TLS yatakiwa kusimamia haki na Amani kuchochea Maendeleo

Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko amewataka Chama cha Wanasheria Tanganyika (TLS) na Mawakili kusimamia Haki na Amani nchini ili kuhakikisha haki inatendeka kwa watu wote ili kuchochea maendeleo. Dkt. Biteko ametoa wito huo wakati akimwakilisha Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan kufungua Mkutano Mkuu…

Read More

FYATU MFYATUZI: Sasa natangaza rasmi ufalme wa Fyatuland

Kuanzia sasa, Fyatuland si jamhuri tena. Ni ufalme wa Fyatu Mfyatuaji awafyatuaye mafyatu atakavyo wasifyatuke wakamfyatua. Kuwafyatua vilivyo, juzi niliwafyatua mafyatu mkenge. Walinipigia kelele wanataka domoghasia aka demokrasia. Sikusita. Kwangu, hii ilikuwa fursa ya kuwafyatua vilivyo tena bila aibu wala huruma. Niliitisha uchaguzi ambao wapinzani wangu waliuita uchafuzi. Nilishangaa. Nani alimchafua nani wakati nilichofanya ni…

Read More

Shule ya Brookside yamuunga mkono Rais Samia

Na Mwandishi Wetu. Katika jitihada za kumuunga mkono juhudi za Rais wa awamu ya Sita Dk.Samia Suluhu Hassan za kuwawezesha kielimu watoto wa kike, shule ya Msingi ya Brookside iliyopo Kata ya Kimara ,Wilaya ya Ubungo Jijini Dar es Salaam ina mpango wa kujenga shule ya sekondari ya wasichana ya bweni Bagamoyo mkoa Pwani. Shule…

Read More

USAFIRI WA BASI KUTOKA JOHANNESBURG AFRIKA KUSINI HADI TANZANIA NDIO UNAOONGOZA KUUNGANISHA NCHI ZOTE ZA SADC

Na Zainabu Hamis, Habari njema zenye kuleta matumaini kwa wasafiri wanaotumia Bus kutoka Dar es Salaam Tanzania hadi Johannesburg ,Afrika Kusini kwa Mzee Madiba, kampuni ya kizalendo ya Usafirishaji Tanzania Mkombe Logistics yenye makao yake mjini Johannesburg,South Africa ambayo kwa sasa ndio inayo safirisha abiria kwa kutumia mabasi yake Mkombe Luxury Bus kampuni hiyo imejikuta…

Read More

Jeshi lakosolewa kuingilia uchaguzi Uganda, Bobi Wine agomea matokeo

Kampala, Uganda. Waangalizi wa uchaguzi wamelikosoa vikali Jeshi la Uganda (UPDF) kwa kutoa maelekezo yanayohusu mwenendo wa uchaguzi, wakisema hatua hiyo inakiuka misingi ya uhuru na uwazi wa mchakato wa kidemokrasia. Katika taarifa ya NTV Uganda, wachunguzi hao wamesema walishtushwa na tamko la Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi wa Uganda, Jenerali Muhoozi Kainerugaba, aliyewaagiza wapigakura…

Read More

Hivi ndivyo Vikoba vya wanawake vinavyozibeba familia kiuchumi

Januari, mwezi unaojulikana kama “Januari ngumu,” ni kipindi ambacho familia nyingi hupitia changamoto za kifedha baada ya matumizi makubwa wakati wa msimu wa sikukuu za mwisho wa mwaka. Hata hivyo, kwa baadhi ya watu, changamoto hizi zimekuwa historia, shukrani kwa vikundi vya kuweka na kukopa, maarufu kama vikoba, ambavyo vimekuwa msaada muhimu wakati wa matatizo…

Read More

AKILI ZA KIJIWENI: KenGold wameamua kutuchekesha

KENGOLD ilitikisa sana katika Ligi ya Championship msimu uliopita hadi ikafanikiwa kupanda kibabe katika Ligi Kuu Bara msimu huu. Kule Championship ilionekana kubebwa zaidi na nguvu ya fedha na ikaonekana kama ingekuja kuleta ushindani katika Ligi Kuu kwa vile wengi waliamini hali ya kiuchumi kwao haiwezi kuwa tatizo. Hata hivyo, ilipoanza tu maandalizi ya Ligi…

Read More

Sintofahamu ujenzi wa barabara ya njia nne Mbeya

Mbeya. Kasi ndogo utekelezaji wa ujenzi wa mradi barabara njia nne yenye urefu wa kilometa 29 kutoka Uyole hadi eneo la Songwe Wilaya ya Mbeya mkoani hapa, imeibua maswali kwa wananchi na kuwatia hofu kwamba huenda usikamilike kwa wakati uliopangwa. Wananchi wamepaza sauti zao baada ya kushuhudia kuondolewa kwa magari na vifaa vya ujenzi vya…

Read More