Sita kizimbani wakituhumiwa kumuua askari wa Tanapa

Geita. Watu sita wamepandishwa kizimbani  wakishitakiwa kwa kosa la mauaji ya aliyekuwa askari wa Hifadhi ya Taifa (Tanapa), Julius Katambi, aliyeuawa Oktoba 20, 2023 akiwa lindo kwenye hifadhi ya Kigosi wilayani Mbogwe mkoani Geita. Washitakiwa katika kesi hiyo, namba 21464/2024, ni Mpandasabi Lutoja, Richard Mhozya (45), Mpejiwa Sumuni (35), Antony Sumuni (40), Majaliwa Marko (33)…

Read More

Mkanganyiko wakwaza uandikishaji wapigakura | Mwananchi

Musoma. Mkanganyiko kuhusu uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura pamoja na uandikishaji wa wapiga kura kwenye uchaguzi wa serikali za mitaa umepelekea muitikio mdogo wa wapiga kura kwenye chaguzi hizo. Kutokana na hali hiyo, wananchi wametakiwa kuhakikisha wanashiriki kwenye uboreshaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura unaoendelea na kisha kujiandikisha kwa ajili ya kushiriki…

Read More

Access Bank Yazindua Access Wezesha na Kushirikiana na AIESEC IFM Kuwajengea Uwezo Zaidi ya Vijana 200 Katika Maarifa ya Uelimishaji wa Fedha

Access Bank Tanzania imezindua rasmi Access Wezesha, jukwaa jipya linalolenga kuwawezesha vijana wa kizazi kijacho kupata maarifa muhimu ya uelewa wa masuala ya fedha. Benki imeshirikiana na AIESEC IFM kuendesha mafunzo ya kina ya elimu ya fedha kwa wanafunzi wa vyuo vikuu, ambapo zaidi ya vijana 200 walihudhuria ili kujifunza kuhusu akiba, upangaji bajeti, na…

Read More

Vyama vya Ushirika vyatajwa kuwa mkombozi Kwa wananchi

Vyama vya Ushirika nchini vimetajwa kuwa mkombozi katika mashirika na taasisi mbalimbali Kwa kuwaunganisha wafanyakazi na Watu wa kada zote na kuwainua kiuchumi . Hayo yamesemwa na CPA Gabriel Msuya Kaimu Meneja Ushauri wa Coasco ambapo amesema licha ya kuwa na changamoto ndogondogo Bado ushirika umekua na mfanikio makubwa nchini. Amesema kutokana na umuhimu huo…

Read More

Saa 72 za mtego Simba

DAKIKA 90 zilizopita zilikuwa na maumivu makali kwa Simba baada ya kushuhudia ikipoteza nafasi ya kubeba ubingwa wa Kombe la Shirikisho Afrika kufuatia sare ya bao 1-1 dhidi ya RS Berkane kwenye Uwanja wa New Amaan Complex, Zanzibar. Sare hiyo iliifanya Simba kupoteza fainali kwa jumla ya mabao 3-1 baada ya ugenini kufungwa 2-0. Baada…

Read More

Jacob na Malisa wafikishwa kortini Kisutu

Dar es Salaam. Meya wa zamani wa Ubungo, Boniface Jacob na mwanaharakati Godlisten Malisa,  wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu kujibu mashtaka matatu ya kuchapisha taarifa za uongo kinyume na sheria. Washtakiwa hao wamefikishwa Mahakamani hapo Leo, Jumatatu Mei 5, 2024 na kusomewa mashtaka yao na wakili wa Serikali,  Neema Moshi akishirikiana na Happy…

Read More

Simba Queens kama Yanga tu Chamazi

KAMA ilivyo kwa Mabingwa Ligi Kuu Bara, Yanga wamekuwa na bahati kwenye Uwanja wa Azam Complex, Chamazi ndivyo ilivyo kwa Simba Queens na mechi nane ilizocheza hapo imeshinda zote. Simba hadi sasa iko nafasi nzuri ya kutwaa ubingwa wa Ligi ya Wanawake (WPL) ikiongoza msimamo na pointi 37 baada ya mechi 13 ikishinda 12 na…

Read More