Fei Toto aipa pigo Azam FC

KIKOSI cha Azam kipo Bukoba kwa ajili ya mechi ya Ligi Kuu Bara dhidi ya Kagera Sugar, lakini kikiwa na pigo baada ya kiungo mshambuliaji nyota, Feisal Salum ‘Fei Toto’ kutokuwepo kutokana na kuwa majeruhi, huku kocha akidai kuvurugwa kwa kumkosa. Inaelezwa nyota huyo anayeongoza kwa asisti katika ligi akiwa nazo 13 ameshindwa kuambatana na…

Read More

Rais Samia ataka falsafa ya 4R itumike sekta ya ushirika

*Aagiza maofisa ugani wapimwe kwa utendaji Na Nora Damian, Mtanzania Digital Rais Samia Suluhu Hassan ameagiza maofisa ugani wapimwe kwa utendaji wao huku pia akitaka falsafa ya kujenga upya, maridhiano, ustahimilivu na mabadiliko (4R) itumike kukuza sekta ya ushirika nchini. Amesema mwelekeo wa serikali ni kujenga uchumi jumuishi unaochechea maendeleo vijijini na kuongeza kasi ya…

Read More

Siri ya kuishi na wakwe wakorofi

Maisha ya ndoa huambatana na changamoto nyingi, mojawapo ikiwa ni uhusiano kati ya mtu na wakwe zake. Wakati mwingine, wakwe huwa baraka kubwa katika maisha ya wanandoa, lakini kuna hali ambapo baadhi ya wakwe huwa wakorofi, wakivuruga amani ya familia. Makala inachambua mbinu mbalimbali ambazo mtu anaweza kutumia kuishi kwa amani na wakwe wenye tabia…

Read More

WAZIRI BASHUNGWA AKABIDHI KAZI YA UJENZI WA MADARAJA USHETU

Waziri wa Ujenzi Innocent Bashungwa akizungumza wakati wa ziara ya kukagua hatua maendeleo ujenzi wa Madaraja Halmashauri ya Ushetu Mkoa wa Shinyanga. Na Mwandishi wetu – Malunde 1 blog Katika hatua kubwa ya kuboresha miundombinu ya barabara na madaraja mkoani Shinyanga, Waziri wa Ujenzi, Innocent Bashungwa, amefanya ziara ya kikazi katika Halmashauri ya Ushetu Wilayani…

Read More

SERIKALI YAHAMASISHA WADAU KUWEKEZA KATIKA UTALII ENDELEVU

………………… Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Khamis Hamza Khamis ametoa wito kwa wadau katika sekta ya utalii kuongeza uwekezaji na juhudi za pamoja katika usimamizi wa utalii katika maeneo yanayolindwa ili kuwa na Utalii endelevu. Mhe. Khamis ameongeza kuwa kuwekeza katika utalii wa maeneo yaliyolindwa sio tu kunafaida kwa…

Read More

Kapteni Traore aivunja Tume Huru ya Uchaguzi Burkina Faso

Serikali ya kijeshi ya Burkina Faso imeivunja rasmi Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (CENI), ikieleza kuwa chombo hicho kimekuwa kikisababisha matumizi mabaya ya fedha za umma na kuruhusu ushawishi wa kigeni katika masuala ya ndani ya nchi hiyo. Uamuzi huo umetangazwa kupitia televisheni ya taifa (RTB), ambapo ilielezwa kuwa majukumu ya tume hiyo yatahamishiwa…

Read More

Mrundi aziingiza vitani Pamba Jiji, TRA United

LICHA ya beki wa kati wa Fountain Gate, Mrundi Derrick Mukombozi kubakisha mkataba wa miezi sita na kikosi hicho, ila timu mbalimbali zimeanza kuiwinda saini yake dirisha dogo la Januari 2026, zikiwemo za Pamba Jiji na TRA United. Mtu wa karibu na mchezaji huyo, ameiambia Mwanaspoti ni kweli nyota huyo anafuatiliwa na timu mbalimbali dirisha…

Read More