Hatima umeya, uenyekiti mikononi mwa kamati za siasa wilaya, mikoa
Dar/Dodoma. Uamuzi wa majina matatu kati ya kadhaa waliochukua fomu kuomba ridhaa ya umeya na naibu meya wa manispaa na majiji iko mikononi mwa vikao vya Kamati za Siasa za mikoa na wilaya za Chama cha Mapinduzi (CCM). Hiyo ni baada ya leo saa 10 alasiri, kufungwa kwa dirisha la uchukuaji na urejeshaji fomu za…