Kagera Sugar hali si shwari

KAGERA Sugar ina kibarua cha kupambana ili kuepuka kushuka daraja kutokana na mambo yalivyo kwa upande wao msimu huu katika Ligi Kuu Bara. Kagera juzi usiku ikiwa nyumbani ilipokea kipigo cha mbao 2-1 kutoka kwa Tabora United na kuiacha isalie katika nafasi ya 15, ikiwa na jumla ya pointi 12 tu kupitia mechi 18, baada…

Read More

WATANO WASHTAKIWA KUHUSIKA NA KIFO CHA MRAIBU MATTHEW PERRY – MWANAHARAKATI MZALENDO

Katika maendeleo mapya kuhusu kifo cha mwigizaji maarufu Matthew Perry, watu watano wamepandishwa kizimbani kwa tuhuma zinazohusiana na kifo chake kilichotokea mwaka jana. Polisi wamesema kwamba watuhumiwa hao, ambao ni madaktari wawili na msaidizi wa kibinafsi wa Perry, wanakabiliwa na mashtaka ya kuhusika na mtandao wa uhalifu wa dawa za kulevya uliohusika na kifo cha…

Read More

Magonjwa haya yanasumbua Dodoma | Mwananchi

Dodoma. Wakati serikali na wadau wa afya wakiendelea kutoa elimu ya afya kwa wananchi namna ya kujikinga na magonjwa yasiyo ya kuambukiza, Mkoa wa Dodoma umetwajwa kuwa kinara wa magonjwa matatu ambayo ni macho, magonjwa ya akili na selimundu. Kwa mujibu wa utafiti uliofanywa na wizara ya afya kwa kushirikiana na Hospitali ya rufaa ya…

Read More

Naibu Mkuu wa UN – Masuala ya Ulimwenguni

Ingawa watu wenye ulemavu wanawakilisha asilimia 16 ya idadi ya watu ulimwenguni, bado wanapata usawa wa kiafya, pamoja na vifo vya mapema, matokeo duni ya kiafya, na hatari kubwa ya magonjwa ikilinganishwa na idadi ya watu. Kushughulikia Mkutano wa Ulemavu wa Ulimwenguni Huko Berlin katika ujumbe wa video Jumatatu, Bi Mohammed Alisema hiyo Kutoa fursa…

Read More

Mchanja, Mfilipino kazi ipo KO ya Mama

BONDIA wa ngumi za kulipwa nchini, Yohana Mchanja na mpinzani wake Miel Farjado wa Ufilipino watakabiliana katika pambano la kimataifa la kuwania mkanda wa ubingwa wa WBO Global huku kila mmoja akitamba kumchakaza mpinzani wake. Mabondia wamepima uzito leo katika Ufukwe wa Coco tayari kwa pambano hilo la Knockut ya Mama litakalofanyika kesho Alhamisi kwenye…

Read More

WANANCHI WATAKIWA KUPANGA BAJETI – Mzalendo

Afisa Msimamizi Mkuu wa Fedha, Idara ya Uendelezaji wa Sekta ya Fedha, Wizara ya Fedha, Bw. Salim Khalfan Kimaro, akigawa vipeperushi vyenye mada mbalimbali ikiwemo mikopo, akiba uwekezaji kwa baadhi ya wananchi wa Wilaya vya Ruangwa mkoani Lindi, waliojitokeza kupata elimu ya fedha. Na: Josephine Majula WF, Lindi   Wananchi wa Halmashauri ya Wilaya ya…

Read More

Dabi yampa Oumba mbinu za ushindi fainali FA

DAKIKA 90 za mchezo kati ya wenyeji Yanga dhidi ya watani zao Simba zimemtosha kocha wa Singida Black Stars, David Ouma kutambua ni wapi anatakiwa kufanyia kazi kabla ya kuvaana na timu hiyo Jumapili hii na kushinda. Ouma ameliambia Mwanaspoti alikuwa na dakika 90 za kuisoma Yanga ikiifunga Simba kwa mabao 2-0 huku akibaini ubora…

Read More

Wanaume wanaolia balaa kwa mapenzi

Wataalamu wa masuala ya mapenzi wamebaini kuwa wanaume wenye hisia kali kiasi cha kudondokwa na machozi kwa sababu ya wapenzi wao, huishia kuwa na uhusiano thabiti wa kimapenzi. Hii ni kinyume na dhana ya kipindi kirefu kuwa wanaume wenye misuli na kifua kilichotanuka ndio huwaniwa na wanawake kutokana na maumbile yao ya kupendeza. “Sasa mambo…

Read More