CFAO MOBILITY AND BAKHRESA UNVEIL NEW FUSO TRUCKS

  Katika hatua inayoonesha umuhimu wa ushirikiano wa kibiashara katika maendeleo ya taifa, CFAO Mobility Tanzania imefanya makabidhiano ya awali ya malori mapya aina ya Fuso CANTER FE84 kwa Bakhresa Food Products Limited (BFPL), ikiwa ni sehemu ya mchakato wa upanuzi wa floti ya malori 100 unaolenga kuboresha usafirishaji na ufanisi wa usambazaji wa bidhaa…

Read More

Simbu, Gisemo kubeba mioyo ya Watanzania Tokyo

MATUMAINI ya Tanzania kuongeza medali ya tatu katika historia ya mashindano ya dunia ya riadha yapo mikononi mwa wanariadha wawili Aphonce Simbu na Josephat Gisemo watakaoshiriki kuanzia Septemba 13, mwaka huu, jijini Tokyo, Japan. Awali, Tanzania ilitarajia kupeperusha bendera kwa wanariadha wanne, lakini mipango hiyo ikayumba baada ya bingwa wa marathoni wa Wanawake, Magdalena Shauri…

Read More

DC Sweda: Walimu epukeni mikopo inayowadhalilisha

Njombe. Walimu mkoani Njombe wametakiwa kuthamini taaluma yao na kujiepusha na tabia ya kuiweka rehani kwa sababu mbalimbali, ikiwamo kuchukua mikopo kandamizi, maarufu kausha damu. Hili limeibuka baada ya kubainika kuna baadhi ya walimu hutoa vyeti vyao vya taaluma kama dhamana ya mikopo kutoka kwa watu binafsi au taasisi zisizo rasmi. Wito huo umetolewa leo…

Read More

NMB yamkosha Samia akipokea gawio la bilioni 57.4

Benki ya NMB imetoa gawio la Sh. 57.4 bilioni kwa Serikali ambayo ni kiashiria cha azma ya kuleta tija na faida kubwa kwa wawekezaji wao wote, ikiwemo Serikali yenye umiliki wa asilimia 31.8 katika benki hiyo. Anaripoti Mwandishi Wetu …(endelea). Gawio hilo lililotolewa na NMB ndilo gawio kubwa lilitolewa na taasisi za kibiashara ambazo Serikali…

Read More