
ZANZIBAR ITAENDELEA KUSHIRIKIANA NA NORWAY-DK.MWINYI
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Mhe.Dk.Hussein Ali Mwinyi amesema Zanzibar itaendelea kushirikiana na Serikali ya Norway katika sekta mbalimbali. Rais Dk.Mwinyi amesema hayo alipokutana na Balozi wa Norway nchini Tanzania, Mhe. Tone Tinnes aliyefika Ikulu Zanzibar kwa kujitambulisha tarehe:30 Mei 2024. Aidha Rais Dk.Mwinyi alimueleza Balozi Tinnes kuwa Zanzibar…