Getrude Mongella awaasa vijana walioutupa maadili, uzalendo

Dar es Salaam. Ili kuenzi kazi aliyoifanya muasisi wa Taifa la Tanganyika na Zanzibar, Hayati Mwalimu Julius Nyerere imeshauriwa kiandikwe kitabu, kitakachokuwa na mwongozo kwa vijana kujua misingi ya uzalendo kwa nchi yao. Hayo yamesemwa na Rais wa kwanza wa Bunge la Afrika na mwanaharakati wa haki za wanawake nchini, Balozi Getrude Mongella leo Agosti…

Read More

Watendaji SMZ waonywa uvujishaji taarifa binafsi

Unguja. Katibu Mkuu Kiongozi wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar (SMZ), amewataka watendaji wakuu wa Serikali kuwa makini na utunzaji wa taarifa binafsi kwani kwenye taasisi kuna nyaraka nyingi za siri za watu, hivyo bila ulinzi inaweza kusababisha madhara makubwa kwa wananchi iwapo zikitumika vibaya. Zena ametoa kauli hiyo leo Novemba 29, 2024 wakati wa…

Read More

Ni Bares tu Ligi Kuu Bara

MOHAMED Abdallah ‘Baresi’ wa Mashujaa ndiye kocha peee aliyesalia kwenye timu moja kwa muda mrefu katika vikosi vya sasa vya klabu za Ligi Kuu Bara, akidumu kwa zaidi ya siku 514 ikiwa ni sawa na miezi 16, tangu alipojiunga na timu hiyo msimu uliopita wa 2023/24. Katika mazingira ya soka la kisasa, mabadiliko ya makocha…

Read More

Sakata la Kibu kugomea mkataba udalali watajwa

Habari ya mjini kwa sasa ni kuhusu Kibu Denis ‘Mkandaji’. Ni kiungo mshambuliaji wa Simba anayemaliza mkataba wake kwa Wekundu wa Msimbazi hao na ameziingiza timu hizo kwenye vita kubwa na picha lake linatisha. Simba inataka kumwongezea mkataba. Yanga inataka kumhamishia kwa Wananchi. Ihefu nao wamemwambia aachane na timu za Kariakoo aendee akatulie mkoani na…

Read More

Kwa nini Afrika Ikumbatie Masoko ya Kieneo Ili Kuhimili Mishtuko ya Hali ya Hewa na Migogoro – Masuala ya Ulimwenguni

Wakulima, wafanyabiashara na watumiaji katika soko la Mbare Musika Territorial Market mjini Harare, Zimbabwe. Credit: Isaiah Esipisu/IPS na Isaya Esipisu (harare) Ijumaa, Oktoba 04, 2024 Inter Press Service HARARE, Oktoba 04 (IPS) – Watunga seŕa wa Afŕika, viongozi wa ndani na sekta binafsi wametakiwa kujenga mazingiŕa wezeshi ambayo yatawasaidia wafanyabiashara wa Afŕika na wakulima kujenga…

Read More

Ateba: Siri ya Simba ni hii tu

Simba SC imeanza msimu wa 2024/2025 kwa kishindo ikilinganishwa na msimu uliopita, ikiwa imecheza mechi sita na kuonyesha kiwango bora licha ya kuwa na wachezaji wapya 14 kwenye kikosi chao.  Ushindi wa mechi nne mfululizo za Ligi Kuu Tanzania Bara dhidi ya Tabora United (3-0), Fountain Gate (4-0), Azam FC (2-0) na Dodoma Jiji (1-0),…

Read More