TET YASHIRIKI KUPANDA MITI KUMBUKIZI YA KUZALIWA KWA RAIS DKT. SAMIA
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi ya Elimu Tanzania Dkt. Aneth Komba ameongoza Menejimenti ya Taasisi ya Elimu Tanzania kupanda miti ili kuunga mkono juhudi za utunzaji wa mazingira katika kumbukizi ya kuzaliwa kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Dkt. Samia Suluhu Hassan leo tarehe 27/01/2026. Kwa niaba ya Menejimenti na watumishi wa TET,…