Tanzania yasisitiza miundombinu udhibiti usalama wa chakula
Dar es Salaam. Tanzania inahama kutoka kwenye suluhisho za muda mfupi za usalama wa chakula ili kujenga mifumo endelevu ya muda mrefu, ikisisitiza miundombinu, kanuni na teknolojia za kidijitali kama msingi wa uthabiti wake kitaifa, kikanda na kimataifa. Hayo yamebainishwa leo Jumanne Januari 27, 2026 na Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Udhibiti wa Nafaka na…