Madaktari wataka mwelekeo bima kwa wote, Serikali yatoa agizo
Arusha. Chama cha Madaktari Tanzania (MAT) kimeitaka Serikali kutekeleza kwa umakini Sheria ya Bima ya Afya kwa Wote, ili kuwe na ubora wa huduma za afya kwa Watanzania wote katika upatikanaji, unafuu na uendelevu. Kauli hiyo imekuja zikiwa zimepita siku saba, tangu mapendekezo ya bajeti kuu ya Serikali ya mwaka 2025/2026 kuanzisha vyanzo vya mapato…