Dkt. Mwinyi: CCM ni Mhimili wa Amani na Maendeleo

MGOMBEA wa kiti cha Rais wa Zanzibar kupitia Chama Cha Mapinduz (CCM), Mhe. Dkt. Hussein Ali Mwinyi, amewataka Wazanzibari kuendelea kukiunga mkono chama hicho akisisitiza kuwa ndicho mhimili wa amani ya Tanzania ikiwemo Zanzibar. Katika mkutano wa kampeni uliofanyika leo tarehe 17 Septemba 2025 katika Uwanja wa Kajengwa, Makunduchi, mgeni rasmi alikuwa Rais wa Jamhuri…

Read More

Simulizi ya shuhuda aliyestiri miili ya watu watano wa familia moja waliofariki ajalini, familia yampongeza

Tanga. “Katika mazingira ya ajali nilikuta tayari watu watatu wameshafariki dunia palepale ambao ni baba, Joshua na binti mmoja na wengine wakiwa ni majeruhi ambaye ni mama, na watoto wengine ambapo wakati tukitafuta njia ya kuwasaidia yule kijana na yeye akafariki dunia na baadaye tukiwa hospitali miili mingine ikaletwa yote nilipambana kuhakikisha kila kitu kinakwenda…

Read More

Bado Watatu – 32 | Mwanaspoti

NIKAMJIBU: “Sikutaka nikupe mshituko. Nilikuwa nakungoja urudi.”“Mimi nimepata habari hii leo wakati narudi.”“Ni nani aliyekupa habari hiyo?”“Ni mke wake. Alinipigia simu akanijulisha hivyo. Nikashituka sana kwa sababu juzi juzi tu nilikuwa naye. Kwa hiyo nilipofika stendi nikaona niende huko kwanza nikampe pole.”“Hata mimi nilishituka, yaani mpaka hivi sasa picha yake inanijia akilini mwangu!”“Kushituka ni lazima….

Read More

Ibenge kuifikisha Azam nchi ya ahadi?

TANGU msimu wa 2013-14 ambao Azam FC ilibeba ubingwa wa Ligi Kuu Bara ikiwa ni mara ya kwanza kwao, wamepita makocha mbalimbali kuifukuzia rekodi hiyo, wameshindwa. Mzigo huo sasa umeangukia kwa Florent Ibenge, kocha mwenye rekodi kubwa katika soka la Afrika kutokana na kushinda mataji yanayosimamiwa na Shirikisho la Mpira wa Miguu Afrika (CAF). Ibenge…

Read More

Kinapigwa leo Dabi ya Wanajeshi Lgi Kuu Bara

LIGI Kuu Bara inaendelea leo kwa michezo mitatu kupigwa, huku mechi ya mapema ikiwa ni saa 8:00 mchana kati ya Fountain Gate itakayoikaribisha Mbeya City kwenye Uwanja wa Tanzanite Kwaraa uliopo Babati mkoani Manyara, lakini pia kuna Dabi ya Wanajeshi, Mashujaa dhidi ya JKT Tanzania. Fountain Gate inaingia katika mchezo huo ikiwa ni timu ambayo…

Read More

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Manyara Yakabidhiwa Gari

Ofisi ya Wakili Mkuu wa Serikali Mkoa wa Manyara imefanikiwa kupata gari mpya ambayo itasaidia kuongeza ufanisi katika utekelezaji wa majukumu yake ya kila sikukwa wakati. Akizungumza mara baada ya kukabidhi gari hiyo aina ya Toyota Hilux Jijini Dodoma, Naibu Wakili Mkuu wa Serikali Bi. Alice Mtulo amesema kuwa uwepo wa gari hiyoutasaidia utekelezaji wa…

Read More

Jamhuri kujibu pingamizi lingine la Lissu leo

Dar es Salaam. Kesi ya uhaini inayomkabili Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasi na Maendeleo (Chadema)Tundu Lissu, itaendelea leo katika Mahakama Kuu, Masjala Ndogo Dar es Salaam. Kesi hiyo inayosikilizwa na jopo la majaji watatu, Dunstan Ndunguru (kiongozi wa jopo) James Karayemaha na Ferdnand Kiwonde, itaendelea leo Septemba 18, 2025 kwa upande wa Jamhuri kujibu hoja…

Read More