Serikali ya kijiji yawakatia bima wananchi wake Mbeya

Mbeya. Zaidi ya wananchi 1,500 katika Kijiji cha Mashese kilichopo katika Halmashauri ya Wilaya ya Mbeya wameondokana na gharama za matibabu baada ya serikali ya kijiji hicho kuwapatia bima. Bima hizo zinatokana na mapato ya ndani ambapo mbali na wananchi wa kawaida, pia, wanafunzi watanufaika na katika mpango huo unaolenga kuhakikisha jamii hiyo inakuwa salama…

Read More

Puma Energy Tanzania yakabidhi zawadi shindano la uchoraji kampeni ya Usalama Barabarani Mashuleni

Hii inadhihirisha dhamira ya Puma Energy Tanzania ya kujenga mustakabali salama kupitia sera yetu ya Afya, Usalama, na Mazingira salama (HSSE). Tunapokaribia maadhimisho ya Wiki ya Nenda kwa Usalama Barabarani duniani, kampeni hii inaonyesha azma yetu ya kulinda maisha katika jamii tunazozihudumia,” alisema Mhandisi Hiliyai. Katika vifo 31 kwa kila watu 100,000, WHO inaripoti kwamba…

Read More

Kuongezeka kwa kiwango kikubwa katika kuajiri kikundi cha watoto wenye silaha, anaonya UNICEF – maswala ya ulimwengu

UNICEFMwakilishi wa Haiti, Geetanjali Narayan, aliwaambia waandishi wa habari kwamba mwezi uliopita, vikundi vyenye silaha viliharibu shule 47 katika mji mkuu wa Haiti-au-Prince, na kuongeza katika shule 284 zilizoharibiwa mnamo 2024. “The Mashambulio yasiyokamilika kwa elimu yanaongeza kasiakiacha mamia ya maelfu ya watoto bila mahali pa kujifunza, “alisema. Akiongea huko Geneva, Bi Narayan alielezea ripoti…

Read More

Mtukufu Aga Khan IV afariki dunia

Mwanza. Kiongozi Mkuu wa 49 wa Madhehebu ya Shia Ismailia na mwanzilishi wa Mtandao wa Maendeleo wa Aga Khan (AKDN), Mtukufu Aga Khan, amefariki dunia akiwa na umri wa miaka 88. Mtukufu Aga Khan anayefahamika kama Karim Al-Hussaini Aga Khan IV, alifariki dunia jana Jumanne Februari 4, 2025, jijiji Lisbon, Ureno akiwa amezungukwa na familia…

Read More

Hivi ndivyo neno ‘dollar’ lilivyozaa daladala

Miji bila daladala hainogi, walijua hilo? Na kwa nini kusiwe na daladala wakati ni ngumu kwa kila mwanamjini kumiliki kipando chake? Kwa lugha ya vijana isiyo rasmi, usafiri wa daladala ndio mpango mzima, maana haubagui mtu, ni wewe, miguu na pesa yako, hata kama usafiri wenyewe baadhi ya nyakati unakengeuka misingi ya utu. Tuyaache hayo,…

Read More

Chanda hakinenepi siku ya kuvishwa pete

Wanasema mbuzi hanenepi siku ya mnada. Kama hukumlisha vizuri pale mwanzoni, usitegemee awe na afya njema iwapo utamlazimisha kula ili anenepe wakati wa kwenda sokoni.  Utaingia hasara kwani atakula misosi ambayo huwezi kumudu gharama zake hata ukijitoa outing, lakini kamwe hutoweza kuongeza thamani yake kiafya. Na utakapompeleka sokoni atakuwa ni yuleyule ambaye hukumpa chakula bora….

Read More

Vigezo vilivyombeba Nchemba kuwa Waziri Mkuu

Dar es Salaam. Rais Samia Suluhu Hassan amesema uteuzi wa Dk Mwigulu Nchemba kuwa Waziri Mkuu wa Tanzania umepitia ushindani mkubwa na vigezo kadhaa, akiwashinda wenzake kwa sifa. Amesema Dk Mwigulu amefanya kazi katika sekta ya fedha kwa muda mrefu na anazijua chochoro za upatikanaji wa rasilimali hiyo, akitarajia atamsimamia Waziri wa Fedha atakayeteuliwa kufanya…

Read More