Polisi mwendo mdundo | Mwanaspoti

NYOTA wa timu ya kikapu  ya Polisi, Lawi Mwambasi amesema ushindi walioupata dhidi ya Yellow Jacket wa pointi 81-70 katika Ligi Daraja la Kwanza Mkoa wa Dar es Salaam, ulitokana na kujituma muda wote wa mchezo.  Mchezo huo uliokuwa mzuri na wa kusisimua ulifanyika kwenye Uwanja wa Bandari, Kurasini na Mwambasi aliiambia Mwanaspoti, licha ya…

Read More

Hatua kwa hatua mauaji ya Milembe wa GGML

Geita. Shahidi wa 13 wa upande wa Jamhuri katika kesi ya mauaji ya aliyekuwa mfanyakazi wa GGML, Milembe Suleman (43) aliyeuawa Aprili 26, 2023 kwa kukatwa na kitu chenye ncha kali sehemu mbalimbali za mwili, ikiwemo kichwani, usoni na mikononi, ameeleza namna mauaji hayo yalivyofanyika. Shahidi huyo ambae ni askari wa kitengo cha upelelezi G4742…

Read More

Siku ya Kuondoka na Mshindo ni Leo

IJUMAA ya leo imekuja kibabe sana na wakali wa ubashiri Tanzania Meridianbet ambapo nafasi ya wewe kukusanya mpunga wa maana ipo. Mechi kibao zipo uwanjani hivyo tengeneza jamvi lako la ushindi hapa. Bashiri mechi ya Ujerumani, BUNDESLIGA leo ambapo kutakuwa na mchezo mmoja Wolfsburg atamleta kwake RB Leipzig ambapo tofauti yao ni pointi 12. Mara…

Read More

Kipa Simba aibukia Mashujaa | Mwanaspoti

BAADA ya Simba Queens kumpa mkono wa kwaheri kipa Gelwa Yona, inaelezwa Mashujaa Queens ipo kwenye hatua nzuri ya kumalizana naye. Gelwa alijiunga na Simba msimu wa 2021/22 akitokea Ruvuma Queens na misimu miwili ya mwanzoni alionyesha kiwango bora. Hata hivyo, baada ya kuongezwa kwa kipa Carolyne Rufaa, Gelwa aliishia kukaa benchi. Chanzo cha kuaminika…

Read More

TRA Iringa yawashukuru walipa kodi wake

Mamlaka ya Mapato Tanzania Tra Mkoa wa Iringa Imeendelea kudumisha mahusiano Mazuri na kuwashukuru wafanyabiashara wake Mkoani hapa kwa kuendelea kutimiza wajibu wake wa kulipa Kodi kwa wakati Hii ni mara baada ya Meneja wa Mamlaka ya mapato Tanzania Tra Mkoa wa Iringa Bw. Peter Jackson akiwa pia ameambatana na meneja msaidizi Bw. Gwamaka Pholld…

Read More

Waliovamia ‘gesti’, kupora wapangaji kwa bunduki wakwama

Musoma. Siku ya kufa nyani miti yote huteleza, ni usemi unaoleza namna washtakiwa wa ujambazi wanaodaiwa kuvamia nyumba ya kulala na kuwapora wateja kwa mtutu wa bunduki, walivyokwaa kisiki kupangua kifungo cha miaka 30 jela. Tukio lililowatia matatani lilitokea usiku wa manani Desemba 2, 2016 katika Kijiji cha Magunga wilayani Butiama, Mkoa wa Mara. Siku…

Read More

Bado Watatu – 27 | Mwanaspoti

Raisa alinieleza: moyo wangu ulikuwa unakwenda kasi kama saa! Nilikuwa nimemtolea macho nikimsikiliza. Sikuwa hata na la kupinga, kwani ukweli ukidhihiri uongo hujitenga.Raisa alipoona nipo kimya aliendelea kuniambia:“Sasa, mwenzangu, nawasha kitochi ili niione: kuna mtu alikorupuka na kuingia kwenye gari, akarudi nyuma na kuondoka. Haya niambie — ulikwenda kutupa nini usiku ule? Hata huogopi!”Kumbe —…

Read More