Rais Samia aongoza Zoezi la kupanda Miti wakati wa kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa katika eneo la Bungi Kilimo, Mkoa wa Kusini Unguja-Zanzibar

  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan akipanda mti wa Muembe (Mangifera indica) katika eneo la Bungi Kilimo, Mkoa wa Kusini Unguja tarehe 27 Januari, 2026, wakati wa kumbukumbu ya siku yake ya kuzaliwa. Rais Mhe. Dkt. Samia alizaliwa tarehe 27 Januari, 1960 katika Kijiji cha Kizimkazi, Mkoa wa…

Read More

SERIKALI KUENDELEA KUFANYA MAGEUZI YA SERA– DKT. MWIGULU

WAZIRI MKUU Dkt. Mwigulu Nchemba amesema Serikali itaendelea kufanya mageuzi ya sera zinazogusa moja kwa moja maslahi na ustawi wa maisha ya wananchi.   Amesisitiza kuwa Serikali haitavumilia watendaji wa Serikali wanaotoa visingizio, wasiowajibika na wenye hulka ya kufanya kazi kwa mazoea, ujanja ujanja na kutoa taarifa za michakato badala ya majibu yanayotakiwa. Amesema hayo Bungeni…

Read More

DKT. KILABUKO AZINDUA NYARAKA ZA USIMAMIZI WA MAAFA NKASI

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu Dkt. James Kilabuko amezindua nyaraka za usimamizi wa maafa katika Halmashauri ya Wilaya ya Nkasi mkoani Rukwa huku akisisistiza nyaraka hizo kutekelezwa kwa vitendo. Dkt. Kilabuko amesema hayo leo 27 Januari, 2026 wakati wa uzinduzi huo na kusema kuwa, hatua hiyo ni…

Read More

Kama Enzi za Korea, Marekebisho ya Kifedha Yanaweza Kusaidia Kulinda Fedha za Serikali – Masuala ya Ulimwenguni

Mabadiliko ya sera ya kufikiria yanaweza kusaidia kuhakikisha shinikizo la matumizi linasalia kudhibitiwa, huku ikitengeneza nafasi ya kuwatunza wazee na kukabiliana na misukosuko ya kiuchumi. Maoni na Rahul Anand (washington dc) Jumanne, Januari 27, 2026 Inter Press Service WASHINGTON DC, Januari 27 (IPS) – Idadi ya watu nchini Korea inazeeka kwa kasi zaidi kuliko takriban…

Read More