Hii hapa kauli ya kwanza ya Sativa tangu atoke hospitali

Dar es Salaam. Edgar Mwakabela maarufu Sativa anayedaiwa kutekwa na watu wasiojulikana kisha kumtesa, kwa mara ya kwanza tangu apatikane Juni 27 ameandika katika ukurasa wake wa X (zamani Twitter). Sativa aliyepatikana Katavi akiwa na majeraha baada ya kutoweka jijini Dar es Salaam leo Julai 7, 2024 ameandika; “Asante bwana kwa uzima huu hakika nimeliona…

Read More

Watoto wanavyoweza kuwa pambo la nyumba

Methali ya Kiswahili isemayo “Watoto pambo la nyumba, wathaminiwe” ni methali yenye maana kubwa sana katika maisha ya familia na jamii. Methali hii inatufundisha kuwa watoto si tu sehemu ya familia, bali ni rundo la furaha, matumaini, na urithi wa kizazi kijacho.  Wakati watoto wanapopatiwa upendo, heshima, na malezi bora, wanakuwa chanzo cha mshikamano na…

Read More

Itutu: Tutauza gesi kwa Sh3,000, kukomesha ufisadi na rushwa

Mwanza. Mgombea ubunge wa Ilemela kwa tiketi ya chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Shaban Itutu, amesema akiingia madarakani yeye na chama chake watafanya mapinduzi makubwa kuboresha maisha ya Watanzania, ikiwemo kushusha gharama za gesi ya kupikia, kutatua changamoto ya maji, kujenga uwanja wa soka mkoani Mwanza na kupambana na ufisadi na rushwa. Itutu…

Read More

TBT yabeba ubingwa Kigoma | Mwanaspoti

TBT imetawazwa mabingwa Ligi ya Kikapu Mkoa wa Kigoma, baada ya kuifunga Wavuja jasho kwa pointi 62-61, katika fainali ya tano iliyofanyika Uwanja wa Lake Side. Fainali hiyo ilichezwa kwa timu kucheza mara saba ‘best of seven play off’, TBT ilishinda michezo 5-1. Katika mchezo wa kwanza, TBT ilishinda kwa pointi 52-50, 78-67 na wa…

Read More

Seleman Mgaza azichonganisha timu mbili Bara

MSHAMBULIAJI wa Zimamoto ya Zanzibar, Seleman Mgaza ameziingiza vitani timu mbili za maafande wa JKT Tanzania na KMC, ambazo zimeonyesha nia ya kumhitaji katika dirisha hili dogo, huku mazungumzo kati ya pande hizo yakiendelea. Taarifa ambazo Mwanaspoti limezipata zinaeleza Mgaza ambaye katika dirisha lililopita alikuwa akihitajika na Geita Gold na TRA United (zamani Tabora United),…

Read More

SERIKALI KUINUA UCHUMI WA GEITA KWA KILIMO BIASHARA

……. Na Daniel Limbe, Geita TANZANIA ikiwa ni miongoni mwa nchi ambazo bado zinakabiliwa na uhaba mkubwa wa ajira kwa vijana wake, serikali imeanza kuweka mikakati ya kuimalisha sekta ya kilimo biashara ili kukuza pato la mtu mmoja mmoja, kaya na taifa kwa ujumla. Miongoni mwa mikakati hiyo ni pamoja na kuongeza ruzuku ya mbegu,…

Read More

Dk Nchimbi ateta na mabalozi wa nchi nne

Dar es Salaam. Mabalozi wa nchi nne wanaowakilisha nchi zao Tanzania, wamejadili mambo manne na Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emanuel Nchimbi ikiwamo umuhimu wa kuimarisha ushirikiano wa kiuchumi. Viongozi hao ni kutoka nchini za Marekani, Algeria, Uganda na India na waliofanya mazungumzo na katibu mkuu huyo wa CCM kwa nyakati tofauti…

Read More

Wachimba madini waonywa matumizi holela ya zebaki

Dodoma.  Wachimbaji wadogo wa madini nchini wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya kemikali ya zebaki inayotumika kuchenjulia madini,  ili wajiepushe na madhara yanayotokana na matumizi holela ya kemikali hiyo ikiwemo magonjwa ya ngozi, figo, saratani, kifua na hata kifo. Ushauri huo umetolewa leo Jumamosi Juni 22, 2024 na Baraza la Taifa la usimamizi wa mazingira (NEMC)…

Read More