Mbwambo (34) Ajiua Kwa Kujikata Koromeo Akiwa Geust House – Video
Jeshi la Polisi Mkoa wa Morogoro linafanya uchunguzi wa tukio la kifo cha cha Gidion Ebenezeri Mbwambo (34). Tukio hilo limetokea Januari 27, 2026 katika nyumba ya kulala wageni maarufu kwa jina la Kisanga iliyopo mtaa wa Nguzo kata ya Mazimbu Manispaa ya Morogoro. Marehemu alibainika kuwa amekufa baada ya michirizi ya…