Viongozi mbalimbali watembelea Banda la NIC insurance Maonesho ya Sabasaba.

Jaji Mkuu wa Tanzania Profesa Ibrahim Khamis Juma akisaini kitabu  wakati alipotembelea Banda la NIC insurance kwenye Maonesho 48  ya Biashara Kimataifa yanayoendelea katika Viwanja vya Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Jaji Mkuu wa Tanzania,  Profesa Ibrahim Hamis Juma  akipata maelezo kutoa  Afisa Bima  wa NIC Insurance  Deogratius Mlumba wakati  Jaji Mkuu hiyo…

Read More

MTATURU AMWAGA VIFAA VYA UJENZI MANG’ONYI.

  MBUNGE wa Singida Mashariki Miraji Mtaturu,amekabidhi mifuko 100 ya saruji na mtofali 1,000 kwa ajili ya kuanzisha ujenzi wa maabara za sayansi katika Shule ya Msingi Mang’onyi Shanta ikiwa ni kutimiza ahadi yake aliyoitoa wakati wa mahafali ya kidato cha nne mwaka jana 2023. Msaada huo ameukabidhi Agosti 4,2024,akiwa katika muendelezo wa ziara yake…

Read More

Padri, baba wasomewa shtaka mauaji ya Asimwe

Bukoba. Watu tisa wamefikishwa mahakamani wakishtakiwa kwa kosa la mauaji ya kukusudia ya Asimwe Novath (2), mtoto mwenye ualbino akiwamo Paroko Paroko Msaidizi Elipidius Rwegashora wa Parokia ya Bagandika wilayani Misenyi Mkoa wa Kagera.    Washtakiwa hao wamefikishwa katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Bukoba na kusomewa shtaka la mauaji ya kukusudia ya mtoto huyo. Asimwe…

Read More

Baba Bacca: Sitaki Bacca aende Simba

KAMA ilivyo kwa wazazi, huwa na mipango yao juu ya watoto wao, bila kujua kuwa baadae inaweza isitimie ndivyo ilivyotokea kwa Mzee Abdallah Hamad ‘Bacca’. Kuna wakati unamwacha mtoto au mtu wako wa karibu kufanya kile anachokipenda zaidi hata kama wewe hukipendi kwa sababu yeye ndie anayekifanya. Lakini tunaambiwa ni bora kumwacha mtu afanye anachokipenda…

Read More

Homera aagiza Chunya kukamilisha ujenzi wa sekondari

Chunya. Mkuu wa Mkoa wa Mbeya, Dk Juma Homera ameiagiza Halmashauri ya Wilaya ya Chunya kutoa Sh20 milioni zikamilishe Ujenzi wa shule ya mpya ya Sekondari Masache iliyopo Kitongoji cha Itumbi Kata ya Matundasi. Hatua hiyo imekuja kutokana na kilio cha diwani wa kata hiyo, Kimo Choga alichokitoa leo Jumapili Mei 25,2025 baada ya kumueleza…

Read More

Viboreshaji Mara tatu Vinavyoendeshwa na Kampuni na Huduma za Nishati Zinazomilikiwa na Serikali – Masuala ya Ulimwenguni

Kufikia lengo la kuongeza mara tatu uwezo wa uzalishaji wa bidhaa zinazoweza kurejeshwa ifikapo 2030, na kuondoa kaboni kwa mfumo wa kimataifa wa umeme, kunahitaji ushiriki hai wa SPCU. Credit: Bigstock. Maoni na Leonardo Beltran, Philippe Benoit (washington dc) Jumatano, Septemba 25, 2024 Inter Press Service WASHINGTON DC, Septemba 25 (IPS) – Jumuiya ya hali…

Read More