Jukwaa la usafiri mtandaoni lawafariji watoto yatima Dodoma

Dar es Salaam. Wawakilishi wa jukwaa jipya la usafiri wa kukodi mtandaoni, Maxim, wametembelea kituo cha watoto yatima cha Tumaini Foundation kilichopo jijini Dodoma, na kutoa msaada wa chakula unaotarajiwa kudumu kwa miezi miwili hadi mitatu kwa watoto zaidi ya 150 wanaolelewa kituoni hapo. Ziara hiyo haikulenga salamu za kawaida wala kupiga picha za kumbukumbu…

Read More

Zaidi ya asilimia 70 wafanyakazi Muhimbili ni wanawake

Dar es Salaam. Zaidi ya asilimia 70 ya wafanyakazi wa Hospitali ya Taifa Muhimbili ni wanawake, hatua inayodhihirisha nafasi kubwa waliyonayo katika utoaji wa huduma za afya nchini. Takwimu hii ina ujumbe mpana kwa Tanzania siyo tu kwenye afya, bali maendeleo ya Taifa kwa ujumla, ikionyesha wazi kuwa wanawake ndio uti wa mgongo wa sekta…

Read More

Ajali yaua wanne Rombo wakitokea matembezini

Rombo. Vijana wanne ambao ni mafundi ujenzi wamefariki dunia baada ya pikipiki waliyokuwa wakisafiria kugongana uso kwa uso na gari aina ya Noah eneo la Shimbi, Wilaya ya Rombo mkoani Kilimanjaro. Vijana hao wenye umri kati ya miaka 19-20 ni wakazi wa Kijiji cha Shimbi Masho, Kata ya Kwa Ndele, walikuwa wanatokea matembezini. Akizungumza na…

Read More

Sera ya vijana EAC yatia matumaini, sauti yao bado changamoto

Dar es Salaam. Wakati nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zikiendelea kuboresha sera ya vijana ya 2025–2030, wadau wamesema inaleta matumaini kwa maendeleo ya vijana, lakini bado kuna changamoto ya ushirikishwaji na utekelezaji. Hayo yameelezwa leo Machi 18, 2026 katika mkutano wa kikanda wa afya ulioandaliwa na Baraza la Wabunge Vijana wa Afrika…

Read More

Wananchi Dar walalama kukatika umeme, Tanesco yajibu

Dar es Salaam. Wakati baadhi ya maeneo ya jiji la Dar es Salaam yakishuhudia kukatikakatika kwa   umeme  nyakati tofauti Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco) limesema hali hiyo inatokana na athari zitokanazo na mvua zinazoendelea kunyesha. Katika siku za hivi karibuni wakazi wa maeneo mbalimbali ya Jiji hilo kama Ubungo, Kimara, Tabata, Goba na Chanika wameeleza…

Read More