Siri ya ushindi katika kampeni za kistaarabu

Dar es Salaam. Katika kila uchaguzi, ushindi ni ndoto inayotamaniwa na kila mgombea, lakini njia ya kuufikia ni mchakato unaohusisha mambo lukuki. Siri ya ushindi katika uchaguzi haitokani tu na kuhamasisha wapigakura, bali pia kuimarisha imani yao kwa mgombea na kujenga uhusiano wa heshima na jamii yote. Katika utekelezaji wa hilo, kampeni za kistaarabu ni…

Read More

Chopa yashusha Kombe kwa Mkapa

HATIMAYE ile chopa maalumu iliyokuwa na jukumu la kulileta Kombe la Ligi Kuu Bara litakalokabidhiwa Yanga mara baada ya mechi dhidi ya Tabora United, imelishusha kombe hilo huku mashabiki wakiisindikiza kwa shangwe kubwa. Saa 8:48 mchana chopa hiyo imeshuka katikati ya eneo la kucheza la Uwanja wa Benjamin Mkapa kisha likashushwa kombe hilo la ubingwa…

Read More

NYUMA YA PAZIA: Pepe, kizazi cha mwisho cha masela wa ghetto?

MACHOZI yake baada ya mechi iliyowatupa Ureno nje michuano ya Euro pale Ujerumani yalikuwa machozi ya mwisho katika soka. Hatujua. Labda alilia zaidi kwa sababu alijua ilikuwa mechi yake ya mwisho katika soka. Pepe. Mreno kichaa. Mreno jeuri. Aliwahi kuandika Ben Mtobwa. ‘Machozi ndio njia pekee imalizayo huzuni ya mwanamke’. Hapana. Alikosea. Hata wanaume wanatoa….

Read More

Vibatari vilivyozaa Soko la Makoroboi Mwanza

Mwanza. Ukifika jijini Mwanza kwa mara ya kwanza ukahitaji kununua nguo hususan ‘mitumba’ eneo utakaloelekezwa na wenyeji ili kujipatia bidhaa hiyo kwa bei rahisi ni ‘Makoroboi’. Makoroboi ni eneo linalopatikana katikati ya Jiji la Mwanza, likipakana na mlima ilipojengwa nyumba ya Gavana wa mwisho wa Tanzania, Richard Turnbull ambayo sasa imegeuzwa kuwa eneo la kihistoria…

Read More

NMB Yadhamini na Kushiriki Kilele cha Maadhimisho ya Mei Mosi Kitaifa Singida

Na mwandishi wetu. Benki ya NMB imedhihirisha tena nafasi yake kama Mwajiri Kinara nchini kwa kudhamini na kushiriki kikamilifu katika maadhimisho ya Siku ya Wafanyakazi Duniani (Mei Mosi), yaliyofanyika kitaifa mkoani Singida. Maadhimisho hayo yamehudhuriwa na maelfu ya wafanyakazi kutoka sekta mbalimbali nchini, yakiwemo mashirika ya umma na binafsi, taasisi na vyama vya wafanyakazi, yakilenga…

Read More

WANAOKUSANYA BETRI CHAKAVU BILA KUFUATA TARATIBU, AGENDA WATOA NENO KWA WADAU

Na Said Mwishehe, Michuzi TV BARAZA la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira(NEMC)limewashauri watu wote wanaojihusisha na kukusanya betri chakavu na Kwenda kuuza katika viwanda vinavyochakata betri hizo kuhakikisha wanazingatia kanuni, taratibu na maelekezo yaliyopo kwenye vibali. Lengo ni kuhakikisha wanaojihusisha na biashara hiyo kuifanya katika mazingira yaliyosalama ili kuepuka madhara ya kiafya na…

Read More

Dk Nyambura Moremi aaga Maabara ya Taifa

Dar es Salaam. Mkurugenzi wa Maabara ya Taifa ya Afya ya Umma (NPHL), Dk Nyambura Moremi ametangaza rasmi kung’atuka kutoka nafasi yake akiikamilisha enzi iliyobadili kabisa taswira ya uchunguzi wa magonjwa na sayansi ya maabara nchini. Anaondoka wiki moja baada ya Shirika la Afya Duniani (WHO), kuidhinisha maabara hiyo kwa ajili ya kupima usugu wa…

Read More

Mbinu ya kubaini bidhaa bandia yatajwa

Dar es Salaam.  Wakati Tume ya Ushindani Tanzania (FCC) ikiendelea kupambana na bidhaa bandia, imetaja mbinu ya kuzibaini huku ikiwataka wafanyabiashara wauze bidhaa halisi kwa kuwa hazina ushindani na zile bandia. Hayo yamebainishwa leo Jumatano Julai 17 2024 na Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani Tanzania (FCC), William Erio wakati akizungumza na waandishi wa habari…

Read More