
Waandishi Wa Habari Wauwawa Kwa Shambulio La Israel – Global Publishers
Last updated Mar 25, 2025 Shirika la utangazaji la Al Jazeera limeripoti leo kuwa mwandishi wake wa habari anayefanya kazi na moja ya chaneli zake ameuawa katika shambulio la Israel akiwa ndani ya gari lake kaskazini mwa Gaza. Kwa mujibu wa taarifa hiyo, Hussam Shabat, aliyekuwa akihusiana na Al Jazeera Mubasher, aliuawa katika shambulio…