RAIS SAMIA AMEIWEZESHA FORODHA KUIMARISHA ULINZI MIPAKANI
Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma ::::::::: Kamishna Mkuu wa TRA Bw. Yusuph Juma Mwenda amesema Mhe. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan ameiwezesha TRA kupitia Idara ya Forodha na Ushuru wa Bidhaa kuimarisha ulinzi mipakani kwa kuweka mifumo na vifaa vya kisasa vya kufanyia kazi. Akizungumza katika maadimisho…