Kesi ya afande anayedaiwa kuwatuma vijana kuunguruma leo

Dodoma. Kesi ya kubaka kwa kundi inayomkabili, Fatma Kigondo, afande anayedaiwa kuwatuma vijana kumbaka kwa kundi na kumwingilia kinyume na maumbile binti Mkazi wa Yombo Dovya jijini Dar es Salaam, inakuja mahakamani leo Alhamisi, Septemba 5, 2024 tena. Kesi hiyo, iliyofunguliwa na Paul Kisabo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Dodoma, ilishindwa kusikilizwa Agosti 23, 2024…

Read More

Putin, Pezeshkian waahidi kuimarisha uhusiano

  RAIS Vladimir Putin wa Urusi amefanya mazungumzo na mwenzake wa Iran, Masoud Pezekshian, nchini Turkemistan, ukiwa ni mkutano wa kwanza baina yao. Kwenye mkutano huo wa jana, viongozi hao walisifu kuimarika kwa uhusiano wa kiuchumi katika mataifa yao na mitazamo yao inayofanana kwenye siasa za dunia. Putin, ambaye nchi yake itakuwa mwenyeji wa mkutano…

Read More

Kocha: Hivi ndivyo Small Simba ilivyoanguka

NI miaka 24 sasa tangu Small Simba ya Zanzibar ipotee katika ramani ya soka la kiushindani, ambapo timu hiyo yenye rekodi na mafanikio makubwa ilianzishwa mtaani ikijulikana kwa jina la ‘Sunderland’, kisha baadaye kubadilishwa. Timu hiyo ilipiga hatua zaidi miaka ya 1970–1980, ambapo mwaka 1977, timu hiyo ilishiriki Ligi Daraja la Pili na ikapata nafasi…

Read More

Huyu ndiye Babu Duni usiyemjua

Zanzibar. Septemba 4, 2024, Juma Duni Haji, maarufu Babu Duni ametangaza kustaafu siasa. Ameagwa kwa heshima na chama chake cha ACT-Wazalendo.Katika hafla hiyo ya kumuaga, mwanasiasa mkongwe wa chama hicho, Ally Saleh maarufu Alberto amesoma wasifu wa Babu Duni ambaye kwenye safari yake ya kisiasa imekuwa ya kupanda na kushuka. Unajua Babu Duni amewahi kuwa…

Read More

CRDB yatoa Sh5 bilioni kuwakwamua wajasiriamali kiuchumi

Mbeya. Jumla ya Sh5 bilioni zimetumika kuwakwamua kiuchumi wajasiriamali wadogo 2,000 kupitia kampuni tanzu ya CRDB Foundation kwa kipindi cha miezi sita. Mbali na wajasiriamali hao, makundi mengine yaliyofikiwa na huduma ya benki hiyo ni wanafunzi kuanzia elimu ya msingi hadi chuo kikuu, walimu, watumishi wa umma na sekta binafsi ikiwa ni sehemu ya mafanikio…

Read More

VIJANA SHIKAMANENI KULINDA AMANI YA NCHI YETU- DKT. BITEKO

 Asema Teknolojia Isitumike kama Jukwaa la Uhalifu  Serikali Yaendelea Kushirikisha Vijana katika Masuala ya Maendeleo  Asisitiza kuwa Kijana Bora Hujenga Taifa Bora la Kesho Na Ofisi ya Naibu Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati NAIBU Waziri Mkuu na Waziri wa Nishati, Mhe. Dkt. Doto Biteko ametoa rai kwa vijana nchini kuwa na mshikamano na kudumisha…

Read More