ELIMU YA KUPINGA VITENDO VYA UKATILI WA KIJINSIA YA WADAU WANAOSHIRIKIANA NA BARRICK,TAIFA GAS NA POLISI YAWAFIKIA WALIMU NA MAMA LISHE MSALALA

Mkufunzi wa nishati kutoka kampuni ya Taifa Gas ambayo ni mdau katika kampeni hii, Praygod Ole Naiko akitoa mafunzo ya matumizi ya nishati salama ya kupikia. Mkufunzi wa nishati kutoka kampuni ya Taifa Gas ambayo ni mdau katika kampeni hii, Praygod Ole Naiko akitoa mafunzo ya matumizi ya nishati salama ya kupikia. Washiriki wa mafunzo…

Read More

BILONI 22 KUWEKA LAMI BARABARA 20 ZA MJI WA SONGEA

Na Albano Midelo,Songea HALMASHAURI ya Manispaa ya Songea mkoani Ruvuma ni miongoni mwa Halmashauri 12 nchini ambazo zimepata mradi wa uboreshaji wa miundombinu ya barabara za lami nzito ili kuboresha miundombinu ya miji,manispaa ya majiji. Akitoa taarifa ya mradi huo kwa Mkuu wa Mkoa wa Ruvuma Kanali Ahmed Abbas,Mkurugenzi wa Manispaa ya Songea Wakili Bashir…

Read More

Changamoto tatu zabainika mwendokasi Mbagala

Dar es Salaam. Wakati huduma za mabasi ya mwendokasi kati ya Mbagala na katikati ya Jiji zimeanza kwa awamu ya majaribio, imebainika kuna changamoto kadhaa ikiwamo matumizi ya kadi, kiwango cha nauli na barabara kutumika na vyombo vingine vya moto. Hatua hiyo ya majaribio pia inalenga kutathmini ufanisi wa mfumo wa tiketi, mwitikio wa abiria,…

Read More

Ushuru kwenye ‘tomato sauce’ wapingwa

Dar es Salaam. Hatua ya Serikali kupendekeza kutoza ushuru wa bidhaa kwa kiwango cha Sh300 kwa kilo ya tomato sauce na tomato ketchup, chilli sauce na chilli ketchup zinazotoka nje ya nchi, imeelezwa na wadau wa uchumi kuwa inatokana na kukosekana ubunifu wa vyanzo vya mapato. Akiwasilisha bajeti ya Serikali kwa mwaka 2024/25 bungeni Juni…

Read More