Samia: Tunataka amani na utulivu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema sifa njema kuhusu utulivu na amani iliyopo Tanzania iendelezwe katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba mwaka huu. Amesema hayo leo, Julai 5, 2025, alipozindua hema (jengo la ibada) la Kanisa la Arise and Shine Tanzania linaloongozwa na Mtume Boniface Mwamposa, Kawe jijini Dar es Salaam, akigusia sifa hiyo…

Read More

Pato, uchumi wa Zanzibar wapaa

Dar es Salaam. Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amesema Uchumi wa Zanzibar umekua kutoka asilimia 5.1 kutoka mwaka 2021 hadi asilimia 7.5 mwaka 2024. Mbali ya uchumi pia pato la taifa (GDP) limeifikia Sh6.28 trilioni mwaka 2024 kutoka Sh4.2 trilioni mwaka 2020. Ameyasema hayo wakati akiwasilisha utekelezaji wa ilani ya…

Read More

Rufaa yamwepusha kitanzi mauaji ya mke, watoto wawili

Arusha. Mahakama ya Rufani imemuachia huru, Yustine Robert aliyehukumiwa kunyongwa hadi kufa baada ya kutiwa hatiani kwa kumuua mkewe na watoto wake wawili. Robert alihukumiwa adhabu hiyo na Mahakama Kuu Kanda ya Sumbawanga, Julai 13, 2020 kutokana na kesi ya mauaji iliyokuwa ikimkabili akidaiwa kumuua mkewe, Jackline Yustine na watoto wao Frank (6) na Elizabeth…

Read More