Miloud Hamdi ajiuzulu Ismaily | Mwanaspoti

Aliyekuwa Kocha wa Yanga msimu uliopita, Miloud Hamdi jana, Jumatatu, Januari 26, 2026 ametangza kujiuzulu kibarua chake katika klabu ya Ismaily ya Misri. Miloud amechukua uamuzi huo akiwa ameitumikia timu hiyo kwa miezi sita tu tangu alivyojiunga nayo, Julai 3, 2025 akitokea Yanga. “Nawashukuru kwa nyakati tulizopita pamoja katika vipindi vigumu. Lakini tulifanikiwa kuwa tumeungana…

Read More

KUMBUKIZI YA KUZALIWA DKT SAMIA: UVCCM KAGERA YAKUPANDA MITI 2,000 SHULE YA WASICHANA OMUMWANI.

Na Diana Byera_Bukoba. Vijana wa Chama Cha Mapinduzi (UVCCM) Mkoa wa Kagera wameungana na Rais Samia Suluhu Hassan kuadhimisha siku yake ya kuzaliwa kwa kupanda miti 2,000 katika Shule ya Sekondari ya Wasichana Omumwani, Manispaa ya Bukoba. Mwenyekiti wa Umoja wa Vijana CCM Mkoa wa Kagera, Faris Buruhani, amewaongoza vijana mbalimbali pamoja na wanafunzi na…

Read More

Shiza Kichuya aibukia Coastal Union

WINGA wa zamani wa Simba na Mtibwa Sugar, Shiza Kichuya amejiunga na Coastal Union akiwa mchezaji huru baada ya kumaliza mkataba JKT Tanzania. Kichuya ambaye ameitumikia JKT Tanzania kwa misimu miwili akitokea Namungo, amesaini mkataba wa mwaka mmoja Coastal Union na muda wowote kuanzia sasa atatambulishwa ndani ya kikosi hicho. Chanzo cha kuaminika kutoka Coastal…

Read More

Ligi Kuu Bara leo zinasakwa pointi tatu za heshima

LIGI Kuu Bara inatarajiwa kuendelea leo Jumanne kwa mechi tatu kupigwa lakini macho ya wengi yataelezwa Uwanja wa KMC jijini Dar es Salaam na mabingwa watetezi, Yanga itashuka dimbani kucheza dhidi ya Dodoma Jiji. Baada ya kupoteza mechi yake ya kwanza wikiendi iliyopita katika Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya Al Ahly, Kocha wa Yanga,…

Read More

Dili jipya la Dube, Wasaudia, Morocco wakitia timu Yanga

WAKATI mkataba wa mshambuliaji wa Yanga, Prince Dube ukielekea ukingoni, mabosi wa klabu hiyo wameanza hesabu mapema za kuhakikisha staa huyo hachomoki Jangwani. Dube aliyetua Yanga mwanzoni mwa msimu wa 2024-2025 akitokea Azam, alisaini mkataba wa miaka miwili kukitumikia kikosi hicho unaomalizika Juni 2026. Mwanaspoti linafahamu kuwa, baada ya Dube kucheza michuano ya AFCON 2025…

Read More