
Askofu Kilaini asimulia anavyomkumbuka Askofu Rugambwa
Dar es Salaam. Wakati waamini wa Kanisa Katoliki Tanzania na duniani wakiomboleza kifo cha Askofu Mkuu Novatus Rugambwa, mwalimu na rafiki yake wameeleza namna atakavyokumbukwa. Askofu wa Jimbo Katoliki la Bukoba, Jovitus Mwijage, katika tanzia kwa maaskofu, mapadri, watawa na waamini leo Septemba 17, 2025 amesema Askofu Mkuu Rugambwa alifariki dunia jana Septemba 16, jioni…