CMSA YAWASHAURI WADAU KUTUMIA FURSA MAFUNZO MAALUM YA KITAALUMA
MAMLAKA ya Masoko ya Mitaji na Dhamana (CMSA,) imewashauri watendaji wa soko hilo zikiwemo kampuni na taasisi zinazopewa leseni na CMSA pamoja na wadau wa sekta ya masoko ya mitaji ambao wangependa kufanya kazi na CMSA kutumia fursa ya mafunzo maalumu ya kitaaluma yatakayotolewa na mamlaka hiyo. Lengo la mafunzo hayo ni kupata weledi wenye…