Huku nako pamechangamka! | Mwanaspoti

ACHANA na Dabi ya Kariakoo iliyopigwa jana. Sahau kuhusu Simba Day na Wiki ya Mwananchi matamasha yaliyofanyika wikiendi iliyopita. Kesho na kweshokutwa huko mkoani nako kuna burudani ya kukata na shoka wakati klabu nne tofauti za Ligi Kuu zitakapofanya matamasha ya kuukaribisha msimu mpya wa 2024-2025. Mashabiki wa soka wa mikoa ya Kigoma, Singida, Mwanza…

Read More

WANANCHI WAMKATAA RASMI GAMBO ARUSHA WADAI NI MWONGO SANA,WAMTAKA MAKONDA PIA WATISHIA KUTOSHIRIKI UCHAGUZI KISA KIVUKO!

WANANCHI wa Kata ya Sokon one,Jijini Arusha wameibua tafrani baada ya kujikusanya na kutishia kutopiga kura katika uchaguzi mkuu ujao wakiwa na madai ya kutaka kujengewa kivuko baada ya kuahidiwa kwa muda mrefu bila mafanikio. Aidha wananchi hao wakiongea kwa jaziba wamemkataa mbunge wao Mrisho Gambo wakidai hajawasaidia chochote na kuahidi kutomchagua tena iwapo atagombea …

Read More

Wamarekani kuwekeza kwa vijana kikapu

SHIRIKISHO la Kikapu Tanzania (TBF) na Taasisi ya Kimataifa ya iCARRe Foundation kutoka Marekani zimeingia mkataba wa miaka miwili utakaosimamia maendeleo ya kikapu kwa vijana. Hafla hiyo hiyo ilifanyika katika Kituo cha Michezo cha Jakaya Mrisho Kikwete (JMK Park), ikishuhudiwa na makocha wa timu ya taifa na viongozi wa TBF. Viongozi wa iCARRe Foundatiom waliwakilishwa…

Read More

IGP WAMBURA ATEMBELEA MAONESHO YA SABASABA

  Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini IGP Camillus Wambura akiwa katika picha mbalimbali na watoto waliotembelea Banda la Polisi katika Maonesho ya 48 ya Sabasaba. IGP Wambura ametembelea Maonesho ya Sabasaba na pia kutembelea Banda la Jeshi la Polisi ili kuona namna vitengo mbalimbali vilivyopo ndani ya Jeshi hilo vinavyotoa elimu kwa wananchi.

Read More

Hati ya Ekari 62,000 Yakabidhiwa kwa Mradi wa Dola Milioni 640 wa Kilimo Biashara Kilwa

Na Avila Kakingo, Michuzi Tv  SERIKALI imekabidhi hati isiyo asili (derivative title) kwa Kampuni ya Pan Tanzania Agriculture Developments Ltd kama hatua muhimu ya kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kilimo na kuongeza thamani ya ardhi inayotumika kwa shughuli za uzalishaji. Hati hiyo wamekabidhiwa na  Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania…

Read More

Ufugaji wa kisasa ulivyoleta mageuzi ya maziwa Morogoro

Morogoro. Chama cha Wafugaji Halmashauri ya Wilaya ya Morogoro kinatarajia kuitisha kikao cha dharura kwa wafugaji wa kata 13 katika halmashauri hiyo, kinacholenga kutoa elimu na kuhamasisha ufugaji wa kisasa na wenye tija mkoani hapa. Hatua ya kuitishwa kwa kikao hicho kimekuja baada ya kuzinduliwa kwa jukwaa la wadau wa tasnia ya maziwa kupitia mradi…

Read More

WAFANYAKAZI WA NYUMBANI MWANZA WAPATIWA ELIMU YA KUTAMBUA HAKI NA WAJIBU WAO

::::::: SHIRIKA la Kazi Duniani (ILO),WoteSawa kwa kushirikiana na Chama cha Wafanyakazi wa Nyumbani,Hifadhi,Hotelini,Huduma za Jamii na Ushauri (CHODAWU),limewakutanisha Wafanyakazi wa nyumbani takribani 100 Mkoani Mwanza kwa lengo la kuwapatia maarifa ya kuwasaidia kutambua haki zao na kuboresha mazingira yao sehemu za kazi kupitia Mradi wa Kuboresha Utambuzi na Mazingira ya Kazi kwa Wafanyakazi Nyumbani…

Read More