Changamoto utekelezaji sheria unavyoathiri jamii Handeni -3

Tanga. Licha ya kuwapo sheria zinazoelekeza wazi,  ni wajibu wa Serikali katika ujenzi na usimamizi wa barabara na madaraja ya vijijini, wakazi wa vijiji vya Kwasunga, Kwamsisi na Miono, wilayani Handeni wanaendelea kuishi katika hatari ya vivuko visivyo salama kila msimu wa mvua. Uchunguzi wa miezi mitatu uliofanywa na Mwananchi, umebaini kuwa tatizo la daraja…

Read More

Rais Samia ataka upangaji miji uhusishe maeneo ya upandaji miti

Unguja. Rais wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amezitaka mamlaka za upimaji ardhi na upangaji miji nchini, kuhakikisha katika upimaji wa maeneo mapya wanatenga nafasi ya upandaji miti katika mipango ya makazi na matumizi ya ardhi. Pia, amezitaka taasisi mbalimbali za umma na binafsi, kuhakikisha zinapanda angalau mti mmoja na kuhakikisha unatunzwa hadi kukua katika maeneo…

Read More

Mmoja afariki, 12 wajeruhiwa ajali ya lori na basi Shinyanga

Shinyanga. Mtu mmoja amepoteza maisha na wengine 12 kujeruhiwa katika ajali ya barabarani iliyohusisha lori na basi la abiria. Ajali hiyo imetokea leo Januari 27, 2026 saa 12:30 asubuhi katika eneo la mnada wa Tinde, wilayani Shinyanga. Ajali hiyo imehusisha basi la Kampuni ya Kisire lililokuwa likitokea Kahama kwenda Mwanza, na lori lililokuwa limebeba shehena…

Read More

Concurrently Maintainable: Why Tier III Data Centres Are the Real Play for East Africa

Demos Kyriacou, Co-founder, Deputy CEO and COO, Wingu Africa East Africa’s digital economy is expanding at a rapid pace, driven by rising internet penetration, widespread mobile connectivity, and growing adoption of cloud services and fintech innovation. As organisations move away from informal server installations toward standardised and/or professionally designed data centres, the reliability and resilience…

Read More

TUME YA UCHUNGUZI YAKUTANA NA NAPE NNAUYE

TUME ya Uchunguzi wa Matukio ya Uvunjifu wa Amani yaliyojitokeza wakati na baada ya Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025, leo Januari 27, 2026, imekutana na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Nape Nnauye. Mkutano huo wa Tume na Nape umefanyika katika Ukumbi wa Tanganyika uliopo katika ofisi za Benki Kuu ya Tanzania (BoT) jijini, Dar…

Read More

Rais Samia aongoza Zoezi la kupanda Miti wakati wa kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa katika eneo la Bungi Kilimo, Mkoa wa Kusini Unguja-Zanzibar

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti wa Muembe (Mangifera indica) katika eneo la Bungi Kilimo, Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 27 Januari, 2026, wakati wa kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa. Rais Mhe. Dkt. Samia alizaliwa tarehe 27 Januari, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa…

Read More