
DC MAKAME ATUNUKIWA TUZO YA HESHIMA YA MHAMASISHAJI BORA MWENYE USHAWISHI KATIKA USHIRIKA.
Mkuu wa Wilaya ya Gairo ndugu Jabiri Makame, Leo ametunukiwa TUZO YA HESHIMA na Wizara ya Kilimo, Tume ya Maendeleo ya Ushirika Tanzania, kwa Kuwa “MDAU WA USHIRIKA MWENYE USHAWISHI NA UHAMASISHAJI MKUBWA KATIKA MASUALA YA USHIRIKA KWENYE JAMII” Tuzo hiyo imetolewa na Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati Mhe. Dotto Biteko, katika Maadhimisho…