Irene Uwoya: Mwanzo, mwisho kumrudia Mungu

MARA kadhaa Mwanaspoti limekuwa likimtafuta mwigizaji mkongwe wa Bongo Movie, Irene Uwoya ili afunguke kuhusu maisha yake mapya baada ya kuokoka, aliyopitia na sababu kubwa iliyomfanya amrudie Mungu. Kama yalivyo maisha mengine ya wanadamu, haikosi misukosuko, hofu, ndoto za kutisha na hatimaye kupata maono na kuamua kuokoka. Irene anafunguka mengi na aliwahi kusema ipo siku…

Read More

NAIBU WAZIRI SANGU ASHANGAZWA NA IDADI NDOGO YA WAOMBAJI AJIRA KATIKA MIKOA YA KIGOMA, LINDI, MTWARA NA KATAVI

Naibu Waziri, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, Mhe. Deus Sangu akizungumza na     Watumishi wa Umma wa Halmashauri ya Manispaa ya Mpanda, Mkoani Katavi, ikiwa ni muendelezo wa  kliniki ya kimkakati ya kusikiliza na kutafuta ufumbuzi wa changamoto mbalimbali zinazowakabili  Watumishi hao. Kaimu Mkuu wa Mkoa wa Katavi,  Mhe. Jamila…

Read More

Dube apewa sharti Yanga SC

WAKATI Prince Dube namba zake zikionekana kuwa nzuri katika kucheka na nyavu ndani ya Yanga, kocha mkuu wa timu hiyo, Miguel Gamondi amempa sharti ambalo anaamini kama mshambuliaji huyo akilifuata, basi atakuwa hatari zaidi mbele ya lango la wapinzani. Dube ambaye amejiunga na Yanga dirisha kubwa la usajili msimu huu baada ya kuvunja mkataba ndani…

Read More

Maagizo ya Mkuu wa Wilaya Serengeti yatekelezwa

Na Malima Lubasha, Serengeti MAAGIZO aliyotolewa na Mkuu wa Wilaya ya Serengeti,Kemirembe Lwota kwa uongozi wa Kijiji cha Nyami huru kilicho Kata ya Busawe ya kukutana na wananchi waliovamia eneo la kijiji la kujenga shule ya Sekondari na kuona jinsi ya kumaliza changamoto hiyo yametekelezwa kupitia vikao vya Kata,Tarafa na Kijiji. Utekelezaji wa maagizo hayo…

Read More

THDRC yasisitiza maboresho ya usimamizi wa majengo na majanga

Na Esther Mnyika, Mtanzania Digital Mtandao wa Watetezi wa Haki za Binadamu (THDRC) umehimiza serikali kuweka mifumo madhubuti ya usimamizi na ufuatiliaji wa uhai wa majengo, hasa ya umma na biashara, ili kuepusha athari kama zilizotokea kwenye tukio la kuanguka kwa jengo Kariakoo. Akizungumza Novemba 18, 2024, jijini Dar es Salaam, Mratibu wa THDRC, Wakili…

Read More