Wanunuzi wa Madini Wajipanga kwa Mnada Mkubwa Arusha

Arusha Wanunuzi wa madini kutoka maeneo mbalimbali nchini wameendelea kujitokeza katika Kituo cha Jemolojia Tanzania (TGC) jijini Arusha, wakikagua na kuhakiki ubora wa madini yatakayouzwa katika Mnada wa Tatu wa Madini ya Vito unaotarajiwa kufanyika tarehe 27 Novemba 2025. Ukaguzi huo ni hatua muhimu inayolenga kuhakikisha uwazi, ushindani na ongezeko la thamani ya madini nchini,…

Read More

Job, Bocco walivyoupamba usiku wa Madini

NYOTA wengi hawa wa mataifa ya;liyoendelea kisoka wamekuwa wakitumika sana kufanya matangazo na kutangaza bidhaa mbalimbali. Mbali na matangazo ya picha na video, pia hupita mbele ya majukwaa ya wanamitindo kutangaza bidhaa hizo, kama manukato, mavazi, ujio wa magari mapya, simu, saa na mengine. wachezaji kama David Beckham, Christiano Ronaldo, Zlatan Ibrahimovic, Hector Bellerin, Fredrick…

Read More

Jinsi Bunge lilivyobaini suluhu ya hasara ATCL

Dodoma. Bunge limebaini hasara ya miaka mitatu mfululizo kwa Shirika la Ndege la Tanzania (ATCL) kwamba inasababishwa na utaratibu wa ukodishaji kutoka Wakala wa Ndege za Serikali (TGFA). Ni kutokana na utaratibu huo, Bunge limetoa Azimio kuwa, hadi ifikapo Juni mwaka huu, Serikali ikamilishe mchakato wa kuhamisha ndege kutoka TGFA kwenda ATCL. Mwenyekiti wa Kamati ya…

Read More

Fountain Gate yawinda straika Zenji

KLABU ya Fountain Gate iko katika hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho wa nyota wawili, beki wa kati Shabani Pandu Hassan na mshambuliaji Mudrik Abdi Shehe ‘Gonda’ kutokea JKU ya visiwani Zanzibar, ili kuongeza makali ya timu hiyo. Taarifa kutoka ndani ya timu hiyo, zililiambia Mwanaspoti nyota hao wako hatua za mwisho za kukamilisha uhamisho…

Read More

Trump ajitangaza mshindi wa urais Marekani – DW – 06.11.2024

Matokeo ya awali yanaonesha Donald Trump anaongoza. Matokeo rasmi hayajatangazwa, lakini Donald Trump ameshajitangaza mshindi. Kura za uchaguzi wa urais Marekani zaendelea kuhesabiwa Trump ametangaza kushinda urais akisema ni ushindi wa kihistoria ambao haujashuhudiwa nchini humo. Kwenye hotuba mbele ya ushindi kwa wafuasi wake huko Palm Beach, Florida Trump aliyeongozana na familia yake, alikiri matokeo haya…

Read More

Mambo haya yanaharibu ufanisi wako kazini

Tofauti kati ya maeneo ya biashara, ujasiriamali, kazi za kuajiriwa, au shughuli nyinginezo kama matumizi ya barabara na maisha ya familia, mara nyingi hujikita katika maadili yanayotawala maeneo hayo. Ni takriban asilimia 5 hadi 10 tu ya watu wanaofuata maadili ya kazi kikamilifu, huku wengi wakiendeshwa na mazoea na hali walizozikuta, bila kujiuliza kama mifumo…

Read More

Israel-Lebanon Sitisho la Mapigano Halina uhakika Huku Kukiwa na Ukiukaji Unaorudiwa – Masuala ya Ulimwenguni

Watoto wawili wa Lebanon wanaoishi katika shule iliyogeuzwa makazi huko Beirut kufuatia kuongezeka kwa uhasama nchini Lebanon. Credit: UNICEF/Fouad Choufany na Oritro Karim (umoja wa mataifa) Jumatano, Desemba 04, 2024 Inter Press Service UMOJA WA MATAIFA, Des 04 (IPS) – Tarehe 27 Novemba, Israel, Lebanon, na mataifa mengi ya upatanishi yalikubaliana juu ya makubaliano ya…

Read More

Zingatia haya kabla hujamshika mtoto mchanga

Dar es Salaam. Mtoto anapozaliwa ni furaha, hasa katika maisha ya mwanamke pale wakati sahihi unapowadia. Siyo kwa mama na baba pekee bali pia hata wazazi, familia pamoja na jamii inayomzunguka zinapowafikia taarifa za kuzaliwa kwa mtoto akiwa salama yeye pamoja na mama yake. Anaporuhusiwa mama na mtoto kutoka hospitali ndugu, jamaa na marafiki hujawa…

Read More