ZANZIBAR ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA NORWAY-DK.MWINYI

    Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Serikali ya Norway katika sekta mbalimbali. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipokutana na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes aliyefika Ikulu Zanzibar kwa kujitambulisha tarehe:30 Mei 2024. Aidha Rais Dk.Mwinyi alimueleza Balozi Tinnes kuwa Zanzibar…

Read More

Umuhimu wa tiba za dharura katika kuokoa maisha

Tanga. “Sitasahau. Nilitumwa shambani kuangua nazi, yalikuwa maamuzi mapesi tu, kwani nilinyanyuka na kubeba kikapu changu na kwenda kukwea mnazi, lakini kabla sijamaliza kuangua nilidondoka chini na kupoteza fahamu,” anasema Elly Kimodoa (23), mkazi wa kata ya Fungo, wilaya ya Muheza. Anasema pengine familia yake isingemtuma kwenda kuangua nazi shambani, ajali hiyo asingekutana nayo na…

Read More

Wananchi watishia kubomoa madarasa yenye nyufa Sengerema

Mwanza. Wakazi wa Kijiji cha Buzilasoga Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza wametishia kubomoa majengo chakavu yaliyopo katika Shule ya Msingi Buzilasoga ili kuepusha maafa kwa watoto wao wanaosoma shuleni hapo. Uamuzi huo wa kubomoa madarasa mabovu ambayo ni mawili, unakuja baada ya wananchi hao kutakiwa kuchanga Sh2,000 kila mmoja kwa ajili ya kutengeneza madawati ya…

Read More

Madini ya Bati fursa zipo nyingi njooni – Mkopi

· Hutumika kwenye mifumo ya kielektroniki ya simu, ndege, vyuma vya reli · Yaleta ukombozi kwa wananchi Kyerwa KAGERA MADINI ya Bati (Tin) yameendelea kuwa na mchango kwenye maduhuli ya Serikali kupitia Sekta ya Madini mkoani Kagera huku watanzania wakitakiwa kuchangamkia fursa za uchimbaji wa madini hayo. Akizungumza katika mahojiano maalum, Kaimu Afisa Madini Mkazi…

Read More

NAIBU WAZIRI MWANAIDI AOMBA BUNGE NA JAMII KUUNGA MKONO JITIHADA ZA SERIKALI MAPAMBANO DHIDI YA UKATILI

Na WMJJWM-Dodoma. Naibu Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ameweka msisitizo kwa kuliomba Bunge na Jamii kwa ujumla kuunga mkono jitihada za Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan za mapambano dhidi ya vitendo vya ukatili na mmomonyoko wa maadili nchini. Naibu Waziri Mwanaidi ameyasema hayo…

Read More

GCLA YATOA ANGALIZO MATUMIZI YA KEMIKALI BASHIRIFU

Mamlaka ya Maabara ya Mkemia Mkuu wa Serikali (GCLA), imewataka wauzaji wakubwa wa kemikali kuacha kuwauzia wauzaji wa kati na wadogo wa kemikali ambao hawajasajiliwa kufanya biashara hiyo. Wito huo umetolewa na Mkurugenzi wa Huduma za Udhibiti, Daniel Ndiyo, wakati wa kikao na wadau wanaojihusisha na uingizaji na usambazaji wa kemikali bashirifu kilichoandaliwa na Mamlaka…

Read More

Daraja la JP Magufuli kielelezo cha maendeleo

Katika hatua ya kihistoria kwa maendeleo ya miundombinu nchini, serikali ilishakamilisha ujenzi wa Daraja la JP Magufuli maarufu Kigongo–Busisi, ambalo ni refu zaidi kwa nchi za Afrika Mashariki. Daraja hili lina urefu wa zaidi ya kilomita 3.2, upana wa mita 28 na linauwezo wa kubeba tani 180 na magari 1600 kwa mara moja. Serikali inayoongozwa…

Read More