Josiah atambia rekodi mpya Dodoma

KOCHA Mkuu wa Dodoma Jiji, Amani Josiah, amesema suluhu (0-0), iliyoipata timu hiyo juzi dhidi ya Simba ni kutokana na wachezaji wa kikosi hicho cha ‘walima Zabibu’, kufuata vyema maelekezo yake ya kucheza kwa nidhamu kubwa na kwa heshima. Akizungumza na Mwanaspoti, Josiah, alisema haikuwa mechi rahisi kutokana na jinsi wapinzani wao walivyokuwa wanacheza, ingawa…

Read More

Dk Nchimbi awaahidi makubwa Simiyu, wananchi wataka utekelezaji

Busega. Wakati mgombea mwenza wa urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Dk Emmanuel Nchimbi akiwaahidi wana Busega, mkoani Simiyu miradi mbalimbali, wananchi nao wamekitaka chama hicho kuzitekeleza kwa vitendo. Wamesema kuahidi ni jambo moja na kuzitekeleza ni suala jingine, hivyo mgombea Samia Suluhu Hassan na wasaidizi wake wanapaswa kuhakikisha ahadi hizo zinatekelezwa ndani ya miaka…

Read More

Matumaini, mashaka ziara ujumbe UN Tanzania

Dar es Salaam. Ujumbe wa Umoja wa Mataifa (UN), umeanza vikao vya mazungumzo na vyama vya siasa kuhusu demokrasia na utawala bora nchini, huku baadhi ya vyama vikishindwa kutoa msimamo iwapo vitashiriki au havitashiriki. Lakini, ziara ya Parfait Onanga-Anyanga, mwakilishi wa Katibu Mkuu wa UN, imewagawa wadau, wengine wanapongeza na wengine wanatilia shaka, wakisema hawataki…

Read More

Mashirikiano PURA, ALNAFT kuimarisha ufanisi wa utendaji

Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli Nchini (PURA) imekutana na kufanya mazungumzo na Mamlaka ya Udhibiti Mkondo wa Juu wa Petroli ya Nchini Algeria (ALNAFT) kwa lengo la kujadili mashirikiano yatakayowezesha, pamoja na mambo mengine, kubadilishana uzoefu na kujengeana uwezo katika eneo la udhibiti wa shughuli za utafutaji na uzalishaji wa mafuta na…

Read More

Kanali Randrianirina Avunja Serikali Nzima Madagascar, Waziri Mkuu Aondolewa

Global Publishers March 10, 2026 0 Comments Kiongozi wa kijeshi wa Madagascar, Kanali Michael Randrianirina, amevunja serikali nzima kwa kumfuta kazi Waziri Mkuu pamoja na mawaziri wote wa baraza la mawaziri katika hatua ya kushtukiza. Taarifa kutoka kwa msemaji wake imesema serikali imeacha rasmi kutekeleza majukumu yake, huku Randrianirina akitarajiwa kumteua Waziri Mkuu mpya na…

Read More