Kauli ya DC Ng’umbi ilivyotonesha kidonda cha uchaguzi

Dar es Salaam. Kauli ya aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Longido (DC), Mkoa wa Arusha, Marco Ng’umbi kuwa Serikali iliwezesha ushindi wa madiwani na baadhi ya wabunge nchini katika uchaguzi uliopita, imetonesha upya kidonda cha madai ya mifumo ya sheria za uchaguzi ili viongozi wanaopatikana watokane na matakwa ya wananchi. Aidha, kauli hiyo imeelezwa inakwenda…

Read More

DC Mwangwala Elimu ya Kodi Itasaidia Taifa

Mkuu wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala akizungumza na maafisa Forodha kutoka Mamlaka ya Mapato Tanzania, hivi karibuni wakati maafisa hao walipofika wilayani hapo katika ziara ya siku moja kwa ajili ya kutoa elimu ya mlipa kodi kwa wafanyabiashara na Wananchi kwa ujumla. MKUU wa Wilaya ya Rombo, Raymond Mwangwala, amesema kuwa endapo wananchi wataelewa…

Read More

Mwanafunzi adaiwa kumuua rafiki yake wakibishania umri

Moshi. Jeshi la Polisi mkoani Kilimanjaro linamshikilia mwanafunzi wa kidato cha pili (miaka 17) kwa tuhuma za kumuua rafiki yake, John Lema (18) chanzo kikielezwa kuwa, mabishano ya umri. Mwanafunzi huyo mkazi wa Mtaa wa Kalimani, Wilaya ya Moshi inadaiwa yeye na Lema walikuwa marafiki na siku ya tukio walikaa kijiweni wakivuta sigara, wakaanza kubishana…

Read More

TANROADS RUVUMA YAENDELEA KUFUNGUA BARABARA KUELEKEA KWENYE MAENEO YA UZALISHAJI

Serikali kupitia Wakala wa barabara Tanzania(TANROADS) Mkoani Ruvuma,imeanza kufanya matengenezo makubwa ya barabara zinazoelekea kwenye maeneo ya uzalishaji ikiwemo maeneo yanayolimwa zao la kahawa ili kutoa fursa kwa wakulima kusafirisha mazao yao kwa urahisi pindi wanapohitaji kupeleka sokoni. Barabara ambazo zimeanza kufanyiwa matengenezo zinaunganisha Wilaya ya Mbinga na Nyasa ambazo ni maarufu kwa kilimo cha…

Read More

Viboreshaji Mara tatu Vinavyoendeshwa na Kampuni na Huduma za Nishati Zinazomilikiwa na Serikali – Masuala ya Ulimwenguni

Kufikia lengo la kuongeza mara tatu uwezo wa uzalishaji wa bidhaa zinazoweza kurejeshwa ifikapo 2030, na kuondoa kaboni kwa mfumo wa kimataifa wa umeme, kunahitaji ushiriki hai wa SPCU. Credit: Bigstock. Maoni na Leonardo Beltran, Philippe Benoit (washington dc) Jumatano, Septemba 25, 2024 Inter Press Service WASHINGTON DC, Septemba 25 (IPS) – Jumuiya ya hali…

Read More

Polisi Tanzania Top 4 inawatosha

KOCHA wa Maafande wa Polisi Tanzania, Mussa Rashid amesema moja ya malengo aliyopewa ni kuhakikisha timu hiyo inamaliza nne bora ‘Top Four’, na wanahitaji sapoti zaidi kutoka kwa mashabiki na viongozi ili kufikia hilo. Akizungumza na Mwanaspoti, Mussa alisema wachezaji wengi waliopo katika kikosi hicho ni wapya na ameanza majukumu yake kwa muda mfupi wakati…

Read More

Siku 15 za maumivu kwa Kombo

Handeni. Kombo Mbwana, mmoja wa maofisa wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Tanga, hivi karibuni alikamatwa na kushtakiwa kwa kesi ya jinai inayojumuisha mashitaka matatu chini ya Sheria ya Mawasiliano ya Kielektroniki na Posta. Kombo alifunguliwa mashitaka katika Mahakama ya Wilaya ya Tanga, kwa makosa ya kushindwa kusajili laini ya simu ambayo awali…

Read More