWA– COPRA

Na Karama Kenyunko Michuzi Tv MAMLAKA ya Udhibiti wa Nafaka na Mazao Mchanganyiko (COPRA) imeonya vikali wafanyabiashara wanaosafirisha mazao ya kilimo bila kusajiliwa, ikibainisha kuwa hatua kali za kisheria zitachukuliwa dhidi yao. Onyo hilo limetolewa na Mkurugenzi Mtendaji wa COPRA, Irene Mlola, leo Julai 6, 2025 alipokuwa akizungumza na waandishi wa habari alipotembelea banda la…

Read More

SERIKALI IMEWAONYA WATUMISHI WA UMMA WANAOTOA LUGHA ZISIZO ZA STAHA, WAKUMBUSHWA MAADILI YA KIUTUMISHI.

Na Mwandishi wetu Dodoma  Serikali imewataka watumishi wa umma kuzingatia sheria kanuni Taratibu na mienendo ya maadili ya utendaji, na maadili ya taaluma zao, katika utendaji wao wa kazi, ili kutoa huduma bora kwa kuzingatia weledi, uadilifu na uwajibikaji wa hiari kwa lengo la kuimarisha ustawi kwa jamii na kupunguza malalamiko kwa wananchi. Wito huo…

Read More

Wenye umri huu hatarini kupata homa ya ini

Dodoma. Watu wenye umri wa miaka 15 hadi 60 wapo hatarini kuugua homa ya ini huku takwimu zikionyesha asilimia 3.5 ya kundi hilo huathiriwa na ugonjwa huo. Hayo yamebainishwa leo Julai 24, 2025 na Meneja mpango wa Taifa wa kudhibiti Ukimwi, magonjwa ya ngono na homa ya ini, Dk Prosper Njau wakati wa mkutano na…

Read More

Winifrida Charles arejea Fountain Gate baada ya kupona

BAADA ya kukaa nje kwa muda mrefu akiuguza majeraha ya goti, hatimaye kiungo mshambuliaji wa Fountain Gate Princess, Winifrida Charles, amerejea akicheza mchezo wake wa kwanza dhidi ya Boni Consilli Girls ya Uganda. Kiungo huyo alipata majeraha ya goti yaliyomuweka nje ya uwanja kwa takribani msimu mmoja na nusu. Winifrida alionyesha kiwango bora kwenye mashindano…

Read More