Mido ya boli awindwa Azam FC

MATAJIRI wa Jiji la Dar es Salaam Azam FC, wanaendelea na maboresho ya kikosi hicho kimya kimya kwa ajili ya msimu ujao ili kuleta ushindani, ambapo kwa sasa wameanza mazungumzo ya kuipata saini ya kiungo nyota wa KMC, Ahmed Bakari Pipino. Azam iliyomaliza katika nafasi ya tatu kwa pointi 63 katika Ligi Kuu Bara msimu…

Read More

Wananchi Mbeya wahaha na mgawo wa maji

Mbeya. Wakati wakazi wa kata za Ilemi, Isanga na Sinde jijini Mbeya wakilia na ukosefu wa maji kwa siku nane sasa, Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira (Mbeya Wssa) imesema maeneo hayo yote kwa sasa yanapata maji kwa mgawo. Asilimia kubwa ya wakazi wa kata hizo sasa wanategemea maji ya visima ambayo si salama…

Read More

Mazishi ya mfanyabiashara yasimamisha shughuli Songea

Songea. Mazishi ya mfanyabiashara  mashuhuri wilayani Songea  Mkoa wa Ruvuma, Titus Mbilinyi maarufu Mwilamba ambayo yamefanyika leo Agosti 26,2025 kwenye kiwanda chake cha mifuko kilichopo  Ruhuwiko yamesimamisha shughuli ikiwamo maduka kufungwa. Tangu   saa 12 asubuhi  maduka mengi yamefungwa ikiwa ni ishara ya heshima kwa ajili ya kumsindikiza mfanyabiashara huyo, aliyekuwa kipenzi cha wanyonge. …

Read More

Subira Mgalu Aahidi Kuboresha Afya, Maji na Barabara Bagamoyo

Na Mwandishi Wetu, Bagamoyo Mgombea Ubunge wa Jimbo la Bagamoyo kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Subira Mgalu, ameahidi kuboresha huduma za afya, maji na miundombinu ya barabara endapo atapewa ridhaa ya kuwaongoza wananchi katika Uchaguzi Mkuu wa Oktoba 29, 2025. Akizungumza katika uzinduzi wa kampeni uliofanyika jimboni humo, Mgalu alisema ataweka mikakati madhubuti ya kuhakikisha…

Read More

Hamad: Wananchi wanahitaji chakula zaidi na si Katiba

Unguja. Mgombea urais wa Chama cha Alliance for Democratic Change (ADC), Hamad Rashid Mohamed amesema chama chake kinahitaji kuwaendeleza wananchi kwa kuhakikisha wanapata chakula cha kutosha kwanza ili wawe na nguvu za kushiriki shughuli za uzalishaji na utafiti wa rasilimali za nchi, na si Katiba mpya. Akizungumza na waandishi wa habari leo Jumatano, Septemba 24,…

Read More

Aishi Manula kuna nini? | Mwanaspoti

YUKO wapi Manula? Kuna nini kinaendelea? Ni maswali yanayosumbua kwa sasa vichwani mwa mashabiki wa soka baada ya kipa huyo tegemeo wa timu ya Taifa kutoonekana uwanjani kwa muda mrefu. Baada ya kuwepo kwa tetesi za kipa Moussa Camara kuumia katika mechi dhidi ya Azam, wengi waliamini ilikuwa nafasi ya Manula kurudi langoni. Hata hivyo,…

Read More

Profesa Shemdoe aitwisha zigo Tahosa udhibiti matukio shuleni

Arusha. Waziri wa Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Profesa Riziki Shemdoe amewaagiza wakuu wa shule za sekondari nchini kuendelea kusimamia nidhamu na kudhibiti utoro wa wanafunzi na walimu shuleni, hatua inayolenga kuinua ubora wa ufundishaji na ujifunzaji. Ametoa maagizo hayo leo Jumatano, Desemba 17, 2025, wakati akifungua Mkutano wa 20 wa Umoja…

Read More