Mgombea wa Chadema aliyeenguliwa ashinda uenyekiti wa kijiji

Hai. Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) Wilaya ya Hai, mkoani Kilimanjaro kimeeleza kushangazwa na Mgombea wake katika Kijiji cha Useri, Kata ya Machame Narumu, Wilfred Ritte kutangazwa mshindi wa nafasi ya uenyekiti wa kijiji hicho, licha ya kuondolewa katika kinyang’anyiro katika hatua za mapingamizi. Katika matokeo hayo mgombea huyo wa Chadema anaonekana kupata kura…

Read More

Mshikemshike uchukuaji fomu CCM | Mwananchi

Dar es Salaam/Mikoani.  Mshikemshke wa uchukuaji na urejeshaji wa fomu za kuwania uteuzi wa nafasi za udiwani, ubunge na uwakilishi ndani ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) umeanza rasmi leo, Juni 28, 2025, na kuvutia makada wengi kuwania nafasi hizo. Miongoni mwa waliovutia macho ya wengi ni Ester Bulaya, aliyekuwa Mbunge wa Viti Maalumu kupitia Chadema,…

Read More

MRADI WA UTAFITI WA UCHIMBAJI MAFUTA NA GESI WAFIKIA PAZURI

Na.Ashura Mohamed-Karatu  Naibu katibu Mkuu wizara ya Nishati bw.Dkt.James Mataragio  ameridhishwa na kasi ya  mradi  mradi wa utafutaji mafuta na gesi asilia kitalu cha EYAS WEMBERE kilichopo karatu mkoani  Arusha. Ziara hiyo ya Naibu katibu mkuu inaeleza kuwa  mradi huo ambao ni mkakati maalum wa serikali ya Awamu ya sita na pia unatajwa iwapo utakamilika…

Read More

Lori laparamia nyumba na kuungua, wanne wajeruhiwa

Dar es Salaam. Watu wanne wamejeruhiwa baada ya lori lililobeba saruji kuacha njia, kugonga maduka sita na nyumba moja pembezoni mwa barabara ya Wazo, wilayani Kinondoni, Dar es Salaam. Majeruhi hao, Ezekiel Matuni, Herubu Jackson na Stanley Mchingwi na mmoja ambaye hajatambuliwa jina, wamefikishwa katika Hospitali ya Kitengule. Akizungumza na Mwananchi leo Mei 10, 2025…

Read More

Unajua madhara kumhamisha mtoto shule?

Dar es Salaam. Wadau wa elimu na wataalamu wa Saikolojia wamesema kumhamisha mtoto kutoka kwenye mfumo mmoja wa elimu kwenda mwingine, kunaweza kumwathiri kitaaluma na kutojiamini. Imekuwapo tabia ya kuhamisha watoto kutoka shule moja kwenda nyingine, na aghalabu husababishwa na mambo mbalimbali ikiwamo kufuata mkumbo, mabadiliko ya hali ya kiuchumi, kuhama makazi, kufiwa na wazazi,…

Read More

Dk. Kijaji awataka kila mwanafunzi awe na mti wake mmoja

  WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira), Dk. Ashatu Kijaji ametoa wito kwa wananchi wa Tanga kuweka kipaumbele suala la usafi katika maeneo wanayoishi pamoja na upandaji wa miti ikiwa moja ya njia ya Utunzaji na Uhifadhi waMaznigara. Anaripoti Mwandishi Wetu, Pangani, Tanga … (endelea). Dk. Kijaji amesema kwa kuanza…

Read More

Uwayezu Francois CEO mpya Simba SC

Uongozi wa Simba umemtangaza Uwayezu Francois Regis raia wa Rwanda kuwa Ofisa Mtendaji Mkuu wa klabu hiyo, akichukuwa nafasi ya Imani Kajula anayejiandaa kumaliza mkataba mwishoni mwa mwezi huu. Francois, alikuwa Makamu Mwenyekiti wa APR ya Rwanda na amewahi pia kuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka cha Rwanda (FERWAFA). Hii itakuwa ni mara ya…

Read More