SUMAJKT yaajiri vijana 16,000 kwenye ulinzi

Na Nora Damian, Mtanzania Digital Zaidi ya vijana 16,000 wamepata ajira ya ulinzi katika Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Kujenga Taifa (SUMAJKT) na kujikwamua kiuchumi. Akizungumza Julai 3,2024 kwenye Maonesho ya 48 ya Biashara ya Kimataifa (Sabasaba), Mkuu wa JKT, Meja Jenerali Rajabu Mabele, amesema fursa hiyo ya ajira imewawezesha vijana hao kujikimu…

Read More

Mbowe, Lissu watakavyoongoza maandamano ya amani Chadema

Dar es Salaam. Ikiwa zimepita siku 54 baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), kufanya maandamano ya amani katika mikoa ya Dar es Salaam, Mwanza, Mbeya na Arusha, imeandaa mengine ya nchi nzima. Mwenyekiti wa chama hicho, Freeman Mbowe na Makamu Mwenyekiti -Bara, Tundu Lissu watashiriki maandamano hayo na ratiba imetolewa ikieleza namna watakavyoyaongoza….

Read More

Kilio cha haki za watoto chapelekwa kwa Bunge

Dar es Salaam. Wadau wa kutetea haki za watoto nchini wametoa wito kwa Bunge kufanya mapitio ya Sheria ya Kanuni ya Adhabu kuwezesha kufutwa dhamana kwa makosa yote ya ubakaji na ulawiti kwa watoto. Wito huo umetolewa leo Septemba 14, 2024 jijini Dar es Salaam katika matembezi ya amani yaliyofanywa na wadau hao yakilenga kudai…

Read More

Vifo ajali ya lori, Coaster Mbeya vyafikia 16

Mbeya. Idadi ya vifo katika ajali iliyotokea jana Juni 5, 2024 imeongezeka na kufikia watu 16, huku miili minane ikitambuliwa na ndugu zao na majeruhi wengine wakiendelea na matibabu katika Hospitali ya Rufaa Kanda ya Mbeya. Ajali hiyo iliyotokea katika mteremko wa Simike, eneo la Mbembela lilihusisha lori lililofeli breki na kugonga magari mawili, ikiwamo…

Read More

Wizara ya Nishati, Equinor wakutana Afrika Kusini

Wizara ya Nishati Tanzania imekutana na kufanya mazungumzo na Kampuni ya Equinor Tanzania AS kujadili, pamoja na mambo mengine, maendeleo ya utekelezaji wa mradi wa kusindika gesi asilia (LNG). Mazungumzo hayo yalifanyika Novemba 05, 2024 Jijini Cape Town – Afrika Kusini wakati wa Mkutano wa Wiki ya Nishati Afrika, mkutano ulioleta pamoja wadau zaidi ya…

Read More

TRC, ofisi ya mtaa wachukua hatua kivuko cha SGR

Dar es Salaam. Kutokana na kujaa maji katika karavati ambalo wananchi wanalitumia kama kivuko kupita kwenye reli ya umeme (SGR) maeneo ya Gongolamboto jijini Dar es Salaam Shirika la Reli Tanzania (TRC) na ofisi ya serikali za mitaa wamechukua hatua  kushughulikia tatizo hilo. Hayo yamesemwa leo Jumanne Aprili 15, 2025 na mwenyekiti wa Serikali ya…

Read More