Mashambulizi Israel yaua 85 Gaza, Ulaya yailima vikwazo

Khan Younis. Mashambulizi yaliyofanywa na vikosi vya Jeshi la Israel (IDF) yamesababisha vifo vya watu zaidi ya 85 eneo la ukanda wa Gaza katika kipindi cha saa 24 zilizopita. Shirika la Habari la Associated Press limeripoti leo Jumtano Mei 21, 2025, kuwa mashambulizi hayo yamefanyika maeneo mbalimbali ukanda wa Gaza. Kwa mujibu wa Wizara ya…

Read More

Mpole aanika ‘code’ ya mastraika

MSHAMBULIAJI wa zamani wa Pamba Jiji, George Mpole ametaja sababu ya washambuliaji wa ndani kushindwa kuwa na mwendelezo wa ubora, huku akiweka wazi nyota wa kigeni wanabebwa na viongozi na mashabiki. Mpole ambaye kwa sasa ni mchezaji huru baada ya kumalizana na Pamba Jiji na anahusishwa na Tanzania Prisons, amesema tayari ameanza kupokea ofa kutoka…

Read More

Atupwa jela miezi sita kwa kufunga ofisi za kijiji

Simanjiro. Mkazi wa Kijiji cha Okutu Wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Melkzedek Moikani (33) amehukumiwa kwenda jela miezi sita kwa kosa la kufanya fujo na kufunga ofisi ya kijiji kwa kufuli. Imeelezwa kuwa kitendo hicho kilizua hofu kwa wananchi waliofuata huduma katika ofisi hiyo, lakini pia kilikwamisha shughuli za maendeleo. Hukumu hiyo imetolewa leo Jumatano Mei…

Read More

Kilio cha haki za watoto chapelekwa kwa Bunge

Dar es Salaam. Wadau wa kutetea haki za watoto nchini wametoa wito kwa Bunge kufanya mapitio ya Sheria ya Kanuni ya Adhabu kuwezesha kufutwa dhamana kwa makosa yote ya ubakaji na ulawiti kwa watoto. Wito huo umetolewa leo Septemba 14, 2024 jijini Dar es Salaam katika matembezi ya amani yaliyofanywa na wadau hao yakilenga kudai…

Read More

Shamrashamra za Kilele cha Sherehe za Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar zilizofanyika katika Uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam tarehe 26 Aprili, 2024

Maonesho ya Kwata ya Kikundi cha Askari wa Jeshi la Polisi Tanzania kutoka Zanzibar Maarufu kama Askari wa Tarabushi wakionesha Maonesho mbalimbali ya aina ya Kwata tangu kipindi cha utawala wa Sultan na kabla ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar. Askari hao walijipatia umaarufu mkubwa kutokana na uvaaji wa Kofia zao za Tarabushi.  Onesho hilo…

Read More

Ahueni usafirishaji mizigo Zanzibar | Mwananchi

Unguja. Malalamiko ya wafanyabiashara kuhusu mizigo yao kuchelewa kutokana na kukosa usafiri madhubuti, huenda yakapata jawabu baada ya ndege ya mizigo kuanza kuisafirisha kutoka Dubai kwenda moja kwa moja Zanzibar. Ndege ya Solit Air aina ya Boeing 728 yenye uwezo wa kubeba tani 20 za mizigo, imewasilia kwa mara ya kwanza leo Agosti 9, 2025…

Read More