
Mfahamu bosi mpya wa Tanesco, kibarua kinachomsubiri
Dar es Salaam. Huenda watu wengi wanahoji iwapo Lazaro Twange anaweza kumudu nafasi aliyopewa ya mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Hiyo ni kutokana na wengi kumfahamu baada ya kuhudumu kama mkuu wa wilaya mbalimbali ikiwemo Babati, Mkoa wa Manyara alipoanzia kabla ya kuhamishiwa Hai, Mkoa wa Kilimanjaro na baadaye Ubungo, Dar es…