Kigamboni waanza kuunganishwa huduma ya maji

Kaimu Afisa Mtendaji Mkuu wa Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Dar es Salaam DAWASA Mhandisi Mkama Bwire amesema kuwa Mamlaka imeanza utekelezaji wa agizo la Waziri wa Maji Mhe. Jumaa Aweso la kufanya maunganisho ya majisafi kwa wananchi wa maeneo ya Kigamboni kwa kutoa vifaa vya maunganisho ya majisafi. Amesema hayo wakati wa…

Read More

Mtu ana elimu na maarifa kiasi gani?

Arusha. Naona ni jambo jema nikukaribishe msomaji tujiulize pamoja swali hili: Je, nina elimu kiasi gani? Nina maarifa kiasi gani? Ni kama vile mtu anajiuliza: nina hela kiasi gani mfukoni kwangu? Au nina fedha kiasi gani katika akaunti yangu huko benki au katika simu yangu?Hivyo ni jambo jema, tena la busara, kutafakari juu ya kina…

Read More

Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 15Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 3, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania., 2024

Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 15, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa za mbele na za nyuma za Magazeti ya Tanzania. The post Habari kubwa za Magazeti ya Tanzania leo October 15Good Morning Mtu wangu wa nguvu kutoka Dar es salaam October 3, 2024,nakukaribisha kutazama kile kilichoandikwa katika kurasa…

Read More

Jinsi familia zinavyoweza kushiriki kudhibiti kisukari

Watu wa karibu kama familia, wazazi, watoto, mke na mume na ndugu wa karibu wana jukumu kubwa la kusaidia na kumtunza mgonjwa wa kisukari ili kuhakikisha kwamba anapata huduma bora. Kisukari ni ugonjwa unaoweza kubadilisha kabisa mfumo wa maisha wa mgonjwa, na mara nyingi, athari za ugonjwa huu haziishii kwa mgonjwa pekee, bali pia zinahusisha…

Read More

Twiga Stars yaimaliza Guinea, bado 90 ugenini

Twiga Stars imeanza vyema kampeni za michuano ya kufuzu kwa Fainali za Mataifa ya Afrika kwa Wanawake (WAFCON) 2026 nchini Morocco, baada ya ikiitandika Equatorial Guinea kwa mabao 3-1 katika mchezo mkali uliopigwa jana, Uwanja wa Azam Complex. Twiga ambayo imekuwa na kikosi bora kwa miaka ya hivi karibuni, ilionyesha kiwango cha juu kwenye mchezo…

Read More

MHE. RAIS AIPANDISHA HALMASHAURI YA BAGAMOYO KUWA MJI

Na John Mapepele Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais-TAMISEMI, Mhe. Mohamed Mchengerwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ameamua kupandisha hadhi ya Halmashauri ya Wilaya ya Bagamoyo kuwa Halmashauri ya Mji wa Bagamoyo. Aidha, ameitaka Wizara yake kukamilisha taratibu zote za kisheria ikiwa ni pamoja na kuitangaza katika gazeti za Serikali kukamilika mara moja.Mhe. Mchengerwa ametoa…

Read More