Wanawake watakiwa kurasimisha biashara zao
Dar es Salaam. Katika jitihada za kuinua uchumi wa mwanamke na kufungua milango ya masoko mapya, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Ashura Katunzi, amewataka wanawake wajasiriamali nchini kuzingatia viwango na kurasimisha biashara zao ili kujenga uaminifu na kuongeza ushindani sokoni. Amesema biashara nyingi ndogondogo zinakwamishwa na ukosefu wa kuzingatia viwango na kutofanya…