Katika CSW70, Mawakili Wanaonya Migogoro Inaongeza Vikwazo kwa Haki kwa Wanawake na Wasichana – Masuala ya Ulimwenguni

Mkurugenzi Mtendaji wa UN Women, Sima Bahous akihutubia wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa Sabini wa Kamisheni kuhusu Hadhi ya Wanawake. Credit: UN Photo/Evan Schneider na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Jumanne, Machi 17, 2026 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Machi 17 (IPS) – Kikao cha 70 cha Tume ya Hadhi ya Wanawake (CSW70)…

Read More

Mjane Aomba Zuio La Muda – Global Publishers

Alice Hause ambaye ni Mjane wa marehemu Justice Rugaibula leo September 25,2025 amewasilisha maombi madogo Na.24541/2025 katika Mahakama Kuu, Divisheni ya Ardhi, akiomba zuio la muda la kutoondolewa kwenye nyumba iliyopo Kiwanja Na.819, Hati Na.49298, Msasani Beach, Dar es salaam. Taarifa iliyotolewa na Mkuu wa Kitengo cha Habari, Elimu na Mawasiliano wa Mahakama ya Tanzania,…

Read More

Waziri Kapinga aanza ziara China ya kuvutia uwekezaji

China. Waziri wa Viwanda na Biashara, Judith Kapinga ameanza ziara ya kikazi ya siku tatu nchini China yenye lengo la kuhamasisha uwekezaji katika sekta za viwanda na biashara nchini. Ziara hiyo imeanza katika Jiji la Hangzhou, lililopo katika Jimbo la Zhejiang. Tayari waziri huyo ameshiriki kongamano la wafanyabiashara na wawekezaji takribani 100 lililoandaliwa na China…

Read More

Kauli ya Mpina baada ya kupitishwa INEC

Dar es Salaam. Mgombea urais kupitia chama cha ACT Wazalendo, Luhaga Mpina amesema ataanza na hotuba ya saa sita ili Watanzania waijue nchi yao kikamilifu, kabla ya kutumia siku 45 za kampeni zilizobakia. Amesema kinachofuata baada ya kuteuliwa na Tume Huru ya Taifa ya Uchaguzi (INEC) ni kuzindua ilani, kueleza maono ya mgombea na uzinduzi…

Read More

JKT Queens kamili kwenda kuliamsha  CECAFA

KIKOSI cha wachezaji 26 wa JKT Queens sambamba na benchi la ufundi na viongozi wengine 23 kinatarajia kuondoka nchini leo Jumatatu, Septemba Mosi, 2025, kwenda Nairobi, Kenya kushiriki Ligi ya Mabingwa Afrika kwa Wanawake Kanda ya Afrika Mashariki na Kati (CECAFA). Safari hiyo itaanzia Moshi, Kilimanjaro ilipokuwa kambi ya timu hiyo tangu Agosti 9, 2025,…

Read More

Mke adaiwa kujiteka, akishinikiza mume kulipa Sh10 milioni

Mwanza. Polisi Mkoa wa Mwanza linamshikilia Loveness Kisile (30), mkazi wa Mtaa wa Temeke, jijini Mwanza akituhumiwa kutoa taarifa za uongo kwa askari, ndugu, jamaa na marafiki kuwa ametekwa. ‎Anadaiwa kutoa taarifa kwa mume na ndugu zake kwamba ametekwa na watu watatu waliotaka Sh10 milioni ili wasimdhuru na kuondoa ujauzito aliokuwa nao. Kamanda wa Polisi…

Read More

NEMC YAJA NA USAFI KAMPENI 2025

:::::::: Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) limezindua kampeni mpya ya usafi iitwayo “NEMC Usafi Campaign 2025” yenye lengo la kuhamasisha jamii kushiriki kikamilifu katika usafi wa mazingira na kuhakikisha nchi inakuwa safi, salama na yenye afya kwa wote. Kampeni hiyo ambayo itatekelezwa kwa ushirikiano na Ofisi ya Rais – TAMISEMI,…

Read More