Bilionea David Mulokozi Afanyiwa Birthday ya Kifalme, Banana Zoro Aitikisa Babati

Na Mwandishi Wetu. Babati, Manyara: Sherehe ya kumbukizi ya kuzaliwa ya Mkurugenzi wa Mati Super Brands Ltd, Bilionea David Mulokozi, imegeuka kuwa somo la upendo na kuthaminiana baada ya mkewe, Doreen Mulokozi, kumuandalia tukio la kushtukiza lililogusa wengi. Katika sherehe hiyo iliyofanyika Babati Mjini na kuhudhuriwa na wageni mbalimbali waalikwa, Doreen alimzawadia mumewe zawadi mbili…

Read More

Je, WWIII hapa? – Masuala ya Ulimwenguni

Vita vya Russo-Ukrainian, vilivyoanza Februari 2014, havionyeshi dalili za kumalizika. Credit: UNOCHA/Dmytro Filipskyy Maoni na Nickolay Kapitonenko (Kyiv, Ukraine) Alhamisi, Machi 19, 2026 Inter Press Service KYIV, Ukraine, Machi 19 (IPS) – Inazidi kuwa vigumu kupuuza mvutano, ghasia na kutokuwa na uhakika duniani katika miaka ya hivi karibuni. Idadi ya vita inaongezeka, pesa nyingi zaidi…

Read More

BMH YASHIRIKISHA MASHIRIKA YA BINAFSI YENYE UBIA NA SERIKALI KATIKA KUWEZESHA MATIBABU YA UPANDIKIZAJI FIGO NA ULOTO KWA WANANCHI WENYE UHITAJI

Menejimenti ya Hospitali ya Benjamin Mkapa (BMH) kwa kushirikiana na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya (NHIF) imebuni mfuko wa kushirikisha wadau (stakeholders) kuwezesha kusaidia matibabu ya Upandikizaji wa Viungo kwa kuanza na Upandikizaji Uloto kwa watoto wenye Selimundu(Sickle cell) na Upandikizaji Figo kwa Wananchi wenye Uhitaji. Akiwasilisha mpango huo kwenye mkutano wa Wenyeviti wa…

Read More

MFUKO WA PAMOJA WA RUZUKU KWA MASHIRIKA YASIYO YA KISERIKALI KUIMARISHA UFADHILI NA UENDELEVU: DKT. JINGU

Katibu Mkuu wa Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum, Dkt. John Jingu, amesema kuanzishwa kwa Mfuko wa Pamoja wa Ruzuku kwa Mashirika Yasiyo ya Kiserikali (NGOs Basket Fund – NBF) kutarahisisha upatikanaji wa rasilimali fedha na uendelevu kwa Mashirika hayo nchini. Akizungumza Machi 18, 2026, wakati wa ufunguzi wa kikao kazi…

Read More

Yanga yafuata winga mwingine DR Congo

KAMA unahisi Yanga imeridhika na kikosi chake cha sasa, basi umekosea kwani mabingwa hao wa kihistoria wa Ligi Kuu Bara wameshaanza kupiga hesabu za kumchukua winga mmoja wa DR Congo, huku wakichuana na Waarabu kutoka Algeria kuwania saini ya staa huyo. Iko hivi; Yanga imejikuta ikipishana mlangoni na MC Alger ya Algeria katika kuulizia saini…

Read More

Kocha Kijana wa Wanawake wa Taekwondo wa Afghanistan Alichagua Upinzani kwa Kujisalimisha kwa Taliban – Masuala ya Ulimwenguni

Mandhari ya mtaani ya mkoa wa Herat. na Chanzo cha Nje (Herat, Afghanistan) Jumatano, Machi 18, 2026 Inter Press Service HERAT, Afghanistan, Machi 18 (IPS) – Wakati Khadija Ahmadzada alipokamatwa katika jimbo la Herat nchini Afghanistan mwezi Januari mwaka huu, ilisababisha maandamano makubwa ya ndani na kimataifa. Wanaharakati wa haki za wanawake na watumiaji wa…

Read More