TISEZA YATEMBELEA KONGANI YA BUZWAGI NA KUPONGEZA BARRICK KWA MCHAKATO WA KUFUNGA MGODI WA VIWANGO VYA KIMATAIFA

Ujumbe kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) ulipata fursa kutembelea maeneo ya wawekezaji mbalimbali kwenye eneo la Kongani ya Buzwagi. Ujumbe kutoka Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalum ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) ulipata fursa kutembelea maeneo ya wawekezaji mbalimbali kwenye eneo la Kongani ya Buzwagi. Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya…

Read More

Lissu: Mimi ni mshitakiwa wa uhaini sio mwenzenu

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu ameiomba Mahakama iwaamuru mawakili wa Jamhuri kumtambulisha yeye kama mshitakiwa na sio mwezao. Amesema kuwa yeye ni mshitakiwa wa makosa ya uhaini hivyo, anapaswa kuitwa hivyo na sio mawakili hao kumuita mwenzao. Lissu anakabiliwa na shitaka moja la uhaini katika Mahakama Kuu…

Read More

Wakati asasi za kiraia zinahifadhiwa nje, tunapaswa kujenga chumba kikubwa – maswala ya ulimwengu

Mkopo: UN PICHA/LOEY FELIPE Maoni na Harvey Dupiton (New York) Jumatano, Septemba 17, 2025 Huduma ya waandishi wa habari NEW YORK, Septemba 17 (IPS)-Nakala ya hivi karibuni ya IPS, “Mikutano ya kiwango cha juu cha Unga: NGOs zilizopigwa marufuku tena,” ilitumika kama ukumbusho wenye uchungu wa kitendawili cha muda mrefu: Umoja wa Mataifa, shirika lililoanzishwa…

Read More

TASAC YATOA MAFUNZO KWA WAMILIKI WA VYOMBO VYA USAFIRI MAJINI

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) jana tarehe 16 Septemba, 2025 lilifanya mafunzo ya usalama na utunzaji wa mazingira majini kwa wadau wa usafiri majini  katika Mwalo wa Matema wilayani Kyela mkoani Mbeya.  Elimu hiyo ililenga kuimarisha usalama wa usafiri majini katika Ziwa Nyasa ili kupunguza ajali na kulinda maisha ya wananchi wanaotegemea usafiri…

Read More

Unawezaje kujinasua na “Kodi ya Meza”

Katika maisha ya mijini, “kodi ya meza” imekuwa utaratibu usioandikwa wa kupanga matumizi ya fedha za nyumbani. Ni utaratibu  wa “kuweka juu ya meza” kiasi fulani kila siku kwa ajli ya matumizi ya siku kama vile chakula, nishati ya kupikia, maji, na hata nauli za watoto kwenda shule. Kwa haraka haraka, mtindo huu unaonekana mwepesi…

Read More

Michezo na ukuaji wa uchumi Tanzania

Tanzania ni nchi yenye utamaduni mrefu na wa kina wa michezo. Kutoka soka, riadha, mpira wa wavu, na hata michezo ya asili, nchi yetu inaweza kujivunia rasilimali ya kitalentu ambayo inaweza kuwa msingi imara wa ukuaji wa kiuchumi. Lakini swali la msingi ni: Je, tunaweza kubadilisha sekta hiki na shauku ya watu wetu kwa michezo…

Read More