Serikali kuboresha bandari za Kibirizi, Ujiji

Dodoma. Serikali imesema imeanza utekelezaji wa hatua za kurejesha bandari za Kibirizi na Ujiji mkoani Kigoma zilizokumbwa na athari za mabadiliko ya tabianchi kutokana na kuongezeka kwa kina cha maji katika Ziwa Tanganyika, hali iliyosababisha kudorora kwa shughuli za usafirishaji na biashara. Kauli hiyo imetolewa bungeni leo Jumanne, Februari 3, 2026, na Naibu Waziri wa…

Read More

MENEJIMENTI YA TMDA YAJIPANGA NA DIRA 2050

Menejimenti ya TMDA yakutana Morogoro tarehe 2 -3 Februari, 2026 kujadili rasimu ya Mpango Mkakati Mpya wa Mamlaka wa miaka mitano, 2026/27-2030/31 unaoakisi utekelezaji wa Dira ya Taifa ya 2050.  Rasimu ya Mpango Mkakati huo ni ya Sita kufuatia kukamilika kwa ufanisi kwa Mpango Mkakati wa Tano. Mpango Mkakati wa Sita wa TMDA unatarajiwa kuanza…

Read More

Maxime asisitiza jambo, Josiah apiga mkwara

WAKATI leo Uwanja wa Sokoine jijini Mbeya ukitarajiwa kuchezwa mechi ya Ligi Kuu Bara kati ya Mbeya City na Dodoma Jiji, makocha wa timu hizo kila mmoja ameibuka kwa staili yake akizitaka pointi tatu. Kocha Mkuu wa Mbeya City, Mecky Maxime amesisitiza jambo kwa mastaa wake baada ya kubaini kuna tatizo la kuruhusu mabao katika…

Read More

Je, ni Mgogoro wa Bajeti – Au Mgogoro wa Uongozi – Unaoukabili Umoja wa Mataifa – Au Yote Mbili? – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na Anwarul K. Chowdhury (new york) Jumanne, Februari 03, 2026 Inter Press Service NEW YORK, Februari 3 (IPS) – Mwezi Februari 2025, mwaka mmoja uliopita, Katibu Mkuu wa Umoja wa Mataifa Antonio Guterres alianza mkutano wake na vyombo vya habari kwa kutangaza kwamba “Nataka kuanza kwa kueleza wasiwasi wangu mkubwa kuhusu taarifa nilizopokea katika…

Read More

JK KWA MFALME MSWATI III KUJADILI UPATIKANAJI WA FEDHA ZA MIRADI YA AFYA KWA NCHI WANACHAMA WA ECSA

Mfalme Mswati III akikutana na Washiriki wa Mkutano wa 67 wa Mawaziri wa Afya wakiongozwa na Dkt. Jakaya Mrisho KikweteDkt. Kikwete akihutubia Washiriki katika Mkutano huoDkt. Kikwete akiwa na Bw. Mduduzi Matsebula, Waziri wa Afya wa Eswatini (kushoto kwake) na Dkt. Ntuli Kapologwe, Mkurugenzi Mkuu wa ECSA-HCMfalme Mswati III akiwa katika picha ya pamoja na…

Read More