Unawezaje kujinasua na “Kodi ya Meza”

Katika maisha ya mijini, “kodi ya meza” imekuwa utaratibu usioandikwa wa kupanga matumizi ya fedha za nyumbani. Ni utaratibu  wa “kuweka juu ya meza” kiasi fulani kila siku kwa ajli ya matumizi ya siku kama vile chakula, nishati ya kupikia, maji, na hata nauli za watoto kwenda shule. Kwa haraka haraka, mtindo huu unaonekana mwepesi…

Read More

Michezo na ukuaji wa uchumi Tanzania

Tanzania ni nchi yenye utamaduni mrefu na wa kina wa michezo. Kutoka soka, riadha, mpira wa wavu, na hata michezo ya asili, nchi yetu inaweza kujivunia rasilimali ya kitalentu ambayo inaweza kuwa msingi imara wa ukuaji wa kiuchumi. Lakini swali la msingi ni: Je, tunaweza kubadilisha sekta hiki na shauku ya watu wetu kwa michezo…

Read More

Subira Mgalu Aahidi Kuboresha Afya, Maji na Barabara Bagamoyo

Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Subira Mgalu, ameahidi kuboresha huduma za afya, maji na miundombinu ya barabara endapo atapewa ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika jimboni humo, Mgalu alisema ataweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha…

Read More

WANANCHI WAENDELEA KUELIMISHWA UFUGAJI WA NYUKI

 Wananchi wanaendelea kuelimishwa  kuhusu ufugaji wa nyuki kuwa ni fursa kubwa ya kipato na maisha bora kwani nyuki wanatupa asali yenye thamani kubwa sokoni, lakini pia wanasaidia kuchavusha mazao yetu na kulinda uhai wa mazingira. Ni muhimu wadau na wananchi mbalimbali kubadilika na kuacha kutumia moto wakati wa kuvuna asali kwani moto unaharibu mizinga, unaua…

Read More

Dk Chaya aahidi maboresho ya miundombinu akizisaka kura

Dodoma. Mgombea ubunge wa Jimbo la Manyoni, Dk Pius Chaya (CCM) amewaahidi wananchi endapo atachaguliwa kwa mara nyingine, anakwenda kuongeza kasi ya kufungua barabara jimboni humo. Dk Chaya alitoa ahadi hiyo jana Jumatano Septemba 17,2025 katika vijiji vya Kata ya Isseke wilayani Manyoni. Mgombea huyo ameitaja barabara ya Mangoli -Igwamadete, Iseke -Ipanduka hadi Ntumbi, Simbanguru-Mafurungu…

Read More

TARANGIRE SCHOOL YAANDIKA HISTORIA, YAFANYA MAHAFALI YA DARASA LA SABA HIFADHINI

Na Pamela Mollel,Manyara  Shule ya Tarangire Pre & Primary English Medium School (Tarangire School) imeibua ubunifu wa aina yake baada ya kufanya mahafali ya darasa la saba kwa mwaka 2025 ndani ya Hifadhi ya Taifa ya Tarangire, tukio ambalo halijawahi kushuhudiwa mkoani Manyara. Mahafali hayo yaliyofanyika Jumamosi, Septemba 13, 2025, yaliwaaga wanafunzi 40 walioketi mtihani…

Read More