Beki Al Ahli Tripoli amuomba radhi Deborah Simba

Beki wa Al Ahly Tripoli ya Libya, Thienry Manzi amemuomba radhi kiungo wa Simba, Deborah Fernandez, baada ya kumuumiza kwenye mchezo wa jana wa Kombe la Shirikisho Afrika hatua ya mtoano. Tukio hilo lilitokea kipindi cha pili ambapo Manzi alionekana kumkanyaga Deborah baada ya wawili hao kuangushana wakati wanawania mpira. Kwenye tukio hilo licha ya…

Read More

Bashungwa apokelewa wizara ya Mambo ya Ndani Zanzibar

  WAZIRI wa Mambo ya Ndani ya Nchi, Innocent L. Bashungwa (Mb) amewasili na kupokelewa katika Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi mara baada ya kuapishwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Samia Suluhu Hassan, leo tarehe 10 Desemba, 2024. Anaripoti Mwandishi Wetu, Zanzibar … (endelea). Mapokezi hayo yamefanyika katika Ofisi za…

Read More

Nape awaita wadhamini kwenye gofu

WAZIRI wa Habari, Mawasiliano na Teknolojia ya Habari, Nape Nnauye amewaita wadhamini mbalimbali kudhamini mashindano ya kwenye mchezo wa gofu ambao umeanza kukua kwa kasi hapa nchini. Nnauye ameyasema hayo kwenye mashindano ya Vodacom Golf Tour yanayoendelea kwenye viwanja vya Lugalo Golf Club jijini Dar es Salaam. Waziri huyo alisema kwa sasa mchezo wa gofu…

Read More

Tume kukusanya data bidhaa za madini zinazoingizwa nchini

Mwanza. Tume ya Madini inaendelea na mchakato wa ukusanyaji wa takwimu kuhusu bidhaa zote zinazoagizwa na migodi kutoka nje ya nchi. Akizindua Jukwaa la Nne la Utekelezaji wa Ushirikishwaji wa Watanzania katika Sekta ya Madini, lililofanyika jijini Mwanza leo Juni 17, 2025, Waziri wa Madini, Anthony Mavunde amesema lengo ni kubaini bidhaa zinazohitajika zaidi migodini…

Read More