TIMU NNE KUKUTANA NUSU FAINALI ‘JAFO CUP’

Mwenyekiti  wa Kamati ya michuano ya Jafo Cup Ally  Mkomwa akikabidhi mpira na  jezi na  Kocha wa timu wa Kisarawe Muada Semkiwa Mhando kwenye hafla iliyofanyika kwenye Ukumbi  wa mikutano  wa Halmashauri ya Kisarawe Mkoani Pwani leo Januari  16. Afisa Michezo Wilaya ya Kisarawe  Dalidali Rashid Na Khadija Kalili Michuzi TvTIMU nne zinatarajiwa kushuka dimbani…

Read More

WAZIRI ULEGA AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA USIKU MIRADI YA BRT, AAGIZA IKAMILIKE KABLA YA MSIMU WA MVUA ZA MASIKA.

Waziri wa Ujenzi, Mheshimiwa Abdallah Ulega, amefanya ziara ya kushtukiza usiku wa kuamkia leo Jumamosi tarehe 28, Disemba 2024 yenye lengo la kukagua maendeleo ya miradi ya ujenzi wa miundombinu ya Mabasi Yaendayo Haraka (BRT) katika maeneo mbalimbali jijini Dar es Salaam. Katika ziara hiyo, Waziri Ulega ameagiza miradi hiyo ikamilike kabla ya msimu wa…

Read More

Ziara ya Rais Samia Cuba yasogezwa mbele

Dar es Salaam. Ziara ya kitaifa ya siku mbili ya Rais Samia Suluhu Hassan nchini Cuba iliyopangwa kufanyika kuanzia Novemba 6 hadi 8, 2024 imesogezwa mbele kutokana na kuchafuka kwa hali ya hewa iliyosababisha ndege kushindwa kutua. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo ameeleza hayo leo Alhamisi…

Read More

Wataalamu wakutana Mbeya kujadili chakula, maji na nishati

Mbeya. Wataalamu kutoka mataifa tisa wamekutana jijini Mbeya katika kongamano la kujadili changamoto zinazozikabili sekta za maji, chakula na nishati na kukabiliana na mabadiliko ya tabianchi. Kongamano hilo la siku tatu, limeandaliwa na Chuo Kikuu cha Sayansi na Teknolojia Mbeya (MUST), linashirikisha nchi za Israel, Marekani, Kenya, Uganda, Morocco, Zambia, Ethiopia, Malawi na Tanzania ambao…

Read More

JKT yaongeza mahanga kwa vijana

Kigoma. Jumla ya vijana 14,100 watapatiwa nafasi katika mahanga 141 yaliyojengwa na Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), ikiwa ni utekelezaji wa agizo la Rais Samia Suluhu Hassan la kurekebisha mahanga ili waweze kuchukua vijana wengi zaidi. Itakumbukwa wakati wa maadhimisho ya miaka 60 ya JKT, Rais Samia aliitaka Wizara ya Ulinzi kuandaa mpango mkakati wa…

Read More

Maafisa Korea Kusini wajaribu kumkamata Rais Yoon

  MAOFISA wa usalama nchini Korea Kusini, wamefanikiwa kuingia katika makazi ya rais mapema leo Ijumaa, wakijaribu kumkamata kiongozi aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol. Anaripoti Sylvia Mwehonzi wa DW…(endelea). Maofisa hao wamefanikiwa kuingia katika makazi ya rais mapema leo Ijumaa, wakijaribu kumkamata kiongozi aliyeondolewa madarakani Yoon Suk Yeol, wakati wafuasi wake wakiendelea kupiga kambi nje…

Read More