Meridianbet yaadhimisha Siku ya Kupinga Ukatili kwa Wanawake leo
Leo hii tarehe 25 Novemba Meridianbet inaadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake Kupitia Kampeni yao ya “PINGA UKATILI, SIMAMA NA MWANAMKE” Wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet, imeungana na dunia nzima kuadhimisha Siku ya Kimataifa ya Kupinga Ukatili Dhidi ya Wanawake, inayofanyika kila mwaka tarehe 25 Novemba ambapo katika kuadhimisha siku…