Wanawake watakiwa kurasimisha biashara zao

Dar es Salaam. Katika jitihada za kuinua uchumi wa mwanamke na kufungua milango ya masoko mapya, Mkurugenzi Mkuu wa Shirika la Viwango Tanzania (TBS), Ashura Katunzi, amewataka wanawake wajasiriamali nchini kuzingatia viwango na kurasimisha biashara zao ili kujenga uaminifu na kuongeza ushindani sokoni. Amesema biashara nyingi ndogondogo zinakwamishwa na ukosefu wa kuzingatia viwango na kutofanya…

Read More

WANANCHI WA MPANDA KUNUFAIKA NA MRADI WA TACTIC

****** ‎Mkurugenzi wa Halmashauri ya Manispaa   ya Mpanda, Bw. Gwalusajo Kapande amesema kuwa utekelezaji wa mradi wa Uendelezaji wa Miundombinu ya Miji Tanzania (TACTIC) katika Manispaa hiyo utaleta mabadiliko chanya kwa wana Mpanda na wageni katika utoaji huduma na mahitaji mbalimbali ya usafiri na usafirishaji, mazingira bora ya shughuli za kiuchumi na ongezeko la mapato…

Read More

Marekani Yatoa Onyo la Mwisho kwa Iran Kuhusu Shambulio la Qatar

Rais wa Marekani, Donald Trump, ametoa onyo kali kwa Iran, akisisitiza kuwa taifa hilo litakumbana na hatua kali iwapo litaendelea na mashambulizi dhidi ya miundombinu ya nishati katika eneo la Ghuba, hasa Qatar. Kupitia ujumbe aliouchapisha katika mtandao wa Truth Social, Trump alieleza kuwa Marekani haikuhusika kwa namna yoyote na shambulio la hivi karibuni lililofanywa…

Read More

MAAFISA UGANI KUONGOZA MAPINDUZI YA KILIMO KILIMANJARO

****** Na Ashrack Miraji Torch Media   Serikali mkoani Kilimanjaro imeanza utekelezaji wa mkakati maalum wa kuwawezesha maafisa ugani kupitia mafunzo ya kitaalamu, ikiwa ni jitihada za kuleta mapinduzi katika sekta ya kilimo na kuongeza tija kwa wakulima. Hatua hiyo inalenga pia kukabiliana na athari za mabadiliko ya tabianchi pamoja na kuinua kipato cha wakulima katika…

Read More