Aliyedai kuombwa kumuua Mpina aachiwa huru

Arusha. Mahakama Kuu Masjala Ndogo Shinyanga imefuta hukumu ya kifungo cha miezi sita jela alichohukumiwa Pendo Elikana, baada ya kutiwa hatiani kwa kosa la kutoa taarifa za uongo kuwa aliombwa amuue Luhaga Mpina. Mpina amekuwa mbunge wa Kisesa kwa vipindi vitatu (2005–2020) kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM) na aliwahi kuhudumu kama Waziri wa…

Read More

Cheki wababe wa ngumi wanavyoviziana mikanda

BONDIA Oleksandr Usyk ndiye mwamba kwa sasa kwenye ngumi za uzito wa juu duniani (heavyweight), kufuatia kushinda na kushikilia mikanda minne ambayo ni WBC, WBA, WBO na IBF. Mwamba huyo aliichukua mikanda hiyo mikononi mwa mabondia wa Uingereza, Anthony Joshua na Tyson Fury. Awali, alianza kwa kumvua mikanda mitatu Joshua ‘AJ’ kwenye mapambano mawili mtawalia…

Read More

LIVE: Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), Tundu Lissu, leo Jumatano, Julai 30, 2025 amefikishwa kizimbani katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu, jijini Dar es Salaam, huku Mkurugenzi wa Mashtaka (DPP) akitarajiwa kutoa hatima uhamishwaji wa kesi hiyo kwenda Mahakama Kuu. Kesi ya Lissu ikiunguruma mahakamani, hatima kujulikana Kesi hiyo imefunguliwa…

Read More

Wakunga, wauguzi waonywa udanganyifu wa mtihani

Dodoma. Baraza la Uuguzi na Ukunga Tanzania limeonya vikali dhidi ya udanganyifu wa aina yoyote wakati wa mtihani wa kada ya uuguzi na ukunga utakaofanyika Desemba 29, 2025. Jumla ya watahiniwa 4,414 katika wanatarajia kufanya mtihani huo wa umahiri. Msajili wa Baraza la Uuguzi na Ukunga, Agnes Mtawa amesema mtu yeyote atakayebainika kujihusisha na vitendo…

Read More

Sheria Mpya Nchini Kuba Inafanya Uwekezaji katika Vyanzo vya Nishati Mbadala kuwa Lazima – Masuala ya Ulimwenguni

Félix Morfis, karibu na paneli za photovoltaic zilizowekwa kwenye nyumba yake katika manispaa ya Regla, Havana. Credit: Jorge Luis Baños /IPS na Dariel Pradas (havana) Alhamisi, Desemba 12, 2024 Inter Press Service HAVANA, Desemba 12 (IPS) – Pamoja na Amri ya 110iliyochapishwa tarehe 26 Novemba, Cuba ilifanya kuwa lazima kwa watumiaji wakuu, iwe ni mashirika…

Read More