Serikali kuzinusuru Tanapa, Ngorongoro | Mwananchi

Dar es Salaam. Uamuzi wa Serikali wa kurejesha utaratibu wa awali kwa Shirika la Hifadhi za Taifa Tanzania (Tanapa) na Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) umepongezwa na wadau mbalimbali. Awali, taasisi hizo zilikuwa zikikusanya mapato na kutumia sehemu ya mapato hayo kwa shughuli za utalii, lakini Serikali ilibadili utaratibu ambapo taasisi hizo zinakusanya mapato…

Read More

Watu watatu wauawa katika shambulizi la kisu Ujerumani – DW – 24.08.2024

Msemaji wa polisi ya mji ulio karibu wa Düsseldorf amesema polisi imeanzisha operesheni kubwa ya kumsaka mshukiwa, ambaye alifanikiwa kutoweka katika vurugu zilizotokea. Mshambuliaji huyo aliwashambulia watu kiholela akitumia kisu. Tamasha hilo lilikuwa sehemu ya mfululizo wa matukio ya kusherehekea miaka 650 ya kuanzishwa mji huo. Watu walikusanyika mjini humo Ijumaa jioni katika siku ya kwanza…

Read More

HAWA MCHAFU AJITOSA UBUNGE VITI MAALUMU PWANI

NA VICTOR MASANGU,KIBAHA Aliyekuwa Mbubge wa Viti maalum kwa kipindi cha mwaka 2020/2025 kupitia tiketi ya chama cha mapinduzi (CCM) Hawa Mchafu Chakoma amejitosa kuchukua fomu kwa kwa ajili ya kutetea nafasi yake ya Ubunge kwa kipindi cha mwaka 2025/2030. Mchafu ,amechukua fomu hiyo katika ofisi ya Umoja wa Wanawake wa Chama Cha Mapinduzi Tanzania…

Read More

PURA yashiriki hotuba ya bajeti Zanzibar

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli (PURA) imeshiriki kama mgeni mwalikwa katika wasilisho la hotuba ya makadirio ya mapato na matumizi ya Wizara ya Uchumi wa Buluu na Uvuvi kwa mwaka 2024/2025. Wasilisho hilo ndani ya Baraza la Wawakilishi Zanzibar limefanywa Juni 07, 2024 na Waziri wa Uchumi wa Buluu na Uvuvi, Mhe….

Read More

TVLA YATOA ELIMU KWENYE MAONESHO SABASABA

WATAALAM wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) wakiongozwa Mtendaji Mkuu wake Dkt. Stella Bitanyi wameendelea kutoa elimu kuhusiana na huduma mbalimbali zinazotolewa na TVLA katika Maonesho ya 48 ya Biashara Kimataifa ya Dar Es Salaam (Sabasaba) tangu yalipoanza Juni 28, 2024 na kutarajiwa kuhitimishwa Julai 13, 2024. Akizungumza katika maonesho hayo Julai 05,…

Read More