UDOM yafafanua malipo kwa wanafunzi wasiofikia alama za ufaulu
Dodoma. Uongozi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) umekiri kuwepo kwa gharama za malipo kwa wanafunzi ambao hawajafikia alama stahiki kwenye mitihani (carry over), lakini sababu yao ni kuzalisha wasomi wa viwango na si vinginevyo. Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano kwa Umma wa UDOM, Dk Rose Mdami amejibu hoja hiyo leo Jumanne Januari 27, 2026…