SBL Yazindua Rasmi Serengeti Premium Apple, Kinywaji Ambacho Kimetengenezwa Tanzania

Serengeti Breweries Limited (SBL) imezindua rasmi Serengeti Premium Apple, ikiweka historia kama kinywaji cha kwanza chenye hadhi ya juu ‘Ready-to-Drink (RTD)’ kutengenezwa hapa nchini Tanzania. Uzinduzi huu unalenga kubadili mtazamo wa soko ambalo kwa muda mrefu limetawaliwa na bidhaa za kuagiza kutoka nje ya nchi, kwa kuanzisha bidhaa ya kisasa, ya kiwango cha kimataifa, iliyobuniwa…

Read More

Nafasi ya huduma rasmi za kifedha katika Dira 2050

Dar es Salaam. Wananchi wametakiwa kutumia mifumo rasmi ya kifedha ikiwemo huduma za benki ili kuiwezesha Tanzania kutimiza malengo ya kuwa taifa lenye uchumi jumuishi na shindani ifikapo 2050. Hayo yalielezwa jana Septemba 04, 2025 wakati wa kongamano lililoandaliwa na Umoja wa Mabenki Tanzania (TBA) likilenga kuangazia fursa na changamoto za sekta hiyo katika utoaji…

Read More

OMO aahidi kuwashirikisha wananchi kuinua uchumi Zanzibar

Pemba. Mgombea urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, maarufu OMO, amesema Serikali atakayoiunda itahakikisha kila mwananchi wa Pemba anashiriki katika shughuli za kiuchumi ili kukuza maendeleo ya kisiwa hicho. Amesema wakazi wa Pemba hawatakiwi kufundishwa biashara, kwa sababu wana kipaji na uwezo, hivyo, Serikali ya ACT-Wazalendo itakayoundwa baada ya…

Read More

Sera ya vijana EAC yatia matumaini, sauti yao bado changamoto

Dar es Salaam. Wakati nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zikiendelea kuboresha sera ya vijana ya 2025–2030, wadau wamesema inaleta matumaini kwa maendeleo ya vijana, lakini bado kuna changamoto ya ushirikishwaji na utekelezaji. Hayo yameelezwa leo Machi 18, 2026 katika mkutano wa kikanda wa afya ulioandaliwa na Baraza la Wabunge Vijana wa Afrika…

Read More

Othman aahidi kukomesha mikopo kausha damu kwa walimu Zanzibar

Unguja. Mgombea urais wa Zanzibar kupitia ACT-Wazalendo, Othman Masoud Othman, amesema kuwa endapo atachaguliwa kuongoza dola ataanzisha mfuko maalumu wa maisha ya mwalimu, ili kuwaondolea  utegemezi wa mikopo yenye masharti magumu na isiyokuwa na tija kwa maisha yao. Othman ambaye ni Mwenyekiti wa ACT-Wazalendo, amesema hayo leo Jumanne Septemba 23,2025 katika mkutano wake wa hadhara…

Read More

DKT.JAFO HAKUNA KULALA: AENDELEZA KAMPENI YA “KILA MTU ATIBIWE KWAO” KISARAWE

Mbunge wa Jimbo la Kisarawe,Mhe.Dkt. Selemani Jafo, ameendelea kuonesha dhamira yake ya dhati katika kuboresha huduma za afya kupitia kampeni yake ya “Kila Mtu Atibiwe Kwao”, inayolenga kuhakikisha kila kijiji kinakuwa na zahanati ili kusogeza huduma karibu na wananchi. Akiwa katika ziara ya kuwashukuru wananchi wa Kitongoji cha Kola, Jafo amechangia tofali 1,500 kwa ajili…

Read More

Mafuriko ya mvua yaziacha kaya 14 bila makazi Moshi

Moshi. Kaya 14 zenye jumla ya watu 39 katika Mtaa wa Viwanda, Kata ya Njoro, Manispaa ya Moshi mkoani Kilimanjaro zimekosa makazi baada ya nyumba zao kuzingirwa na mafuriko yaliyosababishwa na mvua kubwa iliyonyesha kwa zaidi ya saa sita usiku wa kuamkia Machi 2, 2026. Mbali na kupoteza makazi, familia hizo zinakabiliwa na uhaba wa…

Read More