Askofu Kilaini asimulia anavyomkumbuka Askofu Rugambwa

Dar es Salaam. Wakati waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania na duniani wakiomboleza kifo cha Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, mwalimu na rafiki yake wameeleza namna atakavyokumbukwa. Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Jovitus Mwijage, katika tanzia kwa maaskofu, mapadri, watawa na waamini leo Septemba 17, 2025 amesema Askofu Mkuu Rugambwa alifariki dunia jana Septemba 16, jioni…

Read More

Mlinzi auwawa, mmoja ashikiliwa kwa mahojiano Shinyanga

Shinyanga. Mtu mmoja aliyetambulika kwa jina la Juma Mpuya (45) mkazi wa Ngokolo aliyekuwa akifanya kazi ya ulinzi katika Kampuni ya Shilo amekutwa ameuwawa usiku wa kuamkia leo Septemba 17, 2025 na watu wanaosadikiwa kuwa ni wezi kwa kupigwa na kitu kizito usoni. Akizungumza na Mwananchi leo Septemba 17, 2025 Mwenyekiti wa Mtaa wa Majengo…

Read More

Sh3 milioni zamweka matatani Mtendaji wa kijiji Simanjiro

Simanjiro. Ofisa Mtendaji wa Kijiji cha Ruvu Remit wilayani Simanjiro mkoani Manyara, Godbles Mollel amefikishwa mahakamani kwa kosa la rushwa kwa kutumia Sh3.3 milioni isivyo halali. Mollel amesomewa shitaka hilo la uhujumu uchumi leo Septemba 17, 2025 mbele ya hakimu mkazi mwandamizi wa Mahakama ya Wilaya ya Simanjiro mkoani Manyara, Onesimo Nicodemo. Mwendesha mashtaka wa…

Read More

Nyuki wa Tabora wamepania kung’ata zaidi msimu huu

TAYARI Tabora United inafahamu ladha tamu na chungu za Ligi Kuu Bara kutokana na kushiriki michuano hiyo kwa misimu miwili na sasa inakwenda wa tatu. Katika msimu wa kwanza 2023-24, timu hiyo iliponea chupuchupu kushuka daraja baada ya kushinda michezo ya mtoano kufuatia kumaliza katika nafasi ya 14 kati ya timu 16, hilo likawafanya viongozi…

Read More

Madereva mkao wa kula mbio za Magari Afrika, Kabudi mgeni rasmi

Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Palamaganda Kabudi ndiye atazindua Mbio za Magari za Ubingwa wa Afrika 2025 ‘Mkwawa Rally of Tanzania’ keshokutwa Ijumaa, Septemba 19, 2025 mkoani Morogoro. Ofisa Habari wa Mashindano ya Magari Tanzania, Michael Maluwe amesema kuwa maandalizi yote muhimu kwa tukio hilo la uzinduzi yameshakamilika. “Madereva wameanza kuwasili Morogoro kwa…

Read More

Polisi, Uhamiaji kufungua dimba Ligi Kuu Zanzibar

TIMU za Polisi na Uhamiaji, zitafungua dimba la Ligi Kuu Zanzibar msimu wa 2025-2026 baada ya ratiba kutangazwa rasmi. Ratiba hiyo iliyotangazwa na Bodi ya Ligi Zanzibar, inaonesha mechi zitaanza kuchezwa Septemba 20, mwaka huu ambapo Polisi itakuwa mwenyeji wa Uhamiaji kwenye Uwanja wa Uwanja Mao A uliopo Unguja, saa 10:15 jioni. Katika ratiba hiyo,…

Read More