TCB YAZINDUA KAMPENI YA KUCHOCHEA UCHUMI NA KUWEZESHA NDOTO ZA WATANZANIA
******* Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua kampeni maalum yenye lengo la kuimarisha ujumuishwaji wa kifedha na kuchochea ukuaji wa uchumi kwa kuwawezesha Watanzania kupata suluhisho sahihi za kifedha. Hatua hiyo inalenga kuongeza upatikanaji wa huduma za kifedha kwa makundi mbalimbali, hususan wajasiriamali na biashara ndogo na za kati, ili kuchangia ukuaji wa kipato na…