Madhara ya mke kuwa muongeaji kupitiliza Yapa Hapa – Global Publishers

Last updated Sep 14, 2025 USHAWAHI kukutana na mwanamke anaongea sana? Yaani yeye ni bandika bandua. Likiisha hili anaingiza hili, anajua kila kitu. Ana ujasiri wa kuzungumza kwelikweli hata kama waliomzunguka wote ni wanaume.  Akianza kuongea jambo lake hakubali kushindwa. Anataka aongee, asikilizwe na ikiwezekana waliomzunguka wote wawe upande wake. Haoni aibu. Hajishtukii hata…

Read More

DC NYAMWESE AWAPA SOMO WANAWAKE HANDENI MJI MATUMIZI YA SIMU JANJA KIBIASHARA

    Na Mwandishi Wetu, Handeni Wanawake katika Halmashauri ya Mji Handeni wametakiwa kutumia simu janja na teknolojia ya kidijitali kwa kuwa ni nyenzo muhimu ya kukuza biashara na kujikwamua kiuchumi kupitia fursa mbalimbali zinazopatikana mtandaoni.  Mkuu wa Wilaya ya Handeni, Mhe. Salum Nyamwese ameyasema hayo wakati akizindua Jukwaa la Uwezeshaji Wanawake Kiuchumi katika kongamano…

Read More

Serikali za EAC zashinikizwa kugawa pedi bure, kuondoa tozo

Dar es Salaam. Serikali za nchi wanachama wa Jumuiya ya Afrika Mashariki (EAC) zimetakiwa kupitia upya sera na mifumo ya kodi ili kuhakikisha upatikanaji wa taulo za kike (pedi) unakuwa rahisi au bure, hatua itakayosaidia kupunguza changamoto zinazowakabili wasichana hasa walioko vijijini na familia zenye kipato duni. Kukosekana kwa taulo za kike, imesababisha baadhi ya…

Read More

Wataalamu wa fedha SADC wajadili  kuongeza bajeti

Dar es Salaam. Wataalamu wa masuala ya fedha kutoka nchi wanachama wa Jumuiya Maendeleo ya Kusini mwa nchi za Afrika  (SADC) wamekutana jijini Pretoria nchini Afrika Kusini kujadili hali ya kifedha ya jumuiya hiyo pamoja na mikakati ya kuongeza vyanzo vya mapato ili kuimarisha utekelezaji wa miradi ya maendeleo ya kikanda. Taarifa iliyotolewa na Wizara…

Read More

UCHAMBUZI WA MJEMA: Ziara za Mwigulu zinaonyesha ombwe kwa taasisi imara

Katika ziara ya Waziri Mkuu wa Tanzania, Dk Mwigulu Nchemba inayoendelea mikoa mbalimbali, tunashuhudia akitatua na kuzipatia ufumbuzi papo kwa hapo, kero zinazowakabili watanzania lakini hili linathibitisha ombwe la taasisi imara. Ninasema hivyo kwa sababu kuna kero au changamoto zingine zingeweza kutatuliwa na wateule wengine wa Rais kama wakuu wa mikoa, wakuu wa wilaya, wakurugenzi…

Read More

Beki Mtanzania anukia Kenya | Mwanaspoti

Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20, ameondoka ndani ya kikosi hicho baada ya mkataba wake kuisha, huku ikidaiwa aliomba kutoongeza mwingine kwa lengo la kutafuta changamoto sehemu nyingine mpya. Nyota huyo ambaye ni zao la timu ya vijana ya Dodoma Jiji chini ya miaka 20,…

Read More

Sababu na athari ndoa za siri

Ndoa ni muunganiko rasmi wa watu wawili wanaopendana, kwa lengo la kuishi pamoja kwa upendo, heshima, na mshikamano.  Kikawaida, ndoa hufanyika kwa uwazi na kushuhudiwa na familia, jamii na mamlaka husika kama taasisi za dini au serikali.  Hata hivyo, uzoefu hivi sasa unaonyesha, kuna ongezeko la ndoa zinazofungwa kwa siri, yaani, ndoa ambazo hufanyika kwa…

Read More

Jina langu ni Dhaka – Masuala ya Ulimwenguni

na Mohammad Rakibul Hasan (dhaka, Bangladesh) Ijumaa, Machi 20, 2026 Inter Press Service DHAKA, Bangladesh, Machi 20 (IPS) – Jina Langu ni Dhaka ni filamu ya majaribio ya dakika moja inayoonyesha Dhaka kama chombo hai, kinachopumua na historia ya miaka 400. Kupitia sauti ya kuakisi, jiji linasimulia mabadiliko yake, migogoro na uthabiti. Inanasa utofauti kati…

Read More