Suala la ndoa kuvunjika latinga tena bungeni

Dodoma. Mbunge wa Same Magharibi, Dk David Mathayo amehoji Serikali ina mpango gani wa kutoa elimu kwa Watanzania kuonyesha umuhimu wa watoto kulelewa na wazazi wawili, kutokana na ndoa nyingi kuvunjika. Dk Mathayo amehoji hayo katika swali la nyongeza leo Ijumaa Aprili 19, 2024 wakati wa kipindi cha maswali na majibu bungeni jijini Dodoma. Amesema…

Read More

‘Mrema ameanza, wengine watafuata’ | Mwananchi

Dar es Salaam. Kufukuzwa uanachama wa Chadema kwa John Mrema ni utekelezaji wa mkakati wa ndani wa chama hicho, unaodaiwa kufanywa na ngazi ya chini, ukilenga kuwashughulikia makada wote wanaounda kundi la G55. Taarifa ambazo Mwananchi inazo zinadai mkakati uliopo ni kuwashughulikia G55 kupitia matawi yao. Katika kuhakikisha hilo, kuna timu ya watu wasiopungua watatu…

Read More

Majaliwa: Rais Samia ni tiba ya maendeleo

Maswa. Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Kassim Majaliwa amesema Rais Samia Suluhu Hassan ni tiba ya maendeleo, hivyo Watanzania wanapaswa kwenda naye kwa kuwa ataifikisha nchi kule kunakotarajiwa. Majaliwa ambaye pia ni Waziri Mkuu amesema Rais Samia ni kiongozi anayeona, kusikiliza na kutatua changamoto za Watanzania kwa ustadi wa hali ya…

Read More

KMKM YAILAZA LUMUMBA KWA POINTI 71- 19 KIKABADI

TIMU ya wanawake ya mchezo wa Kabadi KMKM imefanikiwa kuondoka na ushindi baada ya kuilaza timu ya Lumumba kwa kuvuna pointi 71- 19. Mtanange huo ulipigwa wakati wa uzinduzi wa ligi ya kwanza ya mchezo wa kabaddi katika viwanja vya new Amaan Complex mjini Unguja na kuhudhuriwa na mashabiki wengi wa mchezo huo. Katika kipindi…

Read More

DORIS MOLLEL FOUNDATION YAZIFIKIA HOSPITALI 85 NCHINI KWA KUTOA VIFAA TIBA VYENYE THAMANI ZAIDI 1.5 BILIONI

NA EMMANUEL MBATILO, MICHUZI TV TAASISI ya Doris Mollel Foundation katika jitihada za kusaidia watoto wanaozaliwa kabla ya wakati, mpaka sasa tayari wamezifikia hospitali 85 nchi nzima katika kuchangia vifaa tiba kama mashine za kupumulia, vitanda n.k, vyenye thamani ya zaidi ya bilioni 1.5. Ameyasema hayo jana Novemba 16, 2024 Dkt. Sylvia Rambo akimwaakilisha Mkurugenzi…

Read More

Bosi mpya Tanesco atoa mwelekeo wake

Dar es Salaam. Mkurugenzi Mtendaji mpya wa Shirika la Umeme Tanzania (Tanesco), Lazaro Twange anabainisha kile anachokwenda kukifanya ndani ya shirika hilo. Usiku wa Mei 6, 2025, Kurugenzi ya Mawasiliano ya Rais Ikulu ilitoa taarifa kwa umma juu ya uteuzi wa Lazaro Twange uliofanywa na Rais Samia Suluhu Hassan. Twange aliteuliwa ili kujaza nafasi iliyokuwa…

Read More

Vivuko Kigamboni, zigo zito kwa Temesa-2

Dar/Mikoani. Kama umewahi kuhisi maumivu ya kutwishwa mzigo mzito zaidi ya nguvu zako, basi hali hiyo ndiyo inayoukabili Wakala wa Ufundi na Umeme (Temesa), katika jukumu la uendeshaji wa vivuko nchini. Temesa inatekeleza jukumu hilo kwa mujibu wa sheria ya kuanzishwa kwake ya mwaka 2005, inayotaka pamoja na majukumu mengine ya msingi, wakala huo uwajibike…

Read More