
Makatekista waibuka kidedea kortini, shauri lao kusikilizwa upya
Songea. Kukiukwa kwa utaratibu wa kurekodi mwenendo wa shauri kwa kuandika maswali na majibu badala ya simulizi ya ushahidi, umewabeba makatekista wawili wa Jimbo Kuu Katoliki la Songea baada ya kesi yao kuamriwa isikilizwe upya. Kutokana na dosari hiyo ya kisheria iliyoibuliwa na mahakama yenyewe, Jaji James Karayemaha wa Mahakama Kuu ya Tanzania Divisheni ya…