
Viongozi mbalimbali watembelea Banda la NIC insurance Maonesho ya Sabasaba.
Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Khamis Juma akisaini kitabu wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48 ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania, Profesa Ibrahim Hamis Juma akipata maelezo kutoa Afisa Bima wa NIC Insurance Deogratius Mlumba wakati Jaji Mkuu hiyo…