Kocha JKT ataka rekodi mpya Isamuhyo

LICHA ya Simba kutinga fainali Kombe la Shirikisho Afrika baada ya miaka 32 tangu ilipofanya hivyo kwa kucheza fainali ya Kombe la CAF 1993, lakini hilo wala halijamtisha Kocha Mkuu wa JKT Tanzania, Hamad Ally aliyetamba mechi dhidi ya mnyama anataka rekodi mpya ikiwa nyumbani. JKT itaipokea Simba ikiwa ndio kwanza imetoka kuing’oa Stellenbosch ya…

Read More

Lala salama Championship ya jasho na damu

Ni fursa nzuri kwa Pamba kumaliza unyonge wa miaka 22 wa kukaa bila kushiriki Ligi Kuu itakapokabiliana na Mbuni FC kwenye Uwanja wa Sheikh Amri Abeid mjini Arusha kuanzia saa 10 jioni, leo. Ushindi katika mechi hiyo utaifanya Pamba ambayo mara ya mwisho kushiriki Ligi Kuu 2002, kuchukua nafasi moja iliyobaki katika Ligi ya Championship…

Read More

Ibenge achekelea Mtasingwa kurejea | Mwanaspoti

KOCHA Mkuu wa Azam FC, Florent Ibenge ameonekana mwenye furaha zaidi baada ya kushuhudia kiungo wa timu hiyo, Adolf Mtasingwa, akirejea rasmi uwanjani baada ya kukaa nje ya uwanja kwa takribani miezi kumi kutokana na majeraha ya kifundo cha mguu. Mtasingwa anayecheza nafasi ya kiungo mkabaji, mara ya mwisho kuonekana uwanjani ilikuwa Februari 15, 2025…

Read More

Mbeya City yafuata beki Zenji

TIMU za Tanzania Bara zinaendelea kuvuka maji kuja visiwani Zanzibar kufanya usajili wa wachezaji kuboresha vikosi vyao kwa lengo la kujiandaa na msimu ujao wa 2025-26 wa Ligi Kuu Tanzania Bara. Baada ya Yanga na Tabora United, sasa ni zamu ya Mbeya City kutua visiwani hapa kwa ajili ya kusaka saini ya beki wa KVZ,…

Read More

Mwandishi Daniel Mbega afariki dunia, TEF wamlilia

Dar es Salaaam. Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limeatangaza kifo cha mwanachama wake, Daniel Mbega, aliyefariki dunia leo, Jumamosi, Oktoba 11, 2025, katika Hospitali ya Temeke jijini Dar es Salaam. Taraifa hiyo imetolewa leo na Mwenyekiti wa TEF, Deodatus Balile katika taarifa yake kwa vyombo vya habari. Balile amesema kwa mujibu wa taarifa za familia,…

Read More