Wadau watoa wito tafiti zisaidie wajasiriamali

Dar es Salaam. Pengo lililopo kati ya tafiti zinazofanywa katika taasisi za elimu ya juu na mahitaji halisi ya wafanyabiashara limeendelea kudaiwa kuwa kikwazo kikubwa, katika maendeleo ya biashara ndogo na za kati Tanzania na barani Afrika kwa ujumla. Hali hiyo imebainika kuhitaji mabadiliko ya haraka ili tafiti za kitaaluma ziweze kutatua changamoto za wajasiriamali,…

Read More

Beki Simba anukia CI Kamsar ya Guinea

ALIYEKUWA beki wa kushoto wa Simba, Valentin Nouma anakaribia kujiunga na timu ya CI Kamsar ya Guinea, baada ya nyota huyo raia wa Burkina Faso kuondoka Msimbazi alikotumikia kwa msimu mmoja tu. Nouma alijiunga na Simba, Julai 7, 2024 akitokea FC Saint Eloi Lupopo ya DR Congo kwa mkataba wa miaka mitatu, lakini alifikia makubaliano…

Read More

Damu ya bubu yamponza, ahukumiwa kunyongwa hadi kufa

Arusha. Damu ya bubu yamponza. Ndivyo unavyoweza kusema baada ya Mahakama Kuu Masijala Ndogo ya Dodoma kumhukumu adhabu ya kunyongwa hadi kufa, Augustino Kenan, aliyekutwa na hatia ya mauaji ya Michael Mwimbwa. Mahakama hiyo imewaachia huru washtakiwa wengine wawili, Emmanuel Joseph maarufu kama Ngosha na Emmanuel Efraim maarufu kama Bravoo, baada ya kuwakuta hawana hatia…

Read More

Samsung Electronics Names Young Hyun Jun as New Head of Device Solutions Division – MWANAHARAKATI MZALENDO

Samsung Electronics today announced that Young Hyun Jun was named as the new Head of Device Solutions (DS) Division to lead the Company’s semiconductor business and strengthen its competitiveness amid an uncertain global business environment. Vice Chairman Jun, who has extensive experience in the semiconductor and battery businesses, joined Samsung Electronics in 2000 and worked…

Read More

WAZIRI MHAGAMA AMPONGEZA DK.RAIS SAMIA,UINGEREZA KUTOKOMEZA MAGONJWA YASIYOPEWA KIPAUMBELE

    Na Mwandishi Wetu WAZIRI wa Afya Jenista Mhagama amesema anamshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan pamoja na Serikali ya Uingereza kwa kuamua kufanya kazi ya kutokomeza magonjwa haya amabyohayapewi kipaumbele. Ametoa shukrani hizo  Septemba 18, 2024 wakati wakiwa katika ziara pamoja na Princess Sophie (Duchess of Edinburgh)…

Read More

Vifaa ndani ya SGR vyaanza kuharibiwa

Juni, 2024 baada ya kuanza kwa safari za treni ya mwendokasi (SGR) nilikusanya vijisenti nikaionja bana, maana si kodi zangu bana shwaa nikaingia Morogoro asubuhi, jioni nikarudi kwa raha zangu. Hata hivyo kulikuwa na tafrani kadhaa ikiwamo siti kugongana yaani unakutana umepewa siti namba mbili na mwenzake anayo hiyo hiyo basi shida tupu. Foleni nayo…

Read More

Adebayor aona kitu Ligi Kuu Bara

WINGA wa Singida Black Stars, Victorien Adebayor kwa namna alivyoifuatilia Ligi Kuu Bara, amesema ameuona ushindani ambao mchezaji anayejituma unamjengea heshima mbele ya wadau wa soka.  Adebayor alijiunga na timu hiyo akitokea AS GNN ya kwao Niger aliyojiunga nayo Januari mwaka huu kwa mkopo kutoka Amazulu FC ya Afrika Kusini. Mechi yake ya kwanza Adebayor…

Read More