
Bolt yazindua Tuzo nchini Tanzania.
● Bolt imeongeza ufanisi wa programu ya dereva ili kutambua utendaji kazi na kuwapa madereva zawadi. Dar es Salaam, 23rd Julai 2024 – Bolt, kampuni inayoongoza kwenye huduma ya taxi mtandao Africa, imezindua Tuzo za Bolt, Dhumuni la tuzo hizi ni kutambua huduma bora inayotolewa na madereva kwenye huduma ya taxi mtandao.Tuzo hizi zitatolewa kwa…