Mfumo dume unavyowatesa wanawake walima mpunga Mbarali

Mbeya. Wanawake wa Wilaya ya Mbarali, mkoani Mbeya, wanajishughulisha na kilimo cha mpunga wanakabiliwa na changamoto kubwa ya mfumo dume unaozua migogoro inayowasababishia vipigo na ukatili mwingine wa kijinsia. Kwa mujibu wa takwimu zilizotolewa na Ofisa Ustawi wa Jamii wa Kata ya Igurusi, wilayani humo, Casmiri Pius, asilimia 75 hadi 80 ya wanawake wanajishughulisha na…

Read More

Simba yafuata kiungo Mali | Mwanaspoti

KATIKA kuimarisha eneo la kiungo, Simba imeanza harakati mapema za kulijenga eneo hilo ambalo tayari kuna nyota wanne wameshaondoka baada ya msimu wa 2024-2025 kumalizika. Katika hilo, klabu hiyo haijakubali unyonge, kwani mabosi wa Simba wako kwenye mazungumzo na Stade Malien ya Mali, ikimtaka Lassine Kouma. Kouma ambaye anacheza nafasi ya kiungo mshambuliaji, Simba inapambana…

Read More

Mabao yairejesha Kagera Sugar kambini haraka

BENCHI la ufundi la Kagera Sugar limepanga kuanza mapema maandalizi ya duru la pili la Ligi Kuu Bara wiki ijayo baada ya kuwapa mapumziko ya wiki tatu wachezaji, huku ikielezwa tatizo la ufungaji mabao ndilo lilicholisukuma benchi hilo kuiwahisha timu kambini. Kagera inayoshika nafasi ya 15 katika msimamo wa Ligi Kuu yenye timu 16, ikiwa…

Read More