Bolt yazindua Tuzo nchini Tanzania.

● Bolt imeongeza ufanisi wa programu ya dereva ili kutambua utendaji kazi na kuwapa madereva zawadi. Dar es Salaam, 23rd Julai 2024 – Bolt, kampuni inayoongoza kwenye huduma ya taxi mtandao Africa, imezindua Tuzo za Bolt, Dhumuni la tuzo hizi ni kutambua huduma bora inayotolewa na madereva kwenye huduma ya taxi mtandao.Tuzo hizi zitatolewa kwa…

Read More

Samia amtwisha Jafo zigo la Kariakoo, ataka ripoti kila baada ya miezi 3

RAIS Samia Suluhu Hassan amemuagiza Waziri wa Viwanda na Biashara, Selemani Jafo kwenda ‘kushinda’ Kariakoo badala ya kukaa ofisini ili kushughulikia changamoto za wafanyabiashara wa eneo hilo pamoja na nchi nzima kisha kumpatia ripoti kila baada ya miezi mitatu. Anaripoti Mwandishi Wetu … (endelea). Pia amemuagiza akakae na kusikiliza wafanyabiashara hao wa Kariakoo kwa sababu…

Read More

Rahis, waziri wako wa fedheha anatuhujumu

Mtukufu Dk, Dk, Dk, Dk, Dk Rahis. Naambwa unazo PhD tano.Sina tabia ya kupongeza. Hivyo, kwa taadhima, nakuomba usishangae. Mie ni fyatu. Si msifiaji wala chawa. Ndo maana sianzi kwa mashairi, mapambio, ngojera na kamba. Huwa namsifu Sir God pekee na siyo masanamu wa kuchongwa na machawa ili wapate kujaza mitumbo. Si kazi yangu, maana…

Read More

GG&3+ Kukupatia Mshiko Mechi ya PSG vs Real Madrid

NI siku nyingine tena ya kumtambua nani ataungana na Chelsea kucheza fainali ya kombe la Dunia la vilabu. PSG atakipiga dhidi ya Real Madrid majira ya saa 4:00 usiku huku nafasi ya kushinda pale Meridianbet akipewa Paris kwa ODDS 2.35 kwa 2.90. Bashiri na GG&3+ upate maradufu. Promosheni hii ya kijanja imekujia wakati mzuri kabisa…

Read More

Maxime anaandaa Dodoma Jiji ya mastaa

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Mecky Maxime amesema anaendelea kukisuka kikosi chake kuwa bora na kutoa ushindani mkubwa msimu ujao, huku akitaka kuona kila mchezaji ndani ya kikosi hicho anakuwa staa. Katika maandalizi ya timu hiyo kuelekea msimu ujao, tayari imecheza mechi tatu za kirafiki ikianza na Pamba na kushinda bao 1-0, ikaichapa Singida Black…

Read More

Vita mpya ya Stumai, Jentrix Ligi ya Wanawake

VITA ya ufungaji bora wa Ligi Kuu ya Wanawake (TWPL) inazidi kupamba moto kati ya mastaa wawili, Stumai Abdallah ((JKT Queens) na Jentrix Shikangwa (Simba Queens) huku mbio zao zikikolezwa na takwimu bora kati yao. Wachezaji hao wameendelea kukabana koo kwenye ufungaji wa mabao kila mmoja akikitaka kiatu cha kufumania nyavu kwenye ligi hiyo msimu…

Read More

Kaya zaidi ya 700 Muheza zaunganishwa na majiko banifu

Muheza. Zaidi ya kaya 700 ikiwemo maeneo ya biashara katika Kijiji cha Mlesa kilichopo Wilaya ya Muheza mkoani Tanga zimeunganishwa na teknolojia ya matumizi ya majiko banifu. Majiko hayo yanayotumia kuni chache, yamewezesha wananchi wa kijiji hicho na vijiji vingine vya jirani wanaozunguka Hifadhi ya Mazingira Asili ya Amani, kulinda rasilimali za msitu kwa kupunguza…

Read More