Mfahamu bosi mpya wa Tanesco, kibarua kinachomsubiri

Dar es Salaam. Huenda watu wengi wanahoji iwapo Lazaro Twange anaweza kumudu nafasi aliyopewa ya mkurugenzi mtendaji wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco). Hiyo ni kutokana na wengi kumfahamu baada ya kuhudumu kama mkuu wa wilaya mbalimbali ikiwemo Babati, Mkoa wa Manyara alipoanzia kabla ya kuhamishiwa Hai, Mkoa wa Kilimanjaro na baadaye Ubungo, Dar es…

Read More

MAENDELEO BANK PLC YAZINDUA TAWI JIPYA MBAGALA ZAKHIEM

Mkuu wa Mkoa wa Dar es salaam Mhe Albert Chalamila leo Mei 22,2024 amefungua rasmi tawi jipya la Benki ya Maendeleo Mbagala Zakhiem Wilaya ya Temeke Jijini humo. Akiongea wakati wa hafla ya ufunguzi wa Benki hiyo ameipongeza menegimenti ya Maendeleo Benki kwa uwekezaji mkubwa na namna walivyojipanga kutoa huduma bora za kibenk katika Mkoa…

Read More

SAKATA KUZUIA MAZAO: Wadau waunga mkono, watoa tahadhari

Dar es Salaam.  Wakati Serikali kupitia Waziri wa Kilimo, Hussein Bashe ikitangaza itazuia mazao na bidhaa zote za kilimo kutoka Malawi na Afrika Kusini, wadau wameunga mkono hatua hiyo lakini wakitoa tahadhari kuwa ina athari za kiuchumi. Waziri Bashe kupitia kurasa zake za mitandao ya kijamii leo Arpili 17, 2025 amesema ifikapo Jumatano Aprili 23,…

Read More

MKUTANO WA MADINI NA UWEKEZAJI WA TANZANIA WALENGA KUPUNGUZA CHANGAMOTO NA KUKUZA MAENDELEO ENDELEVU – MWANAHARAKATI MZALENDO

Mkutano wa Madini na Uwekezaji wa Tanzania umeanza leo, ukiwa na lengo la kuonyesha uwezo mkubwa wa sekta ya madini nchini na kuimarisha matumizi ya madini kwa uwajibikaji na kwa kujumuisha jamii. Mkutano huu, unaandaliwa kwa ushirikiano wa Wizara ya Madini, unatoa jukwaa kwa wadau wa sekta ya madini, wawekezaji, na wataalamu wa maendeleo kujadiliana,…

Read More

Majeraha yamtibulia Kachwele Marekani | Mwanaspoti

STRAIKA wa Whitecaps FC anayecheza kwa mkopo Vancouver Whitecaps inayoshiriki Ligi Kuu Marekani (MLS), Cyprian Kachwele amesema msimu huu ameuanza vibaya baada ya kupata majeraha ya nyama za paja. Kinda huyo wa timu ya taifa ‘Taifa Stars’ aliyewahi kupita timu ya vijana ya Azam FC huu ni msimu wake wa pili Marekani na uliopita akiwa…

Read More

Shiza Kichuya awataja Chasambi, Balua

WINGA wa JKT Tanzania, Shiza Kichuya amesema zama alizokuwa nazo za ubora kwa sasa zimeisha na anawaona Ladack Chasambi na Edwin Balua wanaokipiga Simba kuwa ndio wachezaji wazuri wanaoweza kurithi ufalme wake, iwapo tu kama watapata nafasi ya kucheza mara kwa mara kwani wanajua. Kichuya aliyewahi kutamba na Mtibwa Sugar, Simba na Namungo mbali na…

Read More