Pesa zinazotumwa na Fedha dhidi ya Ufadhili Mtazamo wa Watendaji wa Maendeleo – Masuala ya Ulimwenguni

Pesa zinazotumwa hutoa kitu ambacho uhisani hauwezi: uhuru. Familia zinazopokea pesa huamua jinsi bora ya kutenga fedha hizo, kulingana na mahitaji yao muhimu zaidi. Mkopo: Shutterstock Maoni by Tafadzwa Munyaka (harare) Jumanne, Januari 14, 2025 Inter Press Service HARARE, Jan 14 (IPS) – Katika Afŕika kote, mageuzi ya kiuchumi na maendeleo yanachochewa na mikondo miwili…

Read More

NAIBU WAZIRI UMMY AZINDUA MIRADI YA KIUCHUMI YA WENYE ULEMAVU

  Na Mwandishi wetu- Dar es salaam  Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge na Uratibu) Mhe. Ummy Nderiananga amezindua miradi ya kiuchumi ambayo iko chini ya  Shirika lisilo la Kiserikali la Strategic Alternative Learning Technique (SALT), inayohudumiwa na vijana wenye changamoto za ufahamu. Mhe. Nderiananga alifanya uzinduzi huo Jijini Dar es Salaam kwa…

Read More

TANZANIA YAJIPANGA KUWA KITOVU CHA UZALISHAJI DAWA AFRIKA

SERIKALI imetangaza rasmi mwelekeo mpya wa kimkakati wa kuharakisha uwekezaji wa viwanda vya bidhaa za afya nchini, ikiwa ni hatua ya kuimarisha usalama wa afya wa Taifa, kupunguza utegemezi wa dawa kutoka nje na kuliweka Taifa kwenye ramani ya uzalishaji wa dawa barani Afrika na duniani. Mwelekeo huo umetangazwa leo Desemba 23, 2025 jijini Dar…

Read More

Mwakyusa aliamsha Prisons | Mwanaspoti

BAADA ya kurejeshwa kikosini na kuisaidia Tanzania Prisons kushinda dhidi ya KenGold, kipa wa timu hiyo, Edward Mwakyusa amesema anataka kujihakikishia namba na kuisaidia timu kuendelea kufanya vizuri. Mwakyusa aliyepandishwa kikosini 2022/23, anakumbukwa kuiokoa timu hiyo msimu huo kukwepa kushuka daraja alipoizuia JKT Tanzania kwenye mechi ya mchujo (play off). Katika mchezo huo wa marudiano…

Read More

Tovuti za Halmashauri kuboreshwa kuendana na mabadiliko

Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikali Bi. Nteghenjwa Hosseah amewatembelea wataalam wa Habari na Teknolojia ya habari kutoka Ofisi ya Rais – TAMISEMI na Mradi wa Uboreshaji wa Mifumo ya Sekta za Umma (PS3+ – USAID) walioko mkoani Morogoro kwa ajili ya uboreshaji wa mfumo wa GWF unaosimamia Tovuti ya Ofisi ya Rais TAMiSEMi, Sekretarieti…

Read More

VIDEO: Mwanachuo mbaroni kwa tuhuma za uchochezi mitandaoni

Mwanza. Mwanafunzi wa Chuo cha Mipango na Maendeleo Vijijini (IRDP) Tawi la Mwanza, kilichopo Kisesa wilayani Magu, Elias Mbise (20) amekamatwa akidaiwa kusambaza taarifa za uchochezi mitandaoni na kuhamasisha wenzake kuwafanyia vurugu askari wa Jeshi la Polisi na watumishi wengine wa umma. Mwanafunzi huyo anadaiwa kusambaza taarifa hizo katika kundi sogozi (WhatsApp) akiwashawishi watu mbalimbali…

Read More

Kigongosi: Viongozi wa halmashauri msiwe chanzo cha migogoro

Singida. Viongozi wa halmashauri nchini wameonywa kutokuwa chanzo cha migogoro ya wao kwa wao na badala yake watambue kazi yao ni kuwatumikia wananchi kwa nafasi zao bila kuwabagua. Mbali na viongozi wa halmashauri, wasimamizi wa miradi wametakiwa kutanguliza utu kwa wafanyakazi ikiwemo kutowadhulumu stahiki zao na walipe kwa wakati kile walichokubaliana. Wito huo umetolewa leo…

Read More