Sinwar anapaswa kusimamia amani ya Gaza – DW – 07.08.2024

Yahya Sinwar aliteuliwa siku ya Jumanne kuwa kiongozi mkuu wa kisiasa wa kundi la wanamgambo la Hamas. Sinwar anadaiwa kupanga shambulizi la Oktoba 7 lililofanyika Kusini mwa Israel na kuchochea mgogoro unaoendelea kati ya Israel na kundi hilo mjini Gaza. Sinwar amechukua nafasi ya Ismail Haniyeh aliyeuwawa Julai 31 mjini Tehran katika shambulizi linalodaiwa kufanywa…

Read More

WANANCHI WAMPA MBUZI DUME MBUNGE MAGEMBE

……….. CHATO WANANCHI wa kata ya Kasenga wilayani Chato mkoani Geita, wamemtunuku zawadi ya mbuzi dume Mbunge wa Jimbo la Chato Kaskazini, Mwl. Cornel Magembe, baada ya kuwaondolea adha ya usafiri iliyokuwa ikiwakabili kwa zaidi ya miaka 50 iliyopita. Wamesema hivi sasa wanafurahia uwepo wa barabara nzuri katika maeneo yao baada ya serikali kufungua mtandao…

Read More

Bunge laazimia Serikali isitegemee msaada fedha za Ukimwi

Dodoma. Bunge limeazimia Serikali itekeleze mpango wa kupata rasilimali za ndani kupambana na maambukizi ya Virusi vya Ukimwi (VVU) na Ukimwi bila kutegemea msaada wa wafadhili. Azimio hilo limefikiwa leo Februari 4, 2025, ikiwa ni siku chache baada ya Shirika la Marekani la Maendeleo ya Kimataifa (USAID) kutangaza kusitisha utoaji fedha mpya na usambazaji wa…

Read More

Waziri Ndejembe Mitata Janja za Umeme

NA MWANDISHI WETU WAZIRI wa Nishati, Deogratius Ndejembi amezindua rasmi mita janja (smart meter) yenye lengo la kuboresha na kumrahisishia mteja kufanya manunuzi ya umeme moja kwa moja ikiwa ni mageuzi makubwa ya teknolojia yanayofanywa na TANESCO katika kuongeza ufanisi wa utoaji wa huduma kwa wateja. Ndejembi amezindua Mita janja hizo Disemba 05, 2025 katika…

Read More

Ligi Kuu Zanzibar kufanyiwa maboresho

WAZIRI wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Zanzibar, Tabia Maulid Mwita, amesema wizara hiyo inashirikiana na Shirikisho la Mpira wa Miguu Zanzibar (ZFF) kuiboresha Ligi Kuu ya ZPL kwa lengo la kupata wadhamini wengi na wa uhakika. Amesema, ili kupata udhamini wa uhakika na kukua kwa klabu za Zanzibar, wanahitaji kuwa na Ligi Kuu bora…

Read More

Airtel Tanzania Yaadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja 2025 kwa Kujizatiti Upya kupitia Kaulimbiu ya “Mteja Kwanza”

Dar es Salaam, Oktoba 2025. AIRTEL Tanzania imeungana na mataifa katika kuadhimisha Wiki ya Huduma kwa Wateja ya mwaka 2025, chini ya kaulimbiu “Mission Possible” (Dhamira Inawezekana). Kaulimbiu hii inaendana kwa karibu na falsafa ya Airtel ya “Mteja Kwanza”, ambayo imeendelea kuwa mwongozo katika kila hatua na uamuzi wa kampuni hiyo, ikilenga kuboresha huduma na…

Read More

TCCIA: Wafanyabiashara jiandaeni ushindani wa kibiashara Afrika

Morogoro. Wafanyabiashara nchini wametakiwa kujiandaa na ushindani wa kibiashara, kufuatia hatua ya Serikali kushiriki mazungumzo ya kikanda yatakayowezesha bidhaa za Tanzania kuingia kwenye masoko ya Afrika bila ushuru kufikia mwaka 2030. Hatua hii inatarajiwa kufungua fursa kubwa za biashara, hususan kwa wanachama wa Chemba ya Wafanyabiashara, Wenye Viwanda na Wakulima Tanzania (TCCIA). Akizungumza wakati wa…

Read More

Balozi Kombo awahimiza vijana kuilinda amani ya nchi

Dar es Salaam. Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo, amewataka vijana nchini kuwa wazalendo kwa taifa lao na kuilinda amani kwani itakapotoweka ni vigumu kuirudisha. Balozi Kombo amesema hayo leo Januari 6, 2026, katika mahafali ya 28 ya wahitimu wa Kituo cha Uhusiano wa Kimataifa cha Dk…

Read More