RAIS SAMIA AMEIWEZESHA FORODHA KUIMARISHA ULINZI MIPAKANI

  Kamishna Mkuu wa TRA Bw.  Yusuph Juma :::::::::  Kamishna Mkuu wa TRA Bw.  Yusuph Juma Mwenda amesema Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiwezesha TRA kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa kuimarisha ulinzi mipakani kwa kuweka mifumo na vifaa vya kisasa vya kufanyia kazi. Akizungumza katika maadimisho…

Read More

Tume ya Uchunguzi yakutana na Venance Mabeyo

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Februari 27, 2026, imekutana na Mkuu wa Majeshi Mstaafu (CDF) Venance Mabeyo. Mkutano huo wa Tume na Mabeyo umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini, Dar…

Read More

Mfumo wa IDRAS kuunganishwa na AI, kulinda taarifa binafsi

Shinyanga. Katika kuboresha mfumo wa ukusanyaji kodi kwa wafanyabiashara kuendana na kasi ya maendeleo ya sayansi na teknolojia, Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) imeunganisha mfumo wa IDRAS pamoja na akili unde ili kumsaidia mlipakodi kupata majibu ya maswali kwa urahisi bila kwenda ofisini pamoja na kulinda taarifa zake. Akizungumza leo Januari 27, 2026 katika mafunzo…

Read More

BoT YAAGIZWA KUONGEZA UDHIBITI WA MIKOPO UMIZA

Naibu Waziri wa Fedha, Mhe. Laurent Deogratius Luswetula (Mb) akiiagiza Benki Kuu ya Tanzania (BoT) kuendelea kuongeza udhibiti wa mikopo yenye riba kubwa (mikopo umiza) wakati akijibu swali la Mbunge wa Viti Maalum, Mhe. Mhe. Dkt. Neema Peter Majule, aliyetaka kufahamu Serikali imechukua hatua gani kwa watu ambao wamejinufaisha kwa mikopo yenye riba kubwa, bungeni…

Read More

Adaiwa kujiua kwenye nyumba ya kulala wageni      

Morogoro. Mtu mmoja aliyefahamika kwa jina la Ebenezeri Mbwambo (34), mkazi wa Morogoro, anadaiwa kujinyonga ndani ya chumba alichokodi katika nyumba ya kulala wageni ya Kisenga, iliyopo mtaa wa Ngyzo, kata ya Mazimbu, Manispaa ya Morogoro. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Morogoro, Alex Mkama, amesema tukio hilo lilibainika baada ya muhudumu wa nyumba hiyo kugundua…

Read More

Fao la utengamao lawainua wafanyakazi waliopata ajali kazini

Arusha. Wafanyakazi wanaopata ajali au magonjwa yatokanayo na kazi zao wataanza kunufaika na Fao la Utengamao kupitia mafunzo ya ujuzi na stadi mbalimbali zitakazowawezesha kushiriki katika shughuli za kijamii na kiuchumi. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Fidia kwa Wafanyakazi (WCF), Dk John Mduma, jana Jumatatu Januari 26, 2026, wakati akifungua mafunzo ya…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUTEKELEZA MKAKATI WA KUKABILIANA NA WANYAMAPORI WAKALI NA WAHARIBIFU

Na Saidi Lufune, Dodoma SERIKALI imeweka vikosi vya kudumu vya Askari katika Kata za Bwiti na Mwakijembe kwa lengo la kuwawezesha askari Wanyamapori kuwahi mwitikio haraka katika matukio ya wanyamapori wakali na waharibifu wanapovamia maeneo ya wananchi. Hayo yamesemwa na Mhe. Hamad Hassan Chande (Mb.), Naibu Waziri wa Maliasili na Utalii, Bungeni jijini Dodoma alipokuwa…

Read More