Washindi na Walioshindwa – Masuala ya Ulimwenguni

Maoni na AK Abdul Momen (jezi mpya, Marekani) Alhamisi, Machi 26, 2026 Inter Press Service NEW JERSEY, Marekani, Machi 26 (IPS) – Nani anafaidika na vita vya kuchagua dhidi ya Iran? Washindi wa haraka wa kisiasa wanaweza kujumuisha Rais Donald Trump na Waziri Mkuu Benjamin Netanyahu. Lakini ikiwa vita vitaendelea kwa muda mrefu, matokeo ya…

Read More

Trump: Tumekata Saratani ya Nyuklia Iran, Vita Yaelekea Mwisho

Rais wa Marekani, Donald Trump, amesema kuwa Marekani kwa kushirikiana na Israel imefanikiwa kudhoofisha kwa kiwango kikubwa mpango wa nyuklia wa Iran, akitumia lugha kali kuelezea operesheni hiyo kama “kukata saratani.” Akizungumza mbele ya wajumbe wa chama chake, Trump alisisitiza kuwa hatua iliyochukuliwa ilikuwa ya lazima ili kuondoa tishio la Iran kuwa na silaha za…

Read More

TANZANIA NA BENKI YA AfDB ZADHAMIRIA KUIMARISHA USHIRIKIANO KATIKA MIRADI YA KIMKAKATI

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Mhe. Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb), amesema Ushirikiano kati ya Tanzania na Benki ya maendeleo ya Afrika  (AfDB), katika miradi ya kimkakati  unaendelea kuimarika jambo linawezesha nchi kukua kiuchumi. Ameyasema hayo Machi 25, 2026 alipokuwa anapokea nakala za hati za utambulisho za Mwakilishi Mkazi  mpya…

Read More

Safari maisha ya Lukuvi isiyosahaulika

Dar es Salaam. Alianza kama mwalimu wa kawaida, akaibuka kuwa mmoja wa mawaziri walioteka hisia za wengi kwa namna yake ya uongozi na misimamo isiyotetereka. Alikuwa mtoto wa kijiji cha Mapogoro kabla ya kuwa mtu wa Dodoma. Huyo ndiye William Vangimembe Lukuvi jina lililojijenga taratibu hadi kuwa alama ya uzoefu katika siasa za Tanzania sambamba…

Read More

Njia za kusimamia fedha kwa maisha bora baadaye

Fedha ni sehemu muhimu sana ya maisha ya kila siku. Watu hufanya kazi, huanzisha biashara, na huwekeza kwa lengo la kuboresha maisha yao ya kifedha. Hata hivyo, mara nyingi mafanikio ya kifedha hayategemei tu kiasi cha fedha mtu anachopata, bali namna mtu anavyofikiri na kufanya maamuzi kuhusu fedha. Watu wengi hufikiri kwamba ili mtu awe…

Read More

Hiki hapa kilichoikwamisha Dewdrop kesi ya mamilioni

Arusha. Mahakama Kuu, Kanda ya Kigoma imefuta kesi ya madai ya Sh500 milioni iliyofunguliwa na Kampuni ya Vinywaji ya Dew Drop Limited dhidi ya Kampuni ya Lemon Dove Limited, kwa madai ya ukiukaji wa hakimiliki na chapa ya biashara. Hukumu hiyo ilitolewa na Jaji Augustine Rwizile, baada ya kupitia pingamizi zote za awali zilizowasilishwa na…

Read More