Watawala wapya Syria wateua waziri wao wa mambo ya nje – DW – 21.12.2024

“Kamandi kuu inatangaza uteuzi wa Bw. Assaad Hassan al-Shibani kuwa waziri wa mambo ya nje katika serikali mpya ya Syria,” ilissema taarifa.  “Alijiunga na mapinduzi ya Syria mwaka 2011… na alishiriki katika kuanzisha Serikali ya Uokoaji,” yalisema maandishi yaliyochapishwa kwenye Telegram.  Serikali ya Uokoaji, ambayo ina wizara, idara, mamlaka za kisheria na usalama, ilianzishwa mwaka…

Read More

Airtel kuwazawadia wateja, mawakala msimu wa sikukuu

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Kampuni ya Simu ya Airtel Tanzania inatarajia kuwazawadia wateja na mawakala wake katika msimu huu wa sikukuu. Zawadi hizo zitatolewa kupitia promosheni maalumu iliyozinduliwa leo Desemba 17,2024 ijulikanayo kama Airtel Santa Mizawadi. Akizungumza wakati wa uzinduzi wa promosheni hiyo makao makuu ya Airtel Tanzania jijini Dar es Salaam, Mkuu wa…

Read More

1,675 watibiwa magonjwa ya ngono Njombe

Njombe. Kaimu Mganga mkuu wa Mkoa wa Njombe Dk David Ntahindwa amesema mwaka 2024 huduma ya uzazi wa mpango ilitolewa kwa vijana balehe wapatao 35,223 (wenye umri kati ya miaka 10 hadi 24) huku zaidi ya 1,600 wakitibiwa magonjwa ya ngono. Takwimu hizo zimetolewa leo Januari 11, 2025 wakati wa mkutano wa Naibu Waziri Ofisi…

Read More

Wabunge watoa kauli hujuma SGR

Dar es Salaam. Wabunge wameliagiza Shirika la Reli Tanzania (TRC), kufunga kamera za ulinzi mara moja maeneo yote ya reli ili kukabiliana na watu wanaohujumu miundombinu ya treni ya kisasa ya umeme (SGR). Agizo hilo limetolewa leo Novemba 9, 2024 jijini Dar es Salaam na wabunge ambao ni wajumbe wa Kamati za Kudumu za Bunge…

Read More

Ya kuzingatia mauzo ya mifugo, nyama yakizidi kupaa

Dar es Salaam. Wakati mauzo ya mifugo katika masoko yaliyosajiliwa yakiongezeka kwa mwaka 2024, wadau wametaka wafugaji wapewe mbinu bora za ufugaji na mbegu ili kuongeza thamani ya mifugo yao. Ripoti ya uchumi wa Kanda ya Benki Kuu ya Tanzania (BoT) inaonyesha kuwapo kwa ongezeko kubwa la mifugo inayouzwa kuliko fedha zinazopatikana robo ya mwaka…

Read More

Mgunda ataja mambo manne Namungo

KOCHA Mkuu wa Namungo, Juma Mgunda ametaja mambo yatakayombeba kwenye mechi 14 za duru la pili zilizobaki ili kuihakikishia timu hiyo kucheza Ligi Kuu msimu ujao. Namungo ipo nafasi ya 12 kwenye msimamo baada ya kucheza mechi 16 ikikusanya pointi 17, imeshinda mechi tano, sare mbili na vipigo tisa na kwenye mechi hizo imefunga mabao…

Read More