Wakili Mwambukusi ajitosa kuwania urais TLS, Heche ajiweka kando

Wakati Kamati ya Uchaguzi wa Chama cha Wanasheria Tanganyika Law Society  (TLS) ikiongeza muda kwa wanachama zaidi kujitokeza kugombea nafasi mbalimbali, wakili Boniface Mwabukusi ajitosa kuwania urais, huku mwenyekiti wa AYL anayemaliza muda wake  Edward Heche akieleza kuwa hatogombea tena. Chama hicho kinatarajia kufanya uchaguzi wake mkuu Agosti 2, 2024, jijini Dodoma, kuwapata viongozi wapya…

Read More

KATIBU MKUU AFURAHISHWA NA MAANDALIZI YA TVLA NANENANE

Katibu Mkuu Wizara ya Mifugo na Uvuvi Prof. Riziki Shemdoe (kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Wakala ya Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) kituo cha Dodoma Dkt. Japhet Nkangaga kuhusiana na huduma zinazotolewa TVLA kwa wafugaji na wadau kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo na Mifugo (Nanenane) yanayofanyika katika uwanja wa Nzuguni jijini Dodoma…

Read More

Saba wafariki dunia ajali ya basi Mwanga, 32 wajeruhiwa

Mwanga. Watu Saba wamefariki dunia papo hapo huku wengine 32 wakijeruhiwa baada ya basi la Kampuni ya Mvungi, walilokuwa wakisafiria kupinduka katika eneo la Kijiji cha Mamba, Kata ya Msangeni, Tarafa ya Ugweno, Wilaya ya Mwanga, mkoani Kilimanjaro. Kamanda ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji mkoani Kilimanjaro, Jeremiah Mkomagi amethibitisha kutokea kwa vifo hivyo,  ambapo…

Read More

Simulizi dereva aliyewaendesha marais watatu

Mara nyingi, kuna watu wanaoenziwa na kutuzwa nchini kwa kufanya mambo mbalimbali mazuri. Lakini wengi wao huwa wasomi wabobezi, wanasiasa au wanamichezo na wasanii wachache. Si aghalabu kuona watu wanaoonekana wa kada ya chini wakitukuzwa kwa lolote japo wanafanya mambo makubwa.  Mmoja wao ni Ismail Mputila, dereva aliyewaendesha marais watatu kwa takriban miaka 25. Awali …

Read More

Sababu wanaokwenda kusoma Marekani kupungua

Dar es Salaam. Idadi ya wanafunzi wanaokwenda kusoma vyuo vikuu nchini Marekani imeshuka kwa asilimia tano, kwa mujibu wa taarifa ya Idara ya Usafiri na Utalii nchini humo. Kushuka kwa idadi hiyo kunahusishwa na hatua za hivi karibuni za Rais wa Marekani, Donald Trump, kuongeza ukali wa ukaguzi kwa wanafunzi wanaoingia nchini humo kwa ajili…

Read More