Mahakama Kuu Yafungua Kikao cha Mwaka, Jaji Kiongozi Asisitiza Uwajibikaji

Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dkt. Mustepher Mohamed Siyani. Jaji Kiongozi wa Mahakama Kuu ya Tanzania, Dkt. Mustepher Mohamed Siyani, amewasisitiza Majaji, Mahakimu na Wakurugenzi wa Mahakama ya Tanzania kuhakikisha wanatekeleza mikakati inayowekwa na vikao mbalimbali pamoja na kuwasilisha utekelezaji wake kwa wakati. Dkt. Siyani ametoa rai hiyo leo tarehe 25 Februari, 2026…

Read More

Jamii yatakiwa kupaza sauti kukomesha ukatili wa kijinsia

Dodoma. Jamii imetakiwa kuvunja ukimya na kupaza sauti dhidi ya vitendo vya ukatili wa kijinsia vinavyowakumba wanawake, watoto na watu wenye ulemavu, ili kusaidia kukomesha vitendo hivyo na kuhakikisha wahusika wanachukuliwa hatua za kisheria. Hayo yamesemwa leo Alhamisi, Machi 12, 2026, jijini Dodoma na Mkuu wa Dawati la Jinsia, Wanawake na Watoto Mkoa wa Dodoma,…

Read More

BALOZI LUVANDA AITAKA NCMC KUYAFIKIA MASOKO YA KIMATAIFA

Naibu Katibu Mkuu (Mazingira) Ofisi ya Makamu wa Rais, Mhe. Balozi Baraka Luvanda amekitaka Kituo cha Taifa cha Kufuatilia Kaboni (NCMC) kuimarisha na kupanua wigo wa ushiriki wa Tanzania katika masoko ya kimataifa ya kaboni. Amesema ushiriki huo upewe msukumo kupitia uhifadhi ya mazingira na miradi ya kaboni katika sekta zote za Uchumi wa buluu,…

Read More

Shime bado hajaridhishwa | Mwanaspoti

KOCHA wa kikosi cha timu ya taifa ya wasichana U20, Tanzanite Queens, Bakari Shime amesema ingawa timu hiyo imeshinda dhidi ya Angola na kwenda raundi ya tatu ya kuwania fainali za Kombe la Dunia 2026, hajaridhika kwa vile kuna makosa yalifanyika kuanzia eneo la ulinzi na ushambuliaji. Tanzanite Queens jana ikiwa ugenini ikirudiana na Angola…

Read More

Hizi zitapigwa sana na jua Ligi Kuu 2025/26

RATIBA ya Ligi Kuu Bara 025-2026 imetoka ambapo pazia litafunguliwa kesho, Septemba 17, 2025 kwa KMC kuikaribisha Dodoma Jiji saa 10:00 jioni huku Coastal Union ikipambana na Tanzania Prisons saa 1:00 usiku. Mwanaspoti linakuletea timu zitakazokuwa na mechi nyingi saa 8:00 mchana zikiwemo Mashujaa, Tanzabia Prisons, KMC, Mbeya City, Pamba Jiji, Tabora United, Namungo na…

Read More

Samia kunadi sera Makunduchi  | Mwananchi

Unguja. Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan kesho atafanya mkutano wa kwanza wa kampeni kisiwani Unguja, Zanzibar. Samia ambaye ameteuliwa kupeperusha bendera ya CCM kwenye nafasi hiyo akiwa mwanamke wa kwanza, ataomba kura kwenye ardhi ya Zanzibar ambako ndipo lilipo chimbuko lake. Taarifa…

Read More

Oussama katika vita ya ufungaji CHAN 2024

MSHAMBULIAJI wa timu ya taifa ya Morocco, Oussama Lamlioui, amekuwa silaha ya maangamizi kwa Morocco kwenye michuano ya mataifa ya Afrika kwa wachezaji wa ndani (CHAN 2024), huku akiwa katika nafasi nzuri ya kutwaa tuzo ya mfungaji bora. Kabla ya mechi za nusu fainali ambazo zilipigwa leo Jumanne, Lamlioui alikuwa akiongoza orodha ya wafungaji akiwa…

Read More