Othman aahidi kukipa kipaumbele kilimo cha karafuu

Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha ACT Wazalendo, Othman Masoud Othman ameahidi kulivalia njuga zao la karafuu ili liwanufaishe wakulima na kuiingiza kipato Zanzibar. Othman ambaye ni Mwenyekiti wa ACT Wazalendo, ameeleza hayo Alhamisi Septemba 18, 2025 katika mwendelezo wa kampeni zake Pemba ambapo alipata fursa ya kuzungumza na wanakijiji pamoja na…

Read More

Taji la Kagame lampa mzuka Gamondi

KOCHA Mkuu wa Singida Black Stars, Miguel Gamondi amesema taji la Kagame walilolitwaa litakuwa chachu ya kuiweka timu kwenye morali nzuri kuikabili Rayon Sports Jumamosi, Septemba 12, mwaka huu. Gamondi alifunguka hayo saa chache baada ya timu yake ikiwa na nyota 26 kuanza safari ya kwenda Rwanda kuwafuata wapinzani wao kwenye michuano ya Kombe la…

Read More

Nyota Twiga Stars apata dili Uturuki

MCHEZAJI wa timu ya taifa ya Wanawake ya Tanzania, Twiga Stars, Noela Luhala amejiunga naAntalyaSpor 1207 inayoshiriki Ligi Kuu ya Uturuki. Noela ambaye msimu uliopita alikuwa akicheza Asa Tel Aviv ya Israel, alisafiri kwenda Uturuki jana tayari kuanza kuitumikia timu hiyo aliyosaini nayo mkataba wa mwaka mmoja ambao una kipengele cha kumruhusu kuondoka ifikapo Januari…

Read More

Kaizer Chiefs, Nabi shughuli imeisha

Taarifa kutoka Afrika Kusini zinabainisha kuwa, Kaizer Chiefs imefikia makubaliano ya kusitisha mkataba na kocha wake, Nasreddine Nabi. Ripoti mbalimbali zilizochapishwa na vyombo vya habari nchini humo zinabainisha sababu ya Kaizer Chiefs kufikia uamuzi huo ni baada ya kubainika Nabi leseni yake ya ukocha ya CAF imekwisha muda wa matumizi, hivyo kumfanya asikubalike kuongoza timu…

Read More

Hongera JKT Queens, Kenya wakubali tu

KIJIWE kinawapongeza Maafande wetu wa kike JKT Queens kwa kuibuka mabingwa wa mashindano ya kuwania kufuzu Klabu Bingwa Afrika 2025 yaliyofikia tamati Jumanne wiki hii huko Kenya. Kwa kutwaa huko ubingwa, JKT Queens imejihakikishia tiketi ya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake, shindano ambalo wiki kama mbili au tatu zijazo litafanyika Algeria likishirikisha klabu…

Read More

Taifa Stars yaanguka nafasi nne viwango FIFA

Dar es Salaam. Timu ya Taifa ya Tanzania, Taifa Stars imeanguka kwa nafasi nne katika viwango vya ubora wa soka vya Shirikisho la Mpira wa Miguu Duniani (FIFA) vilivyotangazwa leo, Septemba 18, 2025. Tanzania imedondoka kwa nafasi kutoka ya 103 ambayo ilikuwepo awali hadi nafasi ya 107 kwa viwango vilivyotolewa leo na FIFA. Kufanya vibaya…

Read More

TISEZA YATEMBELEA KONGANI YA BUZWAGI NA KUPONGEZA BARRICK KWA MCHAKATO WA KUFUNGA MGODI WA VIWANGO VYA KIMATAIFA

Ujumbe kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) ulipata fursa kutembelea maeneo ya wawekezaji mbalimbali kwenye eneo la Kongani ya Buzwagi. Ujumbe kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) ulipata fursa kutembelea maeneo ya wawekezaji mbalimbali kwenye eneo la Kongani ya Buzwagi. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya…

Read More

Lissu: Mimi ni mshitakiwa wa uhaini sio mwenzenu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama iwaamuru mawakili wa Jamhuri kumtambulisha yeye kama mshitakiwa na sio mwezao. Amesema kuwa yeye ni mshitakiwa wa makosa ya uhaini hivyo, anapaswa kuitwa hivyo na sio mawakili hao kumuita mwenzao. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini katika Mahakama Kuu…

Read More

Wakati asasi za kiraia zinahifadhiwa nje, tunapaswa kujenga chumba kikubwa – maswala ya ulimwengu

Mkopo: UN PICHA/LOEY FELIPE Maoni na Harvey Dupiton (New York) Jumatano, Septemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NEW YORK, Septemba 17 (IPS)-Nakala ya hivi karibuni ya IPS, “Mikutano ya kiwango cha juu cha Unga: NGOs zilizopigwa marufuku tena,” ilitumika kama ukumbusho wenye uchungu wa kitendawili cha muda mrefu: Umoja wa Mataifa, shirika lililoanzishwa…

Read More