Wadau Afrika Mashariki waungana kukabiliana na uvuvi haramu

Dar es Salaam. Wadau kutoka sekta mbalimbali katika ukanda wa Afrika Mashariki wameungana kuanzisha juhudi za pamoja za kukabiliana na uvuvi haramu, ambao unaendelea kuwa tishio kwa rasilimali za bahari, mazingira na maisha ya mamilioni ya watu wanaotegemea uvuvi kwa ajili ya kipato na lishe. Hayo yamebainika katika kongamano la Sauti za Buluu lililofanyika hivi…

Read More

Huku kukiwa na mzozo mkubwa nchini Palestina, wasichana wanakabiliwa na hatari zinazoongezeka na dharura ya afya ya akili – Masuala ya Ulimwenguni

Sima Alami, afisa programu wa vijana na vijana katika wakala wa Umoja wa Mataifa wa afya ya ngono na uzazi, UNFPAilichora picha dhahiri inayofafanuliwa na takwimu za kutisha. “Tuna zaidi ya watoto milioni moja huko Gaza ambao wanahitaji huduma za afya ya akili na kisaikolojia,” aliiambia Habari za Umoja wa Mataifa. Kiwango cha kiwewe kinashangaza….

Read More

Hekaheka wiki ya kwanza kuzisaka kura urais 2025/30

Dar es Salaam. Hekaheka za kusaka kura za nafasi ya urais katika wiki ya kwanza ya kampeni tayari zimeanza na kuvifanya vyama vya siasa kugawana maeneo ya nchi, kunadi sera zao kushawishi wananchi, ili wagombea wao wachaguliwe. Chama cha Mapinduzi (CCM) ndicho kilichofungua pazia la kumnadi mgombea wake, Samia Suluhu Hassan, sambamba na mgombea mwenza…

Read More

Malindi kurejea Unguja na pointi tatu za Chipukizi

TIMU ya Malindi kutoka Unguja, imefanikiwa kuvuna alama tatu kwa kuifunga Chipukizi bao 1-0 katika mechi ya Ligi Kuu Zanzibar iliyochezwa Septemba 27, 2025 kwenye Uwanja Gombani uliopo kisiwani Pemba. Bao hilo lilifungwa na Tchakei Moucheri dakika 15 akimalizia pasi ya Ramadhan Mponda ambapo lilidumu hadi timu hizo zinakwenda mapumziko. Kipindi cha pili kilianza kwa…

Read More

Sh800 milioni kujenga kiwanda cha cocoa Kyela

Mbeya. Wakati Chama Kikuu cha Ushirika (Kyela) kikitarajia kutumia zaidi ya Sh800 milioni kwenye ujenzi wa kiwanda cha kuchakata cocoa, wakulima wilayani humo wamesema hatua hiyo itafungua fursa za kiuchumi na uhakika wa bei. Pia, wamepongeza sera ya mgombea urais wa Chama cha Mapinduzi (CCM), Samia Suluhu Hassan aliyeahidi Serikali kuongeza nguvu katika ujenzi wa…

Read More