Cole palmer: “Asante Pochettino” – Millard Ayo

Cole Palmer alielezea msaada wake na shukrani kwa meneja aliyeondoka Mauricio Pochettino, akimsifu kwa kuweka misingi ya mafanikio katika Chelsea. Palmer aliangazia jukumu la Pochettino katika kusimamisha slaidi ya kilabu na kuwarudisha kwenye njia sahihi kwa kuanzisha msingi mzuri na kusukuma wachezaji kufanya vyema. Alichapisha kwenye mtandao wa kijamii: “Gaffer – asante kwa kila kitu…

Read More

Jamii yaaswa kusaidia watoto yatima

Dar es Salaam. Wito umetolewa kwa jamii kuwasadia watu wenye mahitaji maalumu ili nao washerehekee mwaka mpya kwa furaha. Hayo yamelezwa leo Desemba 31, 2024 na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wajomba Family, Salum Ally wakati wa utoaji wa misaada kwa watoto yatima Wilaya ya Kigamboni.    Msaada huo umehusisha unga wa ngano, unga wa mahindi, mafuta…

Read More

Wanasiasa kadhaa washambuliwa Ujerumani – DW – 05.05.2024

Nchini Ujerumani yameitishwa maandamano ya kulaani mashambulizi ya hivi karibuni yaliyofanywa dhidi ya wanasiasa kadhaa pamoja na watu wanaofanya harakati za kampeni za uchaguzi wa Umoja wa Ulaya ndani ya Ujerumani. Mashambulizi hayo ambayo yamekuwa yakiendelea kushuhudiwa katika mitaa mbali mbali yamesababisha mshtuko nchini Ujerumani. Waziri wa mambo ya ndani Nancy Faeser ameitisha mkutano wa…

Read More

WIZARA YA ELIMU KUCHUKUA HATUA MADHUBUTI KUBORESHA UFAULU MASOMO YA SAYANSI, HISABATI NA TEHAMA

Na Mwandishi Wetu, ARUSHA Wizara ya Elimu, Sayansi na Teknolojia imeeleza kuwa inachukua hatua madhubuti kuboresha ufaulu wa masomo ya Sayansi, Hisabati, na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano (Tehama) nchini. Wizara imesema kuwa walimu wa masomo hayo wanapatiwa mafunzo ya mara kwa mara kwa lengo la kuboresha ufanisi katika ufundishaji na ujifunzaji. Akizungumza jijini Arusha…

Read More

WIZI WA MILIONI 400 ZA BODABODA ARUSHA, MTUHUMIWA MUHIMU ATIWA MBARONI ,DIWANI WA VITI MAALUM AKAANGWA TAKUKURU KUHUSU MILIONI 120.

 Na Joseph Ngilisho Arusha Wakati kilio cha muda mrefu cha wizi wa sh, milioni 400 za waendesha pikipiki maarufu bodaboda Mkoa wa Arusha zilizochangwa na wadau mwaka 2017 ,zipo taarifa za uhakika za kushikiliwa kwa mwenyekiti wa zamani wa umoja wa bodaboda Arusha (UBOJA),Maulid Makongoro. Vyombo vya dola vililazimika kuzinduka usingizini mara baada ya Mkuu…

Read More

Rufaa yawanusuru wawili waliohukumiwa kuwaua wanandoa

Arusha. Mahakama ya Rufani imewaachia huru wakazi wawili wa Mkoa wa Mara, waliohukumiwa adhabu ya kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa makosa ya kuwaua wanandoa. Walioachiwa huru ni Mwita Magori na Nyamahonge Joseph ambao walihukumiwa adhabu hiyo baada ya kukutwa na hatia ya kuwaua wanandoa ambao ni Mgosi Chacha na Mtongori Mwita, kisha…

Read More