Amani ya Uhandisi, Kuunda Historia – Masuala ya Ulimwenguni

Binalakshmi Nepram. Credit: Nobel Women Initiative by Kumkum Chadha (delhi mpya) Jumanne, Januari 27, 2026 Inter Press Service NEW DelHI, Januari 27 (IPS) – Ilikuwa ni mkesha wa Krismasi: miongo miwili iliyopita. Binalakshmi Nepram alikuwa shahidi wa mauaji ya kijana wa miaka 27. Kwa kutoamini kabisa, aliona kundi la wanaume watatu wakimkokota mwathiriwa kutoka kwenye…

Read More

TanTrade kuendeleza masoko na uwekezaji Katoro

Dar es Salaam. Mji wa Katoro mkoani Geita unaendelea kujijenga kama kitovu kipya cha biashara nchini, ukitambulika kwa nafasi yake ya kimkakati katika mtiririko wa bidhaa na huduma si tu kwa Tanzania, bali pia kwa kanda ya Afrika Mashariki na nchi jirani. Kadri sekta ya biashara inavyoelekeza macho yake katika miji midogo yenye fursa kubwa…

Read More

Waziri Kijaji Ampokea Braydon Bent

📍Atimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuitembelea Tanzania WAZIRI  wa Maliasili na Utalii Dkt. Ashatu Kijaji (Mb) amempokea shabiki mashuhuri wa klabu ya Manchester City ya Uingereza Braydon Bent ambaye ametimiza ndoto yake ya siku nyingi ya kuitembelea Tanzania na kujionea vivutio mbalimbali ikiwemo Serengeti na Mlima Kilimanjaro. Ni kama safari iliyochukua karne hivi…

Read More

Wananchi Monduli wahimizwa kuvuna maji ya mvua

Arusha. Wakazi wa Wilaya ya Monduli mkoani Arusha wamehimizwa kuchukua hatua za dharura kwa kuwekeza katika miundombinu ya uvunaji wa maji ya mvua ili kukabiliana na ukame unaoendelea kuathiri maisha na usalama wa chakula. Wito huo umetolewa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Monduli, Kisioki Moitiko, wakati wa uzinduzi wa mradi wa ugawaji wa…

Read More

Wabunge wagusia yaliyotokea Oktoba 29 kwa mtindo wa sitaki nataka

Dodoma. Tukio la maandamano yaliyozaa vurugu Oktoba 29, mwaka jana, limeendelea kuwa mjadala kwa wadau mbalimbali na sasa limefika bungeni, ingawa wamelijadili kwa mtindo wa sitaki nataka. Katika mjadala huo, baadhi ya wabunge walihoji undani wa yaliyotokea, huku wengine wakiishia kutoa pole kwa Watanzania walioathiriwa na matokeo ya vurugu hizo. Oktoba 29, mwaka jana siku…

Read More

Kesi 19 za waliokuwa wagombea ubunge ACT- Wazalendo zakwaa kisiki

Unguja. Kesi za waliokuwa wagombea ubunge wa Chama cha ACT-Wazalendo kupinga matokeo katika majimbo 19 ya Unguja zimekwaa kisiki baada ya Mahakama Kuu Zanzibar kukubaliana na pingamizi lililowekwa na mwanasheria mkuu wa Tanzania kwamba Mahakama hiyo haina mamlaka kusikiliza mashauri yanayotokana na wabunge wa Tanzania. Hayo yamejiri leo Jumanne, Januari 27, 2025 baada Jaji Haji…

Read More