Hesabu za Tabora United zipo kwa kipa Mghana

MABOSI wa Tabora United wameanza harakati za kukisuka upya kikosi hicho kwa ajili ya msimu ujao ili kuongeza ushindani katika michuano mbalimbali na wanampigia hesabu kipa, Fredrick Asare anayeichezea Asante Kotoko ya Ghana. Taarifa kutoka katika timu hiyo ya ‘Nyuki wa Tabora’, zinaeleza mabosi wa kikosi hicho wanampigia hesabu kipa huyo raia wa Ghana, kwa…

Read More

Gamondi, Mzize wana siri nne

WAKATI mashabiki wa Wydad Casdablanca ya Morocco wakivamia ukurasa wa straika chipukizi wa Yanga, Clement Mzize anayehusishwa na timu hiyo sambamba na ile ya Kazier Chiefs ya Afrika Kusini, kocha mkuu wa klabu hiyo, Miguel Gamondi amebainisha mambo manne aliyonayo kwa mchezaji huyo. Mashabiki wa Wydad walivamia ukurasa wa Instagram wa Mzize wakimkaribisha katika timu…

Read More

Ndayiragije aandika rekodi mbili TRA United

KOCHA wa TRA United, Mrundi Etienne Ndayiragije, ameweka rekodi mbili na timu hiyo baada ya ushindi wa bao 1-0 juzi Jumamosi dhidi ya Tanzania Prisons katika mechi ya Ligi iliyopigwa kwenye Uwanja wa Ali Hassan Mwinyi, mjini Tabora. Bao la dakika ya 55 la Ramadhan Chobwedo limemfanya Ndayiragije kushinda mechi ya kwanza na kikosi hicho…

Read More

Kilichomuondoa Pantev Simba hiki hapa

Uamuzi wa Simba kuachana ghafla na Meneja wake Dimitar Pantev ambaye alikuwa mkuu wa benchi la ufundi, leo Jumanne, Desemba 2, 2025 unatajwa kuchangiwa na sababu tatu. Kupitia taarifa yake kwa vyombo vya habari, Simba imeanika kuwa imefikia makubaliano ya kuvunja mkataba wa Pantev na timu hiyo itakuwa chini ya usimamizi wa Selemani Matola kwa…

Read More

Meridianbet Yadhamini “Chanika Veteran Bonanza 2025” Kuunga Mkono Michezo

KWA mara nyingine tena, Meridianbet imeonyesha dhamira yake ya dhati katika kusaidia jamii kupitia michezo, kwa kudhamini mashindano ya “Chanika Veteran Bonanza 2025”, tukio kubwa linalowakutanisha wapenzi wa soka na wachezaji wastaafu kutoka maeneo mbalimbali ya Jiji la Dar es Salaam. Kupitia udhamini huu, Meridianbet imechangia jezi kamili kwa timu shiriki, mipira ya michezo, pamoja…

Read More

Baada ya msoto, TLS Mwanza yapata viongozi wapya

Mwanza. Ikiwa imepita miezi minne tangu Mwananchi iripoti habari kuhusu baadhi ya wanachama wa Chama cha Mawakili Tanganyika (TLS) Mkoa wa Mwanza kutishia kufanya maandamano hadi Ofisi ya Jaji Mfawidhi wa Mkoa wa Mwanza kama ombi lao la kuitishwa uchaguzi wa kujaza nafasi za viongozi waliojiuzulu halitazingatiwa, hatimaye uchaguzi huo umefanyika na viongozi wapya wamepatikana….

Read More

UMEMWONA? Mjeshi wako Euro 2024

MUNICH, UJERUMANI: MIKIKIMIKIKI ya fainali za Euro 2024 muda uliobaki kwa michuano hiyo kuanza hata wiki haifiki, huku macho na masikio ya wapenda soka duniani yataelekezwa kwa mataifa 24 yakayoonyeshana ubavu kwenye vita hiyo ya kusaka ubingwa wa Ulaya. Kila nchi shiriki inahitajika kuwa na wachezaji 26  huku watatu kwenye kila kikosi wakiwa makipa. Utepe…

Read More

VIJIJI VYOTE MTWARA VIMEFIKISHIWA UMEME SASA NI ZAMU YA VITONGOJI

-BILIONI 16.7 KUSAMBAZA UMEME VITONGOJI 150 -KUNUFAISHA KAYA 4,950 Baada ya kukamilisha usambazaji wa umeme katika vijiji vyote 785 Mkoani Mtwara, Serikali kupitia Wakala wa Nishati Vijijini (REA) inatekeleza mradi wa shilingi bilioni 16.7 wa kusambaza umeme kwenye vitongoji 150 utakaonufaisha kaya 4,950 mkoani humo. Mhandisi Msimamizi wa Miradi ya Umeme REA Kanda ya Kusini,…

Read More