Inapunguza Majaribio ya Kliniki, Wanasayansi Waonya Hatari za Marekani Kupoteza Kikomo Chake cha Utafiti – Masuala ya Ulimwenguni

Sayansi, utafiti na uvumbuzi wa kisayansi hutoa suluhu kwa changamoto kubwa zinazokabili jamii yetu na zinaweza kuboresha maisha ya watu. Mkopo: Shutterstock Maoni by Esther Ngumbi (urbana, illinois, sisi) Jumanne, Januari 27, 2026 Inter Press Service URBANA, Illinois, Marekani, Januari 27 (IPS) – Wanasayansi kote Marekani, ikiwa ni pamoja na mimi, wanasisitizwa baada ya mwaka…

Read More

UMEME NI MZURI LAKINI NI HATARI_NJIRO.

Afisa Uhusiano na Huduma kwa Wateja TANESCO Mkoa wa Ruvuma Alan Njiro, amesema kuwa umeme ni nishati muhimu lakini ni hatari endapo hautatumika kwa usahihi, kwani unaweza kusababisha madhara makubwa kwa jamii. Njiro ameyasema hayo Januari 27 alipotembelea shule ya msingi Mwenge na Shule ya sekondari Nasuri iliyopo Wilayani Namtumbo mkoani Ruvuma wakati wa mwendelezo…

Read More

Mwingine kesi ya ‘Dk Manguruwe’ aeleza alivyowekeza Sh20 milioni

Dar es Salaam. Shahidi wa tisa wa Jamhuri katika kesi ya uhujumu uchumi inayomkabili mkurugenzi mwanzilishi wa Kampuni ya Vanila International Limited, Simon Mkondya, maarufu kama Dk Manguruwe, na mwenzake John Rwezaula, ameieleza mahakama jinsi alivyoshawishika kuwekeza Sh20 milioni katika kampuni hiyo. Shahidi huyo, Abeid Shekimweri, ametoa ushahidi wake leo Jumanne, Januari 27, 2026, mbele…

Read More

Wawili mbaroni Tanga kwa tuhuma za utekaji nyara

Tanga. Jeshi la Polisi Mkoa wa Tanga limefanikiwa kuwanasa wakazi wawili wa Mabogini Kilimanjaro na Tanga waliodaiwa kumteka Aiti Ramadhani (Mazura) na kuwashurutisha ndugu zake kutoa fedha. Watuhumiwa hao wanadaiwa kuwa sehemu ya mtandao wa watu wanaoendesha uhalifu wa utekaji katika mkoa huo huku wakidai fedha kutoka kwa ndugu wa mateka hao ili wawaachie huru….

Read More

Utata familia, halmashauri zikigombea eneo Temeke

Dar es Salaam. Utata umeibuka kati ya familia ya Ramadhani Chaulembo, inayoishi Dar es Salaam dhidi ya Halmashauri ya Manispaa ya Temeke, kuhusu umiliki wa kiwanja namba 77, kila upande ukidai unalimiliki eneo hilo kihalali. Kwa mujibu wa familia hiyo ya Chaulembo, eneo hilo ni mali yao halali tangu mwaka 1977, baba yao alipolinunua kutoka…

Read More

MFUMO WA STAKABADHI ZA GHALA WAONGEZA BEI YA MAZAO KWA WAKULIMA

Na. Janeth Raphael MichuziTv – Dodoma  ‎Naibu waziri wa Viwanda na Biashara Dennis Londo, amesema kuwa ujio mpya wa stakabadhi za ghala unawakumbusha wakulima changamoto walizopitia kupitia vyama vyao vya ushirika. Aidha, amebainisha kuwa kazi kubwa iliyopo sasa ni kuimarisha imani ya wananchi kwa serikali na taasisi zake, ikiwemo mfumo huu wa stakabadhi za ghala….

Read More

NAIBU WAZIRI DKT CHAYA AUNGANA NA MHE RAIS KUADHIMISHA SIKU YAKE YA KUZALIWA KWA KUPANDA MITI JENGO LA WIZARA MTUMBA.

Katika kuenzi siku ya kuzaliwa Rais, wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan, Naibu Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Mipango na Uwekezaji (OR-MU), Mhe. Dkt. Pius Chaya, ameshiriki zoezi la upandaji miti katika Makao Makuu ya Ofisi hiyo, Mji wa Serikali Mtumba, jijini Dodoma. Zoezi hilo ambalo limefanyika leo tarehe…

Read More