Maafisa Elimu Kata Wapewa Mbinu za Kusimamia Shule kwa Ufanisi

NA EMMANUEL MBATILO, BAGAMOYO WIZARA ya Elimu, Sayansi na Teknolojia kupitia Wakala wa Maendeleo ya Uongozi wa Elimu (ADEM) itaendelea kutoa fursa za mafunzo endelevu ya viongozi wa elimu wa ngazi mbalimbali na wadau wengine wa elimu ili waweze kuimarisha uongozi, usimamizi na uendeshaji wa shule kwa ajili ya utoaji wa elimu bora nchini.  Ameyasema hayo Mkurugenzi wa Elimu msingi, Abdul Maulid wakati akimwakilisha…

Read More

Rais Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan apokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam.

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt. Samia Suluhu Hassan akizungumza na viongozi mbalimbali mara baada ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini Maboresho ya Mfumo wa Kodi nchini, Ikulu Jijini Dar es Salaam tarehe 18, Machi, 2026. Viongozi mbalimbali waliohudhuria hafla ya kupokea Ripoti ya Tume ya Rais ya Kutathmini…

Read More

MAKAMU WA PILI WA RAIS SMZ AWAONYA WANAOKWEPA KODI

Makamu wa Pili wa Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar Mhe. Hemed Suleiman Abdullah akiwa katika Iftari iliyoandaliwa na Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Zanzibar Machi 17, 2026 amesema Serikali haitawavumilia wale wote wanaokwepa Kodi kwa kujihusisha nabiashara za Magendo. Akizungumza kwa niaba ya Rais wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar na Mwenyekiti wa…

Read More

TRA KUWEKA UTARATIBU MPYA WA KUTOA VIBALI VYA KUINGIZA MAFUTA YA KUPIKIA TANZANIA BARA

Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema Mamlaka hiyo itaanzisha utaratibu mpya wa kuingiza mafuta ya kupikia Tanzania Bara kutoka Zanzibar ili kuwezesha kufanyika kwa biashara halali ya mafuta hayo na kuzuia mafuta ya magendo kuingizwa nchini. Akizungumza na wafanyabiashara wanaoagiza mafuta ya kupikia nje ya nchi kupitia Visiwani…

Read More

TALGWU yatangaza safari ya kupata viongozi wapya

Dar es Salaam. Chama cha Wafanyakazi wa Serikali za Mitaa Tanzania (TALGWU), kinatarajiwa kufanya uchaguzi wa kupata viongozi wapya kuanzia ngazi ya matawi hadi Taifa Aprili na kukamilika Septemba 2026. Kwa mujibu wa tangazo lililotolewa leo Jumatano Machi 18,2026 na Kaimu Katibu Mkuu wa TALGWU, Wandiba Ngocho, katika uchaguzi huo kutakuwa na uchaguzi mkuu wa…

Read More

DKT. KIMAMBO AWAHIMIZA WATUMISHI WANAWAKE MUHIMBILI KUJITOA KWA DHATI KUBORESHA HUDUMA KWA WANANCHI

Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo****** Mkurugenzi Mtendaji wa Hospitali ya Taifa Muhimbili (MNH), Dkt. Delilah Kimambo, amewataka watumishi wanawake wa hospitali hiyo kujitoa kwa hali na mali katika utoaji wa huduma kwa wananchi wanaofika kupiga matibabu. Akizungumza katika hafla ya kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani iliyofanyika leo Machi 18,…

Read More