WAZEE WA BARAZA CCM KIBAHA MJI WACHUKIZWA VITENDO VYA KUMKOSEA HESHIMA RAIS DKT.SAMIA KUPITIA MITANDAO
VICTOR MASANGU, KIBAHA BARAZA la wazee wa chama cha mapinduzi (CCM) Wilaya ya Kibaha mji Mkoa wa Pwani limelaani vikali viendo vya baadhi ya makundi ya vijana kutoka nchini Kenya kutokuwa na busara kwa kuamua kumkosea heshima Rais wa awamu ya sita Dkt. Samia Suluhu Hassan kupitia kwenye mitandao ya kijamii hali ambayo inaweza kupelekea…