PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 31,2024
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 31,2024 About the author
Home » PATA HABARI MOTO MOTO KATIKA MAGAZETI YA LEO OKTOBA 31,2024 About the author
Arusha. Wimbi la uhalifu, hususan linalotekelezwa na makundi ya vijana wa mitaani maarufu kama vibaka, limeendelea kuwa tishio katika Jiji la Arusha, ambapo tukio la hivi karibuni limemgusa mtu aliyedaiwa kutambuliwa kuwa dereva wa lori, Maulid Rajabu (35), kudaiwa kuuawa kwa kuchomwa visu na kisha kutupwa pembezoni mwa barabara na watu wanaodaiwa kuwa vibaka. Mauaji…
Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Prof. Palamagamba akionyesha Kitambulisho cha Uandishi wa Habari (Press Card) kinachotolewa na Bodi ya Ithibati ya Waandishi wa Habari-JAB mbele ya mgeni Rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Phillip Mpango wakati wa ufunguzi rasmi Mkutano wa Pili wa Mtandao wa Mabaraza Huru…
Dar es Salaam. Wanasema samaki mkunje angali mbichi, methali hii inashabihiana na aina ya jamii za Afrika na dunia kwa ujumla, ambapo moja ya majukumu ya mzazi katika familia ni kuhakikisha mtoto anakuwa katika maadili bora na upendo, huku mshikamo ukisimama kama nguzo muhimu katika familia. Ni dhahiri kuwa baadhi ya tabia za watoto kama…
SHIRIKA la viwango Tanzania (TBS) limeendelea kutoa elimu kwa wazalishaji, waagizaji sambamba na wasambazaji wa bidhaa yenye lengo la kuhakikisha wanafuata matakwa ya Sheria za Viwango kwa kuingiza sokoni bidhaa zinazokidhi viwango. Akizungumza na waandishi wa habari, January 30,2025 kwenye maadhiamisho ya wiki ya Sheria Kanda ya Dar es Salaam katika viwanja vya mnazi Mmoja,Afisa…
VITA ya ufungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) inazidi kupamba moto kati ya mastaa wawili, Stumai Abdallah ((JKT Queens) na Jentrix Shikangwa (Simba Queens) huku mbio zao zikikolezwa na takwimu bora kati yao. Wachezaji hao wameendelea kukabana koo kwenye ufungaji wa mabao kila mmoja akikitaka kiatu cha kufumania nyavu kwenye ligi hiyo msimu…
YANGA Princess imemaliza ubabe wa Simba Queens baada ya kuichapa bao 1-0 kwenye mchezo mkali wa Ligi Kuu ya Wanawake uliopigwa leo Machi 19, 2025 kwenye Uwanja wa KMC Complex, Dar. Kabla mchezo huu, Simba Queens ambao wanaendelea kuwa kileleni kwenye msimamo wa ligi hiyo, walikuwa hawajapoteza mchezo wowote msimu huu kati ya 12 waliyocheza….
Makamu wa Rais wa Tanzania, Dk Philip Mpango amemwakilisha Rais Samia Suluhu Hassan katika Mkutano wa Dharura wa Pamoja wa Wakuu wa Nchi na Serikali wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) na Jumuiya ya Maendeleo Kusini mwa Afrika (SADC) uliyofanyika kwa njia ya mtandao leo Jumatano, Agosti 13, 2025 ukumbi wa Benki Kuu ya Tanzania…
Na Mwandishi wetu. SERIKALI mkoani Mara ipo katika hatua za mwisho za kuanza utekelezaji wa mkakati mahsusi wa kukomesha matukio ya uvamizi wa mgodi wa North Mara unaofanywa na baadhi ya vijana wa eneo la Nyamongo na wilaya ya Tarime kwa ujumla. Mkuu wa mkoa wa Mara Kanali Evans Mtambi amesema kwamba lengo la mkakati…
Moshi. Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Kilimanjaro, limeendelea na operesheni maalumu ya kuhakiki leseni za madereva wa magari ya abiria. Jeshi hilo limesema madereva watakaokutwa hawana sifa za kuendesha magari hayo wataondolewa barabarani. Jana, Januari 6, 2025 baadhi ya magari madogo aina ya Toyota Noah yanayobeba abiria kati ya Moshi Mjini…