Dk Mwigulu ataka uwazi kwenye fedha za miradi
Dar es Salaam. Waziri Mkuu, Dk Mwigulu Nchemba amezielekeza halmashauri zote kuweka wazi kuhusu fedha za miradi inayotekelezwa kwenye halmashauri husika kwa kile alichoeleza usiri unasababisha uchepushaji wa fedha za miradi. Dk Mwigulu ametoa maelekezo hayo leo Mchi 8,2026 wakati akizungumza na wananchi wa Laela mkoani Rukwa ambapo aliagiza kuanzia sasa taarifa za fedha za…