Tanzania yasisitiza miundombinu udhibiti usalama wa chakula

Dar es Salaam. Tanzania inahama kutoka kwenye suluhisho za muda mfupi za usalama wa chakula ili kujenga mifumo endelevu ya muda mrefu, ikisisitiza miundombinu, kanuni na teknolojia za kidijitali kama msingi wa uthabiti wake kitaifa, kikanda na kimataifa. Hayo yamebainishwa leo Jumanne Januari 27, 2026 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na…

Read More

Kwanini wafupi ni mastaa wakicheza namba moja?

KWA kawaida mchezo wa kikapu umezoeleka ili kuucheza ni lazima uwe na mwili mkubwa, hususan urefu. Lakini, hiyo haizuii mchezaji mfupi kuucheza vyema ilimradi awe na uwezo na ubora unaotakiwa kufanikisha matokeo na ufanisi wa timu. Mchezaji mfupi wa kikapu anayecheza nafasi ya namba moja maarufu zaidi kama point guard hupata wakati mgumu kucheza nafasi…

Read More

Lipumba ataka umoja wa kitaifa, akemea ubaguzi

Dar es Salaam. Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba, amewataka Watanzania kudumisha umoja wa kitaifa na kuepuka ubaguzi wa Uzanzibar na Utanganyika, akisisitiza kuwa mshikamano ni msingi wa kupata suluhu ya changamoto za kisiasa na kijamii zinazoikabili nchi. Amesema matatizo ya ndani, ikiwemo changamoto za demokrasia ya kweli na haki, yanapaswa kutatuliwa…

Read More

WATANZANIA WAPANDE MITI KILA MWAKA

………… Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais (Muungano na Mazingira) Mhe. Dkt. Festo Dugange ametoa rai kwa kila Mtanzania kupanda mti angalau mmoja kila mwaka anapoadhimisha kumbukizi ya siku ya kuzaliwa ili kuleta chachu katika hifadhi endelevu ya mazingira. Ametoa rai hiyo wakati akiongoza zoezi la upandaji wa miti kuadhimisha Kumbukizi ya Siku ya…

Read More

Tanesco yabaini chanzo umeme wa Luku kuisha haraka

Dar es Salaam. Kufuatia malalamiko ya wateja wa umeme wa Luku kuisha haraka katika matumizi, Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limefanya ukaguzi wa kitaalamu na kubaini, tatizo hilo linasababishwa na mifumo mibovu ya umeme. Baada ya kupokea malalamiko hayo, Tanesco, iliwalazimu kufanya ukaguzi wa kitaalamu katika baadhi ya nyumba ili kubaini chanzo cha tatizo hilo….

Read More

Kumekucha Netiboli Mbeya, kupata vigogo wapya

CHAMA cha Netiboli Mkoa wa Mbeya (Chanembe) kinatarajia kufanya uchaguzi wa kuwapata viongozi wake watakaokitumikia kwa miaka minne ijayo, huku wadau wa mchezo huo wakiombwa kujitokeza kuchukua fomu. Uchaguzi huo unatarajia kufanyika leo Jumatano Januari 28, 2026 katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, huku nafasi sita zikitangazwa kuwaniwa. Akizungumza na Mwanaspoti,…

Read More

SERIKALI YAENDELEA KUFUNGUA FURSA ZA AJIRA KWA VIJANA

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira na Mahusiano, Mhe. Deus Sangu akiwa ameshiriki katika Mkutano wa Mawaziri wa Kazi Duniani (Global Labour Market Conference) unaofanyika Jijini Riyadh, Saudi Arabia tarehe 26 Januari, 2026. ***************** Na: OWM (KAM) – Riyadh, Saudi Arabia Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu – Kazi, Ajira…

Read More

RAIS SAMIA AMEIWEZESHA FORODHA KUIMARISHA ULINZI MIPAKANI

  Kamishna Mkuu wa TRA Bw.  Yusuph Juma :::::::::  Kamishna Mkuu wa TRA Bw.  Yusuph Juma Mwenda amesema Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiwezesha TRA kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa kuimarisha ulinzi mipakani kwa kuweka mifumo na vifaa vya kisasa vya kufanyia kazi. Akizungumza katika maadimisho…

Read More