Mbaroni akituhumiwa kuiba mtoto wa siku moja

Kahama. Jeshi la Polisi Mkoa wa Shinyanga linamshikilia mkazi wa Kata ya Mwakitolyo, Sai Charles (38) kwa tuhuma za kuiba mtoto wa siku moja. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatatu Februari 10, 2025 Kamanda wa Polisi mkoani humo, Janeth Magomi amesema mtoto huyo aliibiwa Februari 5, 2025 nyumbani wakati mama yake akiwa anaoga. Magomi…

Read More

ONGEZEKO LA WAKULIMA WA MKONGE DODOMA LAMKUNA DC NYANGASSA

Mkuu wa Wilaya ya Kondoa, Mhe. Fatma Nyangassa amefurahishwa na hamasa inayofanywa na Bodi ya Mkonge Tanzania (TSB), ambayo imechangia upatikanaji wa wakulima zaidi ya 15 wenye takribani ekari 240 za zao la Mkonge ndani ya muda mfupi. Akizungumza wakati alipotembelea Banda la TSB kwenye Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo, Uvuvi na mifugo yanayoendelea katika…

Read More

KCCT, Kilombero Sugar Yatoa mafunzo na Kuwatunuku Vyeti Wakulima 734 wa Katika Bonde la Kilombero

TAASISI ya Kilombero Community Charitable Trust (KCCT), kwa kushirikiana na Kampuni ya Kilombero Sugar Company Limited (KSCL), imefanikiwa kutoa mafunzo na kuwatunuku vyeti wakulima 734 wa miwa kutoka vyama 17 vya ushirika (AMCOS) kupitia mpango wa Elimu Tija katika Bonde la Kilombero. Mpango huu wenye mwelekeo wa kubadilisha maisha ya wakulima ulikuwa na mafunzo ya…

Read More

TRA yawang’ang’ania wafanyabiashara Mbeya | Mwananchi

Mbeya. Wakati wafanyabiashara wakifunga maduka katika Soko la Mwanjelwa jijini Mbeya kwa madai ya kukithiri kwa utitiri wa kodi na unyanyasaji, Mamlaka ya Mapato nchini (TRA) mkoani Mbeya imesisitiza kuwa itaendelea kuchukua hatua kwa wanaokiuka utaratibu. Leo Mei 23, 2024 wafanyabiashara hawakufungua wakidai kutoridhishwa na utaratibu wa ukusanyaji mapato, wakidai kuwa wanabambikiziwa tozo nyingi, baadhi…

Read More

Tshabalala awaachia msala wazawa Simba

SIMBA bado kunafukuta. Timu hiyo inapitia kipindi kigumu cha mpito ambacho mambo mengi yametokea na yatatokea lakini wakijipanga vizuri yatapita na wakali hao wa Msimbazi watarejea kwenye ubora na uimara wao kama taasisi imara ya soka. Wakati upepo huo ukiendelea kupita Simba, Mwanaspoti inakudokeza sababu nyingine ambayo imeifanya timu hiyo kukosa uimara. Si nyingine ni…

Read More

Kukosa ushindi kwamshtua kocha Mlandizi

KOCHA wa Mlandizi Queens, Jamila Hassan amesema bado timu yake haijajipata kutokana na ugumu wa ligi hiyo. Hadi sasa kwenye mechi nne za ligi Mlandizi haijaambulia ushindi ikipoteza tatu dhidi ya Simba 3-1, JKT Queens 7-0 na Ceasiaa Queens 2-1 na sare moja dhidi ya Get Program. Kocha huyo alisema bado wanaendelea kujifunza ligi hiyo…

Read More

Zanzibar yajizatiti utatuzi migogoro baharini

Unguja. Katika kutatua migogoro kati ya watumiaji wa maeneo ya bahari wakiwamo wavuvi na wakulima wa mwani, Serikali imejipanga kuweka mpango madhubuti wa matumizi ya bahari kwa kuwashirikisha wananchi wa maeneo zinakofanyika shughuli za kiuchumi. Serikali imesema mpango huo ni hatua itakayosaidia kupunguza migogoro sugu, ikiwamo inayowahusisha wavuvi wanaofanya shughuli zao kwenye mashamba ya wakulima…

Read More