
YAZINDUA HATIFUNGANI YA STAWI YA SHILINGI BILIONI 150
::::::: Benki ya Biashara Tanzania (TCB) imezindua rasmi Hatifungani ya Stawi yenye thamani ya Shilingi Bilioni 150 ambapo kwanza itatumika bilioni 50, ikiwa ni mpango wa muda wa kati wa miaka mitano, kwa mara ya kwanza kuingia katika soko la mitaji nchini. Hatifungani hiyo inalipa riba ya asilimia 13.5 kwa mwaka, ambayo italipwa kila baada…