Waziri Mkuu wa China LI inahitaji mshikamano, amani na ustawi wa pamoja wa kiuchumi katika anwani ya UN – maswala ya ulimwengu

“Mshikamano unainua kila mtu, wakati mgawanyiko unashuka,” Bwana Li aliliambia Mkutano Mkuu, akionya kwamba unilateralism na ulinzi zilikuwa zikidhoofisha agizo la kimataifa lililojengwa zaidi ya miongo kadhaa. Ubinadamu, alisema, “kwa mara nyingine tena amekuja kwenye njia panda.” Waziri Mkuu Li alikumbuka kushindwa kwa Fascism na kuanzishwa kwa miongo nane ya UN iliyopita, akisema masomo ya…

Read More

Wasira: CCM tulifanya uamuzi sahihi kwa Samia

Makete. Chama Cha Mapinduzi (CCM) kimesema uamuzi wa kumchagua Samia Suluhu Hassan awanie kiti cha urais kupitia CCM siyo kumpa zawadi bali ni kutokana na uwezo aliouonesha kuiongoza nchi kwa mafanikio makubwa. Kimesema Samia licha ya kuichukua nchi katika mazingira magumu, lakini aliivusha salama na maendeleo makubwa yameshuhudiwa chini ya uongozi wake. Miongoni mwa mafanikio…

Read More

TANESCO KUFANYA MABORESHO YA MFUMO WA LUKU

 Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) linawataarifu wateja wake kuwa kutakuwa na maboresho ya mfumo wa manunuzi ya umeme (LUKU) yatakayofanyika kesho Jumatano usiku kuamkia Alhamisi kuanzia saa 6:00 usiku hadi saa 8:00 usiku (masaa mawili). Kutokana na maboresho hayo, huduma ya kununua umeme kupitia mfumo wa LUKU haitapatikana kwa muda huo. Hivyo, TANESCO inawashauri wateja…

Read More

TMA Yatangaza Tahadhari Ya Mvua Kubwa nchi Nzima Machi 20–21

Global Publishers March 20, 2026 0 Comments Mamlaka ya Hali ya Hewa Tanzania (TMA) imetoa taarifa ya tahadhari na angalizo la mvua kubwa kwa mikoa kadhaa, ikisisitiza kuwa wananchi wanapaswa kuchukua tahadhari stahiki ili kuepuka madhara yanayoweza kutokana na hali ya hewa mbaya. Katika taarifa hiyo, TMA imetahadharisha kuwa Ijumaa ya 20 Machi 2026, kunatarajiwa…

Read More