JAI yapanga kulisha wagonjwa zaidi ya 1,800 Eid El-Fitr, yaomba msaada wa Sh. Milioni 22
Taasisi ya Jumuiya ya Tabia za Kiislam (JAI ) imepanga kuwalisha wagonjwa zaidi ya 1,800 katika hospitali mbalimbali wakati wa sikukuu ya Eid al‑Fitr, ikiwa ni sehemu ya kuwafariji na kuwafanya wajione kuwa ni sehemu ya jamii licha ya changamoto za kiafya wanazopitia. Akizungumza katika hafla ya uchangiaji iliyoandaliwa kwa ajili ya kufanikisha zoezi hilo,…